Mimi ninadhani si ujinga tu, kwani ujinga ni kukosa maarifa ya kitu lakini ukishakijua ujinga huondoka, lakini kuna watu wana kiburi cha ujinga na huo ndiyo mtihani mkubwa.Aaah, kuna wajinga wengi duniani. Usishangae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ninadhani si ujinga tu, kwani ujinga ni kukosa maarifa ya kitu lakini ukishakijua ujinga huondoka, lakini kuna watu wana kiburi cha ujinga na huo ndiyo mtihani mkubwa.Aaah, kuna wajinga wengi duniani. Usishangae.
Shida ya JF ya nyakati hizi kuna watu wako huku kazi yao kubwa ni kupinga kila kitu bila hata kuhoji na kueleweshwa.Watu wamekuja na program ya kuwawezesha watu, naona kuna watu wengine wameshaingiza udini tayari.
Wamekaririshwa kuwa kila kitu kitakachofanywa na mtu asiyekuwa wao hakifai.Shida ya JF ya nyakati hizi kuna watu wako huku kazi yao kubwa ni kupinga kila kitu bila hata kuhoji na kueleweshwa.
Siasa zimeharibu sana hiki kizazi.
"Yalizuka maswali mengi kiasi na hususan lilipoongelewa suala la kuendesha saccos kwa riba.Vitendo Saccos haijafanikiwa kabisa kuendelea kwa kukosa uongozi na zaidi ni kwa kanuni na shria za ushirika ambazo zunalazimisha kuwe na riba kwenye saccos. Sisi tukashindwa kutilia mkazo kwa hilo kwani vitabu vya dini zetu vinatukataza kula riba. Pia . Ilikuwa ni one man show na jambo kubwa na zito kama hilo lilikuwa linahitaji watu wazoefu wenye mawazo chanya wa kuliendesha. Ni wazo jema sana
Hilo lilikuwa baada ya uchaguzi.Na ile shule imefikia wapi kwa sasa ili tuje kwenye ujenzi wa nyumba zetu
"Yalizuka maswali mengi kiasi na hususan lilipoongelewa suala la kuendesha saccos kwa riba.
Hatimae kila mtu akaelewa kuwa hakuna tatizo kubwa isipokuwa ni namna tu ya mfumo wa uendeshaji SACCOS bila riba utavyofanyika.
Hilo na mengine yalioji
Uliza ambacho hujaelewa, tutakuelewesha.Hivi kwa maelezo hayo mtu unaweza ukaelewa kweli nini kusudio la huo mradi? Hebu jaribu kutoa maelezo ya kutosha mtu aelewe na siyo hivyo ulivyoandika. Halafu mbona ukishaweka mabandiko yako unapotea halafu ukirudi kile ulicholeta awali unasema hakikuwa na mafanikio?
Sioni yanapopingana."Yalizuka maswali mengi kiasi na hususan lilipoongelewa suala la kuendesha saccos kwa riba.
Hatimae kila mtu akaelewa kuwa hakuna tatizo kubwa isipokuwa ni namna tu ya mfumo wa uendeshaji SACCOS bila riba utavyofanyika.
Hilo na mengine yaliojiri mtajionea mkanda wa video.
Baada ya semina ukaanza mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa muda. Ulioendeshwa na kusimamiwa na Afisa Ushirika kama sheria zinavyotaka.
Hatimae tukapata kamati ya uongozi wa muda ya uanzilishi wa Vitendo SACCOS Ltd., kwa mujibu wa Sheria na chini ya usimamizi wa Afisa Ushirika wilaya ya Kibaha."
Mbona jibu lako hapo linatofautiana na haya maelezo yako uliyoyatoa kuhusu mkutano wenu wa hiyo Saccos 2017?
Una fikra potofu.Hahahaaaaa
Dah,kuna kipigo hapa.....
Hii dunia hii,maajabu kabisa...na funny thing is,wanadamu hua wanaamini hizi nonsense,thats the saddest part!
i very simple, unaanza ujenzi kwa kuanzia na Shillingi 2,500 tu. Tunakushauri uje kwetu ujionee wengi walioanza kufaidika. Tumeanza na hapa hapa tulipo, wanaotuzunguka.Mkuu hapo kwenye ujenzi wa tsh 2500 ungefafanua kiupana zaidi ili tukuelewe vizuri.
