Hahaha!. Umetisha Mkuu!.Mimi siogopi kabisa na naenjoy kutongoza rekodi yangu ni kumtongoza koplo wa polisi aliekuja kusimamia mtihani wangu wa kidato cha sita nkisubiri kwenda kufanya dissection ya mende
Yes nlimtongoza akiwa amebeba sub machine gun yake half magazine..
Mara ya mwsho nlitongoza kiziwi kwenye basi ya abood nlikua nkiongea anasmile tu kumbe anisikiii
Mademu wengine wana Ego anaweza akakushushua tu bila sababuπKama msikilizaji umekiri wao kukosa aibu kuzungumzia hizo story ndani ya daladala, Huyo mtongozaji atawezaje kumtongoza uso kwa uso?
Sitetei madomo zege ila stori yako inawapa lawama ya moja moja hao wanawake
Hapo kwa binti kiziwi umeua bosi......Mimi siogopi kabisa na naenjoy kutongoza rekodi yangu ni kumtongoza koplo wa polisi aliekuja kusimamia mtihani wangu wa kidato cha sita nkisubiri kwenda kufanya dissection ya mende
Yes nlimtongoza akiwa amebeba sub machine gun yake half magazine..
Mara ya mwsho nlitongoza kiziwi kwenye basi ya abood nlikua nkiongea anasmile tu kumbe anisikiii
Kwahio unasubiria hadi uombwe πππ utakuwa na maisha magumu sana sheewangmim mwenyewe kutongoza face to face siwezi
hata kuomba namba mtihani sana.
Shewang jiamini walau kiasiYaani mimi ndio zoba kabisa, iyo kwenye simu tu yenyewe kipengele[emoji1]sembuse live .
Kiukweli mwanamke mwenye aibu ananoga Sana machoni kwa mwanaume ila macho juu na nyodo hata Mimi ningeogopaMademu wengine wana Ego anaweza akakushushua tu bila sababuπ
Imagine mtu unamsalimia tu ila hio salamu anaweza asiijibu sasa naanzaje kumuomba namba mtu kama huyuπππ seuze kumtongozaKiukweli mwanamke mwenye aibu ananoga Sana machoni kwa mwanaume ila macho juu na nyodo hata Mimi ningeogopa
- Usiku kwenye daladala, saa ya simu yangu inaonyesha ni saa 4:47. Najilazamisha kuacha kusinzia, mara nasikia sauti za wanawake wawili wakizungumza viti vya nyuma yangu⦠stori zao zinanisaidia kukimbiza usingizi wangu.
Na nyie Kuna macho huwa mnaangaliaga ya wizi wizi tu,, tutawaitikia jamani πππImagine mtu unamsalimia tu ila hio salamu anaweza asiijibu sasa naanzaje kumuomba namba mtu kama huyuπππ seuze kumtongoza
Kwn Aisha j we jinsia gan Mbn ulivyoandika kama naw mwnaume
- Usiku kwenye daladala, saa ya simu yangu inaonyesha ni saa 4:47. Najilazamisha kuacha kusinzia, mara nasikia sauti za wanawake wawili wakizungumza viti vya nyuma yangu⦠stori zao zinanisaidia kukimbiza usingizi wangu
Haka ka Dada sijua kapo wapi Siku hizi kalikuwa na lips fulani hizi nzuri,by that time.View attachment 1842718kwan hii ni script au ndio live
Kwanza demu akisha kubali kutoka out tu,tayari huyo unasubiri out ya pili ya kukamilisha mambo.Nitaomba namba kufanikisha appointment ya kutoka out tukifika huko namwaga mistari face to face japo maneno yanatokaga kwa sauti ya kukata pumzi balaa.
Aisee Ile mbinu ya kutengeneza mazingira inachukua muda mno duh out zinakuwa nyingi na bado hata hujaeleweka.
Wooi nasema mie akikubali akikataa potelea mbali
Mademu wengine wana Ego anaweza akakushushua tu bila sababuπ
πhabari ujaona ilipotoka,au umelewa double kick