"Social Economic Empowerment Program" Madrassa Yabuni Mpango wa Kijamii wa Kuwezeshanana kiuchumi

"Social Economic Empowerment Program" Madrassa Yabuni Mpango wa Kijamii wa Kuwezeshanana kiuchumi

Madrasa inafundisha mambo ya dini

Tangu lini madrassa inafundisha engineering?

Wapi na wapi?

Mme-ilink na madrassa ili iwe karibu na dini,kujenga utapeli wa kuaminiwa,hakuna kingine

Nyumba tangu lini ikaanza kujengwa kwa 2,500/= wewe taahira?

Hii ni ponzi scheme unajenga very low entry watu wachangie shida inakuja wale wa mwishoni ndio watabeba hasara zote na wewe ndio utaenda kunyea debe jela

Hizi hela za kutafuta uzeeni wakati ushachoka hivi sio salama,wewe unadhani maisha ni rahisi tu hivi kwa 2,500/= acha ukichaa wewe
Madrassa maana yake ni madarasa. Nani alikudanganya kuwa Madrassa (madarasa) yana limit ya kufundisha? Hao unaowajua wewe wanaosoma engineering wanasomea wapi kama si madarasani?

Kama ulikuwa ahuelewi, Madrassa ndio ilizaa University" chuo kikuu (University) cha kwanza duniani.

Hata hayo maandishi unayoyaandika na kuyasoma, aka Alphabets, ni zao la Madrassa kama ulikuwa hufahamu, Hiyo ni Alif Bee Tee, ndipo lilipotoka neno Alphabet.

Hahahahahah. Una mengi ya kujifunza kupitia Madrassatu Abraar. Karibu sana.
 
Abdul Ghafur fafanua tafadhali kwa manufaa ya wengi "unaanza kudunduliza kwetu kidogo kidogo" ni nini hicho fedha au vifaa vya ujenzi. Maana kudunduliza ina maana fedha au pesa.

Abdul Ghafur said : Unaanza kwa kudunduliza kwetu kidogo kidogo, kwa maana ukijiunga tayari inakuwa umenunua kifaa cha ujenzi kimoja, nalo ni jiwe lako la msingi la ujenzi wa kisasa, ujenzi wa gharama nafuu na wenye ubora wa hali ya juu
 
Madrasa inafundisha mambo ya dini

Tangu lini madrassa inafundisha engineering?

Wapi na wapi?

Mme-ilink na madrassa ili iwe karibu na dini,kujenga utapeli wa kuaminiwa,hakuna kingine

Nyumba tangu lini ikaanza kujengwa kwa 2,500/= wewe taahira?

Hii ni ponzi scheme unajenga very low entry watu wachangie shida inakuja wale wa mwishoni ndio watabeba hasara zote na wewe ndio utaenda kunyea debe jela

Hizi hela za kutafuta uzeeni wakati ushachoka hivi sio salama,wewe unadhani maisha ni rahisi tu hivi kwa 2,500/= acha ukichaa wewe
Madrassa maana yake ni madarasa. Nani alikudanganya kuwa Madrassa (madarasa) yana limit ya kufundisha? Hao unaowajua wewe wanaosoma engineering wanasomea wapi kama si madarasani?

Kama ulikuwa ahuelewi, Madrassa ndio ilizaa "University" chuo kikuu cha kwanza duniani.

Hata hayo maandishi unayoyaandika na kuyasoma, aka Alphabets, ni zao la Madrassa kama ulikuwa hufahamu, Hiyo ni Alif Bee Tee, ndipo lilipotoka neno Alphabet.

Hahahahahah. Jionee mambo haya...
 
nonsense

pale dini inapojifanya ni scientific endevour.....what a bellony?

dini inayosema mtume alipaa mbinguni na farasi?tangu lini farasi ikapaa?kwa kutumia natural scientific laws zipi?

acheni uganga nyie
20210311_070932.jpg
 
"Social Economic Empowerment Program,." Mpango wa Kijamii wa Kuwezeshana Kiuchumi, Kwa mara ya Kwanza Tanzania. Haujawahi kutokea, duniani.

