Nani amekwambia kua napambana? Kumbe unanifuatilia,safi sana usichoke,endelea kunifuatilia,Unapambana kutetea naona unajibu Kila posti hao uliowataja pia wanatamani kurudi lakini hawana nafasi tena katika muziki wa leo.
Sikiliza shehe siku moja huu uzi tutaufufua kama hadidu za rejeal inshallah
Yuko wapi tumsaidie kujuta?Snura aka Chura anarukaruka ametumika sana kwenye Siasa za Nchi hii lakini Leo hii amejutia sana Matendo yake na kufanya Toba huku akimrejea Muumba wake
Majuto ya Snura yanafikirisha sana tena Mno 🐼
Yule itakuwa kamix kwa wanyaki, wachaga hawako vile bana 😹😹🤣🤣🤣Ana mtakooo balaa
Akichukua hatua stahiki Google wanaweza kufuta kila kituNamaanisha hapo kwenye picha za uchi kutosambazwa. Maana internet huwa haimsahau mtu na vitu vyake vilivyopostiwa. Kuna siku tu vita resurface.
Maisha yakiwapiga wanarudi tena kwenye kazi yao iliyowapa umaarufu
Kabisa kabisa aiseeYule itakuwa kamix kwa wanyaki, wachaga hawako vile bana 😹😹
Ku-argue na watu sampuli yako huwa kazi sana mzee yaani kwa mentality hii utanisumbua sana cha kufanya tufanye wewe umeshinda point tatu beba wewe!!!Punguza chuki za kijinga,huyo Snura angekua ni mgalatia mwenzako na akatangaza kua ameokoka,sasa hivi ungekua unakata viuno hapa kwa furaha,
Ni msanii gani aliacha mziki kisha akarudi zaidi ya kumkariri huyo Mzee Yusufu?
Suma Lee alirudi?
Saigon alirudi kuimba?
Snura anatafuta KikiView attachment 3055981
Snura atangaza kuacha muziki rasmi, aomba nyimbo zake zisipigwe tena.
Snura Mushi ametangaza kuacha rasmi muziki na shughuli za kisanaa na kujikita zaidi kwenye dini.
Amezitaka media na watu binafsi kuacha mara moja kufanya hivyo kwa kuwa amebadilisha aina ya maisha yake kabisa.
Pia soma
Nilijua tu huwezi kua na majibu kwenye maswali niliyokuuliza coz comment zako zilitawaliwa na chuki ya udini tu.Ku-argue na watu sampuli yako huwa kazi sana mzee yaani kwa mentality hii utanisumbua sana cha kufanya tufanye wewe umeshinda point tatu beba wewe!!!
🤝🏾Nilijua tu huwezi kua na majibu kwenye maswali niliyokuuliza coz comment zako zilitawaliwa na chuki ya udini tu.
Hivi sanchi karudi?Kila la kheri lakini isije ikawa kama SANCHIWODI au MZEE YUSUFU.
Hivi sanchi karudi?