Kwahiyo shule zote zipo kwenye mipango ya kuanza? Nafikiri hilo la shule ya vitendo libaki kuwa mmetoa msaada tuShule ipi unaiongelea?
Kuna Abraar Nursery School ambayo ujenzi umenza tayari. Kuna shule ya sekondari ya Vitendo, ambayo ni shule ya Serikali lakini Abraar tumejitolea kuwajengea darasa moja la la vifaa vya kisasa na pia kuna Shule ya Abaraar Mkuranga ambayo ipo kwenye upimaji.
Unaongelea ipi kati ya hizo?
Njoo ututembelee, unasubiri nini? Hatuna siri. Jionee watu wanavyofaidika...Blah blah blah
Una kibali cha kukusanya hela za wananchi namna hii (uwezekezaji) au unajisahaulisha sheria za nchi?
Hakuna kitu cha maana hapo...anything linked with religion and then linked na "unaweka pesa kidogo tu" halafu blah blah blah...
So sad stupid human beings wanawaaamini....so sad
Mbili zimeshaanza na moja tayari, hii hapa, moja ipo kwenye upimaji.Kwahiyo shule zote zipo kwenye mipango ya kuanza? Nafikiri hilo la shule ya vitendo libaki kuwa mmetoa msaada tu
Huwa hatuandikii mate na wino upo...Hahahaaa
Eti kujenga kwa 2500/=,nigga are you insane?
Kibali cha kukusanya hiyo 2,500/= kutoka kwa wananchi unacho?Huna
Unajua kinatoka wapi?BOT
Unajua hata BOT ni nini?Hujui
Upo hapa unadanganya majinga menzako na hii ponzi scheme eti nyumba zinajengwa kwa 2,500/=
Acha ukichaa
Kwa hiyo ulitaka nikuletee nini zaidi ya picha? Si uje ujionee mwenyewe? Ya nini unajificha nyuma ya keyboard na kuponda usiyoyaelewa?KWahiyo picha ndio wino?
Hii ni ponzi scheme,the late contributors will suffer the loses
Hata hujui maana ya ponzi scheme,such an idiot aiseee
Yaani mnafanya crime sababu ya ignorance,na kwenye court of law ignorance sio sababu unapigwa mvua za kutosha
You are just clueless kabisa.....
Halafu sad enough huu wizi mmeu-link na dini ili kuupa legitimacy...as always,stupid people are the victims here,so so sad yaani!
Tena kuna jingine ambalo linawatesa Watanzania wengi, wazee wa Madrassa tumekuja na solution ya kipekee.Na picha ndio udhibitisho?
Kama umepiga mradi wa mtu?ndio udhibitisho?
Wewe mzima kweli?
Nipoteze muda wangu kuja kuangalia mataahira?
Kwa maana wewe upo mbele ya keyboard?
Maana concrete blocks ndio zinauzwa 2,500/=?
Acha ponzi scheme wewe kiazi,fanya kazi halali,acha kukusanya vi 2,500/= vya wananchi eti unatoa ahadi ya nyumba
This is bonafide ponzi scheme,wachangiaji wa mwanzo watafaidika,hasara wanakuja kubeba wachangiaji wa mwisho,
Hiyo ndio ponzi scheme
Acha utaahira!
"Social Economic Empowerment Program,." Mpango wa Kijamii wa Kuwezeshana Kiuchumi, Kwa mara ya Kwanza Tanzania. Haujawahi kutokea, duniani.
Ni mpango uliobuniwa na Madrassatul Abraar, iliopo mtaa wa Vitendo, Misugusugu, Kibaha, Pwani Tanzania.
Mpango ulianzishwa nakuasisiwa na Abdul ghafur kwa kujiwezesha kifamilia na marafiki wa karibu kutatua tatizo la kujipatia nyumba za kuishi kwa gharama nafuu.
Kwa kuwa mpango huo umekuwa ni mwema sana, na wenye mafanikio, tukaona kwanini tusiufikishe kwa jamii, tufaidike sote.