Ni mpango uliobuniwa na Madrassatul Abraar, iliopo mtaa wa Vitendo, Misugusugu, Kibaha, Pwani Tanzania.

Mpango ulianzishwa nakuasisiwa na Abdul ghafur kwa kujiwezesha kifamilia na marafiki wa karibu kutatua tatizo la kujipatia nyumba za kuishi kwa gharama nafuu.

Kwa kuwa mpango huo umekuwa ni mwema sana, na wenye mafanikio, tukaona kwanini tusiufikishe kwa jamii, tufaidike sote.

Mpango umeleta mafanikio mazuri kuanzia mwanzoni, nyota njema huonekana alfajiri, na umezaa mipango mingine midogo midogo ya kuwezeshana kijamii.

Kwa Sasa mipango tuliyonayo nafanya vyema sana ni kama ifatavyo:

1) Abraar Bricks Nyumba kwa wote.

Mpango huu upo, unaendelea vizuri, unaendeshwa na Madrassatul Abraar chini ya usimamizi wa muasisi, Abdul Ghafur. Nadiriki kusema hili ni wazo la kipekee Tanzania, pengine na duniani. Binafsi sijawahi kuliona wala kusikia wapi limefanyika kama hili. Kama kuna walioliona na au lipo basi wanirekebishe na wanielimishe zaidi.

Kwa Sasa mipangotuliyonayo na inafanya vyema sana ni Abraar Bricks Nyumba kwa wote. Hii ipo na inasimamiwa na kuendeshwa na Madrassatul Abraar chini yangu.

Hili ni wazo la kipekee Tanzania, pengine na duniani. Sijawahi kuona wapi limefanyika kama hili.

Madrasaatul Abraar katika mpango huu, inakuwezesha wewe kujenga kwa kuanzia kwa Shillingi 2,500 tu.

Unaanza kwa kudunduliza kwetu kidogo kidogo, kwa maana ukijiunga tayari inakuwa umenunua kifaa cha ujenzi kimoja, nalo ni jiwe lako la msingi la ujenzi wa kisasa, ujenzi wa gharama nafuu na wenye ubora wa hali ya juu

2) Mafunzo ya kuunda vifaa vya ujenzi na ujenzi wa kisasa.

Mpango huu unawezesha vijana na kina mama kujifunza kazi za ujenzi kuanzia kuunda vifaa vya ujenzi mpaka kujengea. Mafunzo yanatolewa bure na chakula posho ya chakula inatolewa kwa wanafunzi wote wanaojiunga na mpango huu.

Kwa wale ambao tayari mafundi ujenzi, tunawapa ujuzi wa ziada na tunawafundisha kutumia bidhaa mpya za ujenzi, tunawafundisha nidhamu za kazi za ujenzi. Kiufupi, tunawanyanyua kutoka mafundi wa kawaida na kuwa mafundi bora. Bure na posho ya kujikimu kwa siku, kwa siku watazokuwa wanapata mafunzo.

Mafunzo yetu ni ya muda mfupi sana na yenye matokeo chanya na mema sana kwa yeyote mwenye nia ya kujifunza ujenzi au kuongeza ujuzi wa ujenzi3.

Viwanja vya gharama nafuu kwa malipo yasiokuwa na riba.

Kwa mara ya kwanza sasa tunawezesha jamii kujipatia viwanja vya gharama nafuu kwa malipo nafuu yasiokuwa na riba.


Kama u muandishi wa habari au umeguswa japo kidogo na hayo ya juu, unaweza kutupigia simu 0625249605 Abdul Ghafur, kwa maelezo na ufafanuzi wa ziada.
Tuchuguze sana vyanzo vya pesa zake isiwe ni kampeni ya kidini ambapo mwisho wa siku tutaanza kuwa na magaidi. Maana hawa mabeberu wawe wa kiarabu au kizungu, hawafanyi kitu bila kuwa na ajenda ya siri kwa kuutumia ujinga na umaskini wetu. Muhimu, tuache utegemezi na kutumia raslimali zetu vizuri.
 
