Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Kwahiyo Zanzibar ni nchi tajiri ndiyo maana watoto wa kutoka Tanganyika wanakimbilia huko! Hawa nyau wana dharau sana wakati wao huku kwetu wamejazana kama kumbikumbi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zinakaa kisogoni wao hawana visogoHawajawahi kuwa na akili timamu hao zaidi ya kukariri kichwani vitu vya kijinga na kufanya sheria.
Wao Wazanzibar na watoto wao wamejazana tele kama dagaa huku bara. Hadi Matejoo nimewaona wapemba. Hawana kazi maalum wana kiosk tu chenye thamani ya elfu 50.Serikali ya Zanzibar imesema kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar unaochangiwa na umaskini na unyanyasaji.
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Abeida Rashid ametoa kauli hiyo wakati wa mazungumzo ya kitaifa ya kushughulikia uhamiaji haramu na kuimarisha ulinzi wa wahamiaji wanaoishi katika mazingira hatarishi Tanzania.
Amesema mwaka jana watoto 66 waligunduliwa mitaani baada ya kuingia Zanzibar kwa njia zisizo halali kutoka Tanzania Bara.
“Kuanzia Januari hadi mwezi huu, tuliwakuta 19 ambao wamepelekwa kwenye nyumba salama ambako wanapata mafunzo muhimu ili kujikimu,” amesema.
Chanzo: The Citizen Tanzania
Zanzibar haikuwahi kuwa juu,Bara kilichofanyika saivi ni mgongano tuu kupata maRais anatoka zanzibar huku na bar na ZanzibarEti wanajeshi! Yani ungekuwa kwenye idara za ulinzi ungeona aibu.
Mkuu wa majeshi yupo bara na zanzibar inaonekana kama mkoa kama mikoa mingine kijeshi.
Mkuu wa mapolisi yupo bara kama nilivyokwambia.
Usalama wa taifa hupo bara.
Benk kuu hipo bara.
Punguza kula samaki jaribu na kitimoto upate kumbukumbu
Sijui kama kalala kaburini kwa amani yule mzee maana msala aliotuachia huku kuna siku lazima kiwake!Nyerere hí dhambi ya kuifuta Tanyanyika itakula kizaz chako chote kitoke kwenye ramani ya siasa...........
Wangeitwa hivyo wazanzibar CCM wangekuja juu kwa unafiki, wazanzibar ni wabagusi haswa, huwezi kuona wanawaita hivyo waarabu. Muungano uvunjweWatoto kutoka Tanganyika kuonwa kama wahamiaji haramu sio jambo zuri na,ni jina baya hasa.
Tunawaambia kila siku hawa wazanzibar hawafai hata kidogo na muungano uvunjwe haraka sn, angesema hivyo Mbowe CCM wote wangetoka mbeleLugha iliyotumika ni hatari sana na inahamasisha uhasama mbaya, ” WAHAMIAJI HARAMU“ Kwamaana hiyo wazanzibari wote waliopo bara wote ni WAHAMIAJI haramu ukijumuisha na kiongozi wetu mkuu wa serikali?
Kama kuna kosa Nyerere sitamsamehe ni kutuunganisha na hawa watu wa hovyoNyerere alituunganisha Na mijitu ya Hovyo sana
Hivi visiwa lazima tuvitawale kwa sababu ya kiusalama,, ukotoa zile Millitary base za JWTZ Unguja na Pemba basi ujue bara kwetu sio salama tena.Kama kuna kosa Nyerere sitamsamehe ni kutuunganisha na hawa watu wa hovyo
Na kosa la kutuletea kimungu Mwenge. Akatuaminisha Mwenge unaleta amani, lakini Vita ilipotokea Kagera, akapeleka Baba zetu Na ndugu zetu wakafa huko, hahuhapeleka kamungu kake kakalete amaniKama kuna kosa Nyerere sitamsamehe ni kutuunganisha na hawa watu wa hovyo