So Sexy....

So Sexy....

Niseme mawili matatu kuhusu wadada wanaojitegemea.

Mimi nawakubali sana. Mdada kaenda shule, ni mchapakazi, au hata kama hajaenda sana shule basi ni mpambanaji.

Huwa najikuta navutiwa tu na wadada wa hivyo na kwa sababu hiyo ninaweza hata kumzawadia kitu na moyo wangu ukaridhika kuwa nimemzawadia mtu ambaye anajiweza.

Yaani hata yeye mwenyewe kutokana na jasho lake anaweza kukipata hicho nilichomzawadia.

Vile tu alivyompambanaji kunanifanya nimheshimu sana na kumpenda pia [iwe kimapenzi au kikawaida.]

Mwanamke ambaye anasubiri kufanyiwa mambo na mwanaume kwangu hana mvuto kabisa. Ni mzigo.
Wewe ukimpa mtu zawadi wewe naandamana uchi humu jf.ataishia kupigwa misosi KFC tu
 
Niseme mawili matatu kuhusu wadada wanaojitegemea.

Mimi nawakubali sana. Mdada kaenda shule, ni mchapakazi, au hata kama hajaenda sana shule basi ni mpambanaji.

Huwa najikuta navutiwa tu na wadada wa hivyo na kwa sababu hiyo ninaweza hata kumzawadia kitu na moyo wangu ukaridhika kuwa nimemzawadia mtu ambaye anajiweza.

Yaani hata yeye mwenyewe kutokana na jasho lake anaweza kukipata hicho nilichomzawadia.

Vile tu alivyompambanaji kunanifanya nimheshimu sana na kumpenda pia [iwe kimapenzi au kikawaida.]

Mwanamke ambaye anasubiri kufanyiwa mambo na mwanaume kwangu hana mvuto kabisa. Ni mzigo.
Ahsante
 
Back
Top Bottom