Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii "haramu" umesema weweWauvunje muungano kila mtu akae kwake sio wao waje kudoea huku alafu sisi watuite wahamiaji haramu
Serikali ya Zanzibar imesema kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar unaochangiwa na umaskini na unyanyasaji.
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Abeida Rashid ametoa kauli hiyo wakati wa mazungumzo ya kitaifa ya kushughulikia uhamiaji haramu na kuimarisha ulinzi wa wahamiaji wanaoishi katika mazingira hatarishi Tanzania.
Amesema mwaka jana watoto 66 waligunduliwa mitaani baada ya kuingia Zanzibar kwa njia zisizo halali kutoka Tanzania Bara.
“Kuanzia Januari hadi mwezi huu, tuliwakuta 19 ambao wamepelekwa kwenye nyumba salama ambako wanapata mafunzo muhimu ili kujikimu,” amesema.
Chanzo: The Citizen Tanzania
Ila hawa wanzazibari sijui wanajikuta kina maan wao ndio wengi sana huku bara wanakuja kila leo watoto kwa wakubwa na hatuwasimangi tunawachukuloa km watanzania wiwote tu tena hatuwaiti wanzazibari tunawaita wapenda basi imeisha.Serikali ya Zanzibar imesema kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar unaochangiwa na umaskini na unyanyasaji.
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Abeida Rashid ametoa kauli hiyo wakati wa mazungumzo ya kitaifa ya kushughulikia uhamiaji haramu na kuimarisha ulinzi wa wahamiaji wanaoishi katika mazingira hatarishi Tanzania.
Amesema mwaka jana watoto 66 waligunduliwa mitaani baada ya kuingia Zanzibar kwa njia zisizo halali kutoka Tanzania Bara.
“Kuanzia Januari hadi mwezi huu, tuliwakuta 19 ambao wamepelekwa kwenye nyumba salama ambako wanapata mafunzo muhimu ili kujikimu,” amesema.
Chanzo: The Citizen Tanzania
Mkuu wao wa majeshi (CDF) ni nani?Zanzibar ni Nchi kamili, Wana Kila kitu kinachoifanya kuwa Nchi hadi jeshi wanalo na bendera n.k
Unasumbuka naye usikute anaelimu ya kuvua samaki tena ngaduMkuu wao wa majeshi (CDF) ni nani?
Wanajitokeza kusema hayo baada ya Saidi kutajwa kuhusika na hiyo biasharaSerikali ya Zanzibar imesema kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar unaochangiwa na umaskini na unyanyasaji.
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Abeida Rashid ametoa kauli hiyo wakati wa mazungumzo ya kitaifa ya kushughulikia uhamiaji haramu na kuimarisha ulinzi wa wahamiaji wanaoishi katika mazingira hatarishi Tanzania.
Amesema mwaka jana watoto 66 waligunduliwa mitaani baada ya kuingia Zanzibar kwa njia zisizo halali kutoka Tanzania Bara.
“Kuanzia Januari hadi mwezi huu, tuliwakuta 19 ambao wamepelekwa kwenye nyumba salama ambako wanapata mafunzo muhimu ili kujikimu,” amesema.
Chanzo: The Citizen Tanzania
NDUGU MHAMIAJI MBONA UNASALIMIA KWA UPENDELEO? KWANINI HUTUSALIMII WAHAMIAJI WENGINE?Za asubuhi Ndugu mhamiaji! Hahahaha 🤣
Wahamiaji holela ni wahamiaji haramu... Unasemaje nchi ni moja lakini watoto wa bara wikienda visiwani waitwe wahamiaji holela?Hii "haramu" umesema wewe
Nawasalimu Wahamiaji wote kwa jina la jamhuri ya WahamiajiNDUGU MHAMIAJI MBONA UNASALIMIA KWA UPENDELEO? kWANINI HUTUSALIMII WAHAMIAJI WENGINE?
Na huku bara kuna wahamiaji halali kutoka Zenji..!!Kweli kabisa Zanzibar kuna tatizo la wahamiaji haramu kutoka bara.
Unataka ligi?Mkuu wao wa majeshi (CDF) ni nani?
Hili ndio la msingi sana, nitalifanyia KAZIPunguza kula samaki jaribu na kitimoto upate kumbukumbu
Changu changu chako chetu.Na huku bara kuna wahamiaji halali kutoka Zenji..!!