Sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu zimenistua

Sms nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu zimenistua

Lakini nyara ya serikali(k) si uliikuta ipo salama na unaendelea kuitumia? Ukimchunguza sana bata huwezi kumla! Ukiona manyoya
Tangu lini k ikawa nyara ya serikali? Nyara ya serikali rinda mkuu

K ya mkeo hata iliwe hadharani mpaka iote sugu serikali hutoiona wala kuisikia, labda umuue/umdhuru ndo serikali itakuja ili ishughulike na wewe. Sasa atatuliwe rinda uone, kabla hata mwenye mke hujajua tayari serikali itakuwa imeshatua eneo la tukio.
 
Yetu mazito yako ni sawa na mjukuu tu wa matatizo.
Mwanaume kubadili mwanamke kuoa mwingine ni sawa na kubadili kinywaji tu ulikuwa unakunywa Pepsi siku hizi unatumia coca-cola
Simulieni yote ili kataa ndoa tujivunie points
 
Bado kwenye intelejensia ya fumanizi haujafuzu. Hapo umeweka mambo hadharani, hakuna ushahidi wowote. Mwanamke huwa anapenda uhuru kama tulivyo tu wanaume.

Ukisafiri na yeye ndio anapata muda wa kukaa na marafiki zake kupiga umbea hadi saa 6 usiku. Bado hujakusanya ushaidi wa kutosha kumshuku kuwa ni msaliti.
 
Nashauri wamiliki wa Jf watufungulie jukwaa maalum la ndani ya ndoa na mikasa yake
 
Kama huna kidali cha kuyabeba mazito basi usiisogelee ndoa.......

Kwenye NDOA kunapatikana
Presha
Kisukari
Stroke
Msongo wa mawazo
Vifo vya ghafla

Hakuna mwanaume mwenye kifua kipana cha kuyabeba yote haya aka survive........lazima tuweke turubai Tu.......
 
Back
Top Bottom