Mpango umeleta mafanikio mazuri kuanzia mwanzoni, nyota njema huonekana alfajiri, na umezaa mipango mingine midogo midogo ya kuwezeshana kijamii.
Kwa Sasa mipango tuliyonayo nafanya vyema sana ni kama ifatavyo:
1) Abraar Bricks Nyumba kwa wote.
Mpango huu upo, unaendelea vizuri, unaendeshwa na Madrassatul Abraar chini ya usimamizi wa muasisi, Abdul Ghafur. Nadiriki kusema hili ni wazo la kipekee Tanzania, pengine na duniani. Binafsi sijawahi kuliona wala kusikia wapi limefanyika kama hili. Kama kuna walioliona na au lipo basi wanirekebishe na wanielimishe zaidi.
Kwa Sasa mipangotuliyonayo na inafanya vyema sana ni Abraar Bricks Nyumba kwa wote. Hii ipo na inasimamiwa na kuendeshwa na Madrassatul Abraar chini yangu.
Hili ni wazo la kipekee Tanzania, pengine na duniani. Sijawahi kuona wapi limefanyika kama hili.
Madrasaatul Abraar katika mpango huu, inakuwezesha wewe kujenga kwa kuanzia kwa Shillingi 2,500 tu.
Unaanza kwa kudunduliza kwetu kidogo kidogo, kwa maana ukijiunga tayari inakuwa umenunua kifaa cha ujenzi kimoja, nalo ni jiwe lako la msingi la ujenzi wa kisasa, ujenzi wa gharama nafuu na wenye ubora wa hali ya juu
2) Mafunzo ya kuunda vifaa vya ujenzi na ujenzi wa kisasa.
Mpango huu unawezesha vijana na kina mama kujifunza kazi za ujenzi kuanzia kuunda vifaa vya ujenzi mpaka kujengea. Mafunzo yanatolewa bure na chakula posho ya chakula inatolewa kwa wanafunzi wote wanaojiunga na mpango huu.
Kwa wale ambao tayari mafundi ujenzi, tunawapa ujuzi wa ziada na tunawafundisha kutumia bidhaa mpya za ujenzi, tunawafundisha nidhamu za kazi za ujenzi. Kiufupi, tunawanyanyua kutoka mafundi wa kawaida na kuwa mafundi bora. Bure na posho ya kujikimu kwa siku, kwa siku watazokuwa wanapata mafunzo.
Mafunzo yetu ni ya muda mfupi sana na yenye matokeo chanya na mema sana kwa yeyote mwenye nia ya kujifunza ujenzi au kuongeza ujuzi wa ujenzi3.
Viwanja vya gharama nafuu kwa malipo yasiokuwa na riba.
Kwa mara ya kwanza sasa tunawezesha jamii kujipatia viwanja vya gharama nafuu kwa malipo nafuu yasiokuwa na riba.
Kama u muandishi wa habari au umeguswa japo kidogo na hayo ya juu, unaweza kutupigia simu 0625249605 Abdul Ghafur, kwa maelezo na ufafanuzi wa ziada.
Abdul Ghafur said : Unaanza kwa kudunduliza kwetu kidogo kidogo, kwa maana ukijiunga tayari inakuwa umenunua kifaa cha ujenzi kimoja, nalo ni jiwe lako la msingi la ujenzi wa kisasa, ujenzi wa gharama nafuu na wenye ubora wa hali ya juu
Madrassa haikopeshi wala haikopi. Utakopesha sadaka ndugu yangu? Majanga hayo. Sisi tunawezesha. Sijui wapi ulipata wazo au ulipasoma kuwa tunakopesha hata ukaja na huo waraka wa BOT?Kuhusu hili la tahadhari ya Benki Kuu, madrassa inasemaje mkuu
https://www.ippmedia.com › node
BoT yawabana wakopeshaji binafsi, Vicoba - IPPMEDIA
10 Jan 2020 — BENKI Kuu ya Tanzania (BoT ), imevitaka vikundi, kampuni au mtu ... "BoT inatoa onyo kwa mtu, kikundi au taasisi yoyote ...