Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Hakika na JF is the proofMental health is real....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika na JF is the proofMental health is real....
Yeah lakini ni vyema kutoa maneno ya hekima na kurespond vizuri.
Sio mtu anatoa maneno ya kejeli, kashfa au matusi I'll still consider people like this Wana low IQ.
Watu wenye IQ kubwa huwa waungwana sana na wastaarabu.
Lakini, JF is full of great thinkers I really appreciate that mkuu. The problem comes to low IQ expert on JF
YeahHakika ni maisha yao
Changamoto yako unajipa sana umuhimu na kuwapa umuhimu wale wewe kwa mtazamo wako unaona ndio wanaofaa.Yeah lakini ni vyema kutoa maneno ya hekima na kurespond vizuri.
Sio mtu anatoa maneno ya kejeli, kashfa au matusi I'll still consider people like this Wana low IQ.
Watu wenye IQ kubwa huwa waungwana sana na wastaarabu.
Lakini, JF is full of great thinkers I really appreciate that mkuu. The problem comes to low IQ expert on JF
Nnje ya mada mkuu , hivi majivu mnapaka kwa sababu gani?Kwahiyo majiniazi mmeamua kubishana kwa hoja sio? Haya wacha sisi tufuatilie hii mbungi.😂😂
By the way, najua haiwahusu ila Leo naenda kupaka majivu namie, hapo baadae kidogo...
😂😂😂😂Hapa ulitakiwa kuandika hivyo tu halafu basi
😂😂😂
Ngoja vijana wa tunaokota makopo na kuishi kwa shemeji tufanye yetu, hatuna kazi maalum😂
Leo atalala anaota nyuzi za JF.Na aombaye hupewa imeandikwa,,,,,
KIJANA AMEOMBA ASHUGHULIKIWE ANAHISI ANAMARUHANI😂😂😂😂
Kumbe mkuu kuna mda huwa una andika madini🤣Changamoto yako unajipa sana umuhimu na kuwapa umuhimu wale wewe kwa mtazamo wako unaona ndio wanaofaa.
Haya maisha wote tungekuwa ni watu wa ndio na pasitokee wa kusema hapana,kusingekuwa na utamu wa maisha.
Unapotumia msingi wa akili kubwa (High IQ) na (LOW IQ) lazima uwe unauhakika na utupe kipimo kipi umetumia kuwapima hao watu.Tofauti na hapo wewe ni mjivuni,mjinga na mtu asiyependa mabadiliko.
Sio kila mtazamo tutakuwa wapinzani.Mingine hii tunakuwa tupo sawa.Kumbe mkuu kuna mda huwa una andika madini🤣
Na leo mbengooo zitafungokaa......Leo atalala anaota nyuzi za JF.
Bwnaa wewoooooooo🥳🥳🥳
Iko na story mbili ila zote mwisho wake ni mmoja, ya kwanza wewe ni kavumbi na utarudi kuwa mavumbi na ya pili ni ishara ya unyenyekevu na majuto juu ya madhambi ambayo umeyafanya iwe kwa kujua au kwa kutokujua... Twende tukapake majivu mkuu😅😅 au na hii nayo unataka uthibitisho?🤣Nnje ya mada mkuu , hivi majivu mnapaka kwa sababu gani?
Swadakta.Kumbe mkuu kuna mda huwa una andika madini🤣
Hii mada yako uliyoandika imekuingizia shingapi bwanamkubwa.Kwa hiyo, kwa akili yako ndogo, mtu anayekataa kupoteza muda kubishana na watu wasio na mchango wowote kwenye maisha yake ni 'sweet baby'? 😂
Basi wewe unakazana kujiona mjuaji huku maisha yako yako pale pale, ukiwa na muda wa kuandika ujinga mtandaoni badala ya kujitafutia maendeleo. Sasa niambie, huu ujinga unaoandika hapa unakulipa nini? Au ndio zile kelele za form 3 wakijiona wana akili kuliko wote?
Tajiri gani anabisha na vijana wanaoishi kwa shemeji zao hadi sasa😂😂😂😂😂Hii mada yako uliyoandika imekuingizia shingapi bwanamkubwa.
Jaribu kuhubiri yale unayoweza kutenda😂😂😂its easy saying than doing.
Mkuu matumizi ya matusi, kejeli na hoja zisizo na mashiko reflect low intelligence the way you interact with important discussion shows how intelligent you are!!Changamoto yako unajipa sana umuhimu na kuwapa umuhimu wale wewe kwa mtazamo wako unaona ndio wanaofaa.
Haya maisha wote tungekuwa ni watu wa ndio na pasitokee wa kusema hapana,kusingekuwa na utamu wa maisha.
Unapotumia msingi wa akili kubwa (High IQ) na akili ndogo(LOW IQ) lazima uwe unauhakika na utupe kipimo kipi umetumia kuwapima hao watu.Tofauti na hapo wewe ni mjivuni,mjinga na mtu asiyependa mabadiliko.
Tumechoka kuwa seriousAise kabisa mkuu ukitaka kujua watu wa hovyo fuatilia replies zao zote ni hovyo.
kijana amejifungia kwenye box hataki challenge🤗🤗🤗Huyu jamaa ni matokeo ya vijana wale walio na hofu za maisha.
Wanaogopa kudisiwa
Wanaogopa maneno ya watu.
Huyu jamaa ni aina ya vijana walioridhika na upeo wa akili yao, basi kutokana ni mbishi na mkