Social Media: Usijikute Unabishana na Mtu Mwenye Low IQ Bila Kujua!

Social Media: Usijikute Unabishana na Mtu Mwenye Low IQ Bila Kujua!

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,367
Reaction score
2,451
Mitaa ya IG, Twitter (X), JF, na kwingine ni kama jungle ukikosa Emotional Quotient (EQ) ya kutosha, unaweza kuingia kwenye mabishano makali, ukijitoa ufahamu, kumbe mwenzako ni mwanafunzi wa kidato cha tatu! au mwingine kavurugwa/low IQ.

Wengine ni vichalii vinavyoishi kwa waume za dada zao, lakini wakishika simu, wanakuwa mabosi wa mitandaoni.

Hii mitaa inakuhitaji uwe mbunifu, ujue tofauti ya mabishano ya maana na kelele za watoto wa shule na watu wenye IQ ndogo. Usijichoshe bure ujanja ni akili, si hasira!
 
At what logical extent do u propose yourself to be of high intelligence than anyone who oppose, diss or disagrees with u.

Then,

This proves that u are a highly emotional sweet baby who is afraid of being criticised.

Kama JF hauiwezi, angalia porno siku nzima.
 
At what logical extent do u propose yourself to be of high intelligence than anyone who oppose, diss or disagrees with u.

Then,

This proves that u are a highly emotional sweet baby who is afraid of being criticised.

Kama JF hauiwezi, angalia porno siku nzima.
Kwa hiyo, kwa akili yako ndogo, mtu anayekataa kupoteza muda kubishana na watu wasio na mchango wowote kwenye maisha yake ni 'sweet baby'? 😂

Basi wewe unakazana kujiona mjuaji huku maisha yako yako pale pale, ukiwa na muda wa kuandika ujinga mtandaoni badala ya kujitafutia maendeleo. Sasa niambie, huu ujinga unaoandika hapa unakulipa nini? Au ndio zile kelele za form 3 wakijiona wana akili kuliko wote?
 
Kwa hiyo, kwa akili yako ndogo, mtu anayekataa kupoteza muda kubishana na watu wasio na mchango wowote kwenye maisha yake ni 'sweet baby'? 😂

Basi wewe unakazana kujiona mjuaji huku maisha yako yako pale pale, ukiwa na muda wa kuandika ujinga mtandaoni badala ya kujitafutia maendeleo. Sasa niambie, huu ujinga unaoandika hapa unakulipa nini? Au ndio zile kelele za form 3 wakijiona wana akili kuliko wote?
Nini maana ya akili ndogo?

Je ni mimi niliekujibu logically kwamba sie kila anae kudiss ana akili ndogo zaidi yako au wewe unaendelea kusema kila anakudisa vikali ni moumbavu

That so,

Je nini mimi mwenye low IQ au wewe ambaye unajibu kwa mihemuko kama uko period?
 
Watu wanatofautiana mkuu watu hata hapa JF wapo ambao ni high intelligent 🧠 tunasema ni given ones na Kuna low IQ ambao 24/7 ni kuongea stupidity on public
Watu wenye akili stable unakuta wamebalance akili na moyo wao
Yani fikra na mihemuko yao
Sasa wewe unabwabwaja na kuropoka kutoka kwnye mihemuko alafu unatukana wengine hawana akili sahihi😂😂😂
 
Mtu kuwa mtoto au kuwa anaishi kwa dada sio sababu ya kuacha kujibu hoja yake .

Tujifunze namna ya kujibu hoja na sio kurukia personality ya mtu kama kigezo cha kudharau hoja yake.
Huyu jamaa ni matokeo ya vijana wale walio na hofu za maisha.

Wanaogopa kudisiwa
Wanaogopa maneno ya watu.

Huyu jamaa ni aina ya vijana walioridhika na upeo wa akili yao, basi kutokana ni mbishi na mkaidi anaona wengine ni mazombi ila kiukweli yeye ndio vampire kabisa😂
 
Back
Top Bottom