Snura aachana na muziki wa kidunia, aomba nyimbo zake zisipigwe tena, na picha zake zisipostiwe akifariki dunia

Snura aachana na muziki wa kidunia, aomba nyimbo zake zisipigwe tena, na picha zake zisipostiwe akifariki dunia

Snura aka Chura anarukaruka ametumika sana kwenye Siasa za Nchi hii lakini Leo hii amejutia sana Matendo yake na kufanya Toba huku akimrejea Muumba wake

Majuto ya Snura yanafikirisha sana tena Mno 🐼
 
Nimemkuka Mzee Yusuph nae alipitia hatua hii lakini baadae akarudi alikotoka
Watu wanakuwa wabishi tu ila hapo hakuna cha dini wala sijui Mungu wala nani!

Siku akitokea wa kumrudisha sokoni utamkuta amerudi kwenye muziki kama kawaida akiulizwa atasema tu ā€mimi ni binadamu sijakamilikaā€ then maisha yataendelea
 
Amenikumbusha zile mbwembwe za Mzee Yusuph, anaacha taarabu, maisha yalivyomchapa akairudia kwa spidi ya 5G.

Huyu nae kama hajafanya hesabu zake vizuri tumhesabie siku..
 
Watu wanakuwa wabishi tu ila hapo hakuna cha dini wala sijui Mungu wala nani!

Siku akitokea wa kumrudisha sokoni utamkuta amerudi kwenye muziki kama kawaida akiulizwa atasema tu ā€mimi ni binadamu sijakamilikaā€ then maisha yataendelea
Punguza chuki za kijinga,huyo Snura angekua ni mgalatia mwenzako na akatangaza kua ameokoka,sasa hivi ungekua unakata viuno hapa kwa furaha,

Ni msanii gani aliacha mziki kisha akarudi zaidi ya kumkariri huyo Mzee Yusufu?
Suma Lee alirudi?
Saigon alirudi kuimba?
 
Kwahyo kaacha mziki na lile wowowo lake nalo kaondoka nalo..

Angetuachia kimoja ye aende tu.. ila Kwa namna alivyobadilisha neno Takk na kuliita CHURA hagosamehewa.

Ila basi labda kweli, mapenzi yana nguvu sana wapendwa.

Ni heshima kwa mume wake na Kwa Mungu alie juu japo ukiona mwanamke kaacha kitu alichokua akikifanya kwa muda mrefu jua kuna toto la kiume nyuma yake lenye ushawishi Grade A
 
Suma Lee nae aliachana na mziki na hakurudi,kuna yule Saigon kama unamjua lakini,nae aliachana na miziki.
Unapambana kutetea naona unajibu Kila posti hao uliowataja pia wanatamani kurudi lakini hawana nafasi tena katika muziki wa leo.
Sikiliza shehe siku moja huu uzi tutaufufua kama hadidu za rejea inshallah
 
Back
Top Bottom