Snura aachana na muziki wa kidunia, aomba nyimbo zake zisipigwe tena, na picha zake zisipostiwe akifariki dunia

Snura aachana na muziki wa kidunia, aomba nyimbo zake zisipigwe tena, na picha zake zisipostiwe akifariki dunia

Kama ametubia toba ya kweli ni ni jambo zuri , tunamuombea kheri na Allaah aampe thabati maana wengi wanakufa bila kutubia na hiyo ndio mbaya .

Haya maisha ya Dunia ni starehe fupi sana , kila kitu linapotea ghafla kama upuuzi tu . Si vizuri watu kuanza kumuombea mabaya na kuweka dhana ovu kwa binadamu mwenzako hiyo ni roho mbaya na husuda hakuna mtu msafi mandari mtu kaamua kubadilika heshimu maamuzi yake.
Au kapata muisiharamu wanataka kutapeliana nyuma ya kivuli cha dini.
 
Snura Mushi amewataka wasanii, Watanzania pamoja na wadau wasanaa akifa hata kesho anaomba picha zake zilizopo mitandaoni kwa kuwa kufanya hivyo kutaiumiza zaidi familia.

Amedai picha zake nyingi zilizo mtandaoni ni mbaya na haziendani na maisha yake.
Kwani wakati akiziachia hadharani hakujua huko kuna ndugu jamaa na watu wa karibu naye?
 
Snura atangaza kuacha muziki rasmi, aomba nyimbo zake zisipigwe tena

Snura Mushi ametangaza kuacha rasmi muziki na shughuli za kisanaa na kujikita zaidi kwenye dini.

Amezitaka media na watu binafsi kuacha mara moja kufanya hivyo kwa kuwa amebadilisha aina ya maisha yake kabisa.

Snura: Naomba nikifa msipost picha zangu za ‘uchi’ mtandaoni

Snura Mushi amewataka wasanii, Watanzania pamoja na wadau wasanaa akifa hata kesho anaomba picha zake zilizopo mitandaoni kwa kuwa kufanya hivyo kutaiumiza zaidi familia.

Amedai picha zake nyingi zilizo mtandaoni ni mbaya na haziendani na maisha yake.
Ni vizuri itakuwa vizuri na mali alizochuma kupitia muziki azigawe jamani
 
Snura atangaza kuacha muziki rasmi, aomba nyimbo zake zisipigwe tena

Snura Mushi ametangaza kuacha rasmi muziki na shughuli za kisanaa na kujikita zaidi kwenye dini.

Amezitaka media na watu binafsi kuacha mara moja kufanya hivyo kwa kuwa amebadilisha aina ya maisha yake kabisa.

Snura: Naomba nikifa msipost picha zangu za ‘uchi’ mtandaoni

Snura Mushi amewataka wasanii, Watanzania pamoja na wadau wasanaa akifa hata kesho anaomba picha zake zilizopo mitandaoni kwa kuwa kufanya hivyo kutaiumiza zaidi familia.

Amedai picha zake nyingi zilizo mtandaoni ni mbaya na haziendani na maisha yake.
Huyu atakuwa kapata bwana kama wa sanchoka
 
Back
Top Bottom