Snura aachana na muziki wa kidunia, aomba nyimbo zake zisipigwe tena, na picha zake zisipostiwe akifariki dunia

Snura aachana na muziki wa kidunia, aomba nyimbo zake zisipigwe tena, na picha zake zisipostiwe akifariki dunia

🤣🤣🤣Yalimshinda
Atajisemea, "huyu anataka kufanya makosa niliyofanya mimi"

Mwisho wa siku pesa uliyonayo saizi ikikata halafu uko nje ya game na industry imekusahau kwasababu uliweka zuio, huwa inakuwa ngumu sana kurudi tena katika yale makali yako ya zamani.
 
Asije kuwa kama Mzee Yusuf, mambo ya shekeli yakiwa magumu
 
Msanii wa muziki, Snura Mushi ametangaza kuachana na muziki na shughuli zote za kisanaa na kujikita zaidi kwenye dini.

======

Snura Mushi: Mimi Snura leo natangaza rasmi kama nimeacha kazi ya sanaa na sababu kubwa ya kuacha ni kumrudia Mungu wangu na kufuata maadili ya Kiislamu yanavyosema, nisiwe muongo najutia niliyoyafanya na maamuzi yangu na niliyoyafanya nimefanya yamepita ila hadi sasa nna miaka miwili sijafanya kazi.

w
 
Hivi yupogi bado huyu, basi nikajua alishakufa and by the way wengi waliochuja hujificha nyuma ya mgongo wa dini ila deep down wanatamani kuwa nafasi walizo nazo wenzao au walizokuwa kipindi wakiwa na soko.
 
Hivi yupogi bado huyu,basi nikajua alishakufa and by the way wengi waliochuja hujificha nyuma ya mgongo wa dini ila deep down wanatamani kuwa nafasi walizo nazo wenzao au walizokuwa kipindi wakiwa na soko.
Kwahiyo na nyie mkiokoka huwa mmechuja? Masanja mkandamizaji alipojikita kwenye dini kumbe alikuwa kachuja? Irene Uwoya kajiita mtume na kufungua Kanisa kumbe kachuja? Yule Mc Pilipili aliyekimbilia kufungua na Kanisa alikua kachuja?

Kwanini unaingilia maamuzi ya mtu kwenye maisha yake? Ulifikiri alishakufa, kwani akifa wewe unafaidika na nini? Kwanza wala hakujui.

Heshimu maamuzi ya mtu na upunguze ujuaji wa kijinga.
 
Kwahiyo na nyie mkiokoka hua mmechuja? Masanja mkandamizaji alipojikita kwenye dini kumbe alikua kachuja? Irene uwoya kajiita mtume na kufungua...
Sikumbuki lini nilisema nimeokoka lakini zaidi hao uliowataja wote hao wamefanya waliyofanya ili kwenda kukusanya hela za wapumbavu baada ya kuona fani walizokuwa nazo mwanzo zimewatupa mkono.

Maisha yamejaa sanaa nyingi unfortunately siyo mwepesi wa kuamini amini hao wasanii ila sarakasi zote hizo huja wakiona soko haliwataki
 
Back
Top Bottom