Tuchuguze sana vyanzo vya pesa zake isiwe ni kampeni ya kidini ambapo mwisho wa siku tutaanza kuwa na magaidi. Maana hawa mabeberu wawe wa kiarabu au kizungu, hawafanyi kitu bila kuwa na ajenda ya siri kwa kuutumia ujinga na umaskini wetu. Muhimu, tuache utegemezi na kutumia raslimali zetu vizuri.
Kama mtu kufundishwa kujenga ni ugaidi, basi huo ni ugaidi mwema kabisa.
 
Kama mttu kufundishwa kujenga ni ugaidi, basi huo ni ugaidi mwema kabisa.
Sisemi kufundishwa kujenga ni vibaya. Hata wamisionari walitufundisha elimu lakini haikutusaidia kitu ikilinganishwa na ukoloni waliouwezesha. Hizi dini zimeua mila na namna yetu ya kuishi na kutufanya mafala tunaotegemea pepo katika umaskini wa kutengenezwa nazo. Kwanini sisi tusiende kuwasaidia hao waarabu na wairani au wazungu wakati tumejaliwa raslimali nyingi kuliko wao? Blessed is the hand that giveth than the one that taketh mwanangu.
 
Sisemi kufundishwa kujenga ni vibaya. Hata wamisionari walitufundisha elimu lakini haikutusaidia kitu ikilinganishwa na ukoloni waliouwezesha. Hizi dini zimeua mila na namna yetu ya kuishi na kutufanya mafala tunaotegemea pepo katika umaskini wa kutengenezwa nazo. Kwanini sisi tusiende kuwasaidia hao waarabu na wairani au wazungu wakati tumejaliwa raslimali nyingi kuliko wao? Blessed is the hand that giveth than the one that taketh mwanangu.

Elimu bure inawezekana - Magufuli.
 
Mkuu Madrassa ni kiarabu, kiswahili ni SHULE. Huko vijana hufundishwa elimu ya kuishi hapa duniani, jinsi gani ya kujitunza//kuwatunza Wazazi, mke na watoto/kuishi na jirani/kujali wanyama na viumbe vingine/kufanya biashara/kujitibu na mambo kibao ya Duniani. Kuelimika sio kuwa na kazi nzuri ofisini, ni kujua kuishi km Binadam.
Kweli kabisa mkuu bora hio elimu yenu maana hii ya huku hovyovtu watu hatisomi kwaajili ya maendeleo bali tunasomea mitihani yao.
 
Kweli kabisa mkuu bora hio elimu yenu maana hii ya huku hovyovtu watu hatisomi kwaajili ya maendeleo bali tunasomea mitihani yao.
Elimu gani ya kukariri quran aka madrassa na upigaji kaswida ukiachia mbali kutengeneza watu wanaojikana wakajiona ni waarabu kuliko waswahili. Taifa la Sudan limemegwa na kuangamizwa na ujinga huu unaoitwa ilmu.
 
Maana ya "dini" ni njia na sisi tuna dini zetu. Kama wewe hauna dini ni wewe. Fanya upendacho kwa raha zako na sisi wacha tufanye tupendavyo mradi sote tusivunje sheria za nchi.

Ndio raha ya kuwa huru.
 
Abdul Ghafur fafanua tafadhali kwa manufaa ya wengi "unaanza kudunduliza kwetu kidogo kidogo" ni nini hicho fedha au vifaa vya ujenzi. Maana kudunduliza ina maana fedha au pesa.
Of course vifaa vya ujenzi, iunatoa 2,500 unapata kifaa cha ujenzi. Kama hauna pa kukiweka tunakuwekea, vikitimia kumi tunakuja kuanza kukujengea. Unadunduliza kidogo kidogo.

Huu ni mpango wa kipekee, haujwahi kutokea. Si lazima uwe na mamilioni ndio uanze kujenga, unaanza kwa Shillingi 2,500 tu...
hollow blocks 8.jpg



Hivyo vifaa vya mtu anadunduliza.
 
"Social Economic Empowerment Program,." Mpango wa Kijamii wa Kuwezeshana Kiuchumi, Kwa mara ya Kwanza Tanzania. Haujawahi kutokea, duniani.

