Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Kingine jf ni sehemu ya hoja na majadiliano, haina kifaa Cha kupima utajiri wa mtu kupitia keyboard.Pia umri au uchumi wa mtu sio vigezo vya kumbagua kwenye kila mada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kingine jf ni sehemu ya hoja na majadiliano, haina kifaa Cha kupima utajiri wa mtu kupitia keyboard.Pia umri au uchumi wa mtu sio vigezo vya kumbagua kwenye kila mada.
Jamaa ana taka kIle anacho kisema kiwe Sheria, as if we live and act on certain rules.Hakika mkuu
Unawezaje kumpoint mara eti ni punguani mara anaiishi kwa shemeji yake.
Sasa nani ni mpumbavu 😂, wewe unaemuona yuko hivyo au huyo unaemdhania??
Anaweza kuwa form 3 na akakuzidi kila kitu kasoro umri.Mitaa ya IG, Twitter (X), JF, na kwingine ni kama jungle ukikosa Emotional Quotient (EQ) ya kutosha, unaweza kuingia kwenye mabishano makali, ukijitoa ufahamu, kumbe mwenzako ni mwanafunzi wa kidato cha tatu! au mwingine kavurugwa/low IQ.
Wengine ni vichalii vinavyoishi kwa waume za dada zao, lakini wakishika simu, wanakuwa mabosi wa mitandaoni.
Hii mitaa inakuhitaji uwe mbunifu, ujue tofauti ya mabishano ya maana na kelele za watoto wa shule na watu wenye IQ ndogo. Usijichoshe bure ujanja ni akili, si hasira!
Ukweli mchungu huu.Bro, mbona maandiko yako yanaonesha na wewe ni low IQ?!..
Ewaa, legend ume maliza hapa.Anaweza kuwa form 3 na akakuzidi kila kitu kasoro umri.
😂😂😂Bro, mbona maandiko yako yanaonesha na wewe ni low IQ?!..
Mtoa mada kama hana shida ya msongo wa mawazo basi anapenda kupashana pashana kama taarabuAnaweza kuwa form 3 na akakuzidi kila kitu kasoro umri.
Ita kuwa ni mtu wa mombasaMtoa mada kama hana shida ya msongo wa mawazo basi anapenda kupashana pashana kama taarabu
Furaha yao kukudhihaki ili kukujaza upepo🤣🤣🤣🤣ndiyo furaha yao maybe
😂Ita kuwa ni mtu wa mombasa
Sawa ukiishaajazika upepo na ukaanza kutapika tapika , alafu unajiita una high iq Kuzidi wao siumeona wewe ni wale waleFuraha yao kukudhihaki ili kukujaza upepo🤣🤣🤣🤣
mjinga weweMim ndo maana mtu akinitusi kwenye comment yangu Huwa sirudishi tusi haraka haraka nakua nimeshaisoma akili yake
Ila tusifikie huku mkuu😂Kama hadi sasa hamjamtambua kuwa mtoa mada ni muhanga wa msongo wa mawazo na roho mbaya na wala sio kwamba ana akili kutuzidi😂, ebu muangalie hadi sasa anajibizana na sisi mapunguani wenye low IQ
Intelligent businessman min -me ebu muambie huyu muimba taarabu kuwa JF tuliikuta na tutaiacha.
Kwa heshima yako na Intelligent businessman nimeamua kumuacha 😂😂😂Ila tusifikie huku mkuu😂
Uki zingua usi tuchagulie silaha🤣😂Ila tusifikie huku mkuu😂
hebu tukana kifalsafa tuonee🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wale wote wanaotukana ni low IQ. Mwenye Iq kubwa anatukana kifalsafa.
Mkuu kwenu una baa kwa nyuma?hebu tukana kifalsafa tuonee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂Uki zingua usi tuchagulie silaha🤣😂