Ni mpango uliobuniwa na Madrassatul Abraar, iliopo mtaa wa Vitendo, Misugusugu, Kibaha, Pwani Tanzania.

Mpango ulianzishwa nakuasisiwa na Abdul ghafur kwa kujiwezesha kifamilia na marafiki wa karibu kutatua tatizo la kujipatia nyumba za kuishi kwa gharama nafuu.

Kwa kuwa mpango huo umekuwa ni mwema sana, na wenye mafanikio, tukaona kwanini tusiufikishe kwa jamii, tufaidike sote.

Mpango umeleta mafanikio mazuri kuanzia mwanzoni, nyota njema huonekana alfajiri, na umezaa mipango mingine midogo midogo ya kuwezeshana kijamii.

Kwa Sasa mipango tuliyonayo nafanya vyema sana ni kama ifatavyo:

1) Abraar Bricks Nyumba kwa wote.

Mpango huu upo, unaendelea vizuri, unaendeshwa na Madrassatul Abraar chini ya usimamizi wa muasisi, Abdul Ghafur. Nadiriki kusema hili ni wazo la kipekee Tanzania, pengine na duniani. Binafsi sijawahi kuliona wala kusikia wapi limefanyika kama hili. Kama kuna walioliona na au lipo basi wanirekebishe na wanielimishe zaidi.

Kwa Sasa mipangotuliyonayo na inafanya vyema sana ni Abraar Bricks Nyumba kwa wote. Hii ipo na inasimamiwa na kuendeshwa na Madrassatul Abraar chini yangu.

Hili ni wazo la kipekee Tanzania, pengine na duniani. Sijawahi kuona wapi limefanyika kama hili.

Madrasaatul Abraar katika mpango huu, inakuwezesha wewe kujenga kwa kuanzia kwa Shillingi 2,500 tu.

Unaanza kwa kudunduliza kwetu kidogo kidogo, kwa maana ukijiunga tayari inakuwa umenunua kifaa cha ujenzi kimoja, nalo ni jiwe lako la msingi la ujenzi wa kisasa, ujenzi wa gharama nafuu na wenye ubora wa hali ya juu

2) Mafunzo ya kuunda vifaa vya ujenzi na ujenzi wa kisasa.

Mpango huu unawezesha vijana na kina mama kujifunza kazi za ujenzi kuanzia kuunda vifaa vya ujenzi mpaka kujengea. Mafunzo yanatolewa bure na chakula posho ya chakula inatolewa kwa wanafunzi wote wanaojiunga na mpango huu.

Kwa wale ambao tayari mafundi ujenzi, tunawapa ujuzi wa ziada na tunawafundisha kutumia bidhaa mpya za ujenzi, tunawafundisha nidhamu za kazi za ujenzi. Kiufupi, tunawanyanyua kutoka mafundi wa kawaida na kuwa mafundi bora. Bure na posho ya kujikimu kwa siku, kwa siku watazokuwa wanapata mafunzo.

Mafunzo yetu ni ya muda mfupi sana na yenye matokeo chanya na mema sana kwa yeyote mwenye nia ya kujifunza ujenzi au kuongeza ujuzi wa ujenzi3.

Viwanja vya gharama nafuu kwa malipo yasiokuwa na riba.

Kwa mara ya kwanza sasa tunawezesha jamii kujipatia viwanja vya gharama nafuu kwa malipo nafuu yasiokuwa na riba.


Kama u muandishi wa habari au umeguswa japo kidogo na hayo ya juu, unaweza kutupigia simu 0625249605 Abdul Ghafur, kwa maelezo na ufafanuzi wa ziada.
Sijaelewa zaidi ya 2500/= mengine unajikanyagakanyaga tu
 
Sijaelewa zaidi ya 2500/= mengine unajikanyagakanyaga tu
Sijawahi kudhani kuwa kila mtu atanielewa. Ikiwa watu wanashindwa kumuelewa Mungu na mitume yake watawezaje wote kunielewa mimi? Itakuwa ni muujiza.

Kila mmoja na uelewa wake na muono wake. Uliza moja moja ambalo hujaelewa nikueleweshe zaidi.
 
Back
Top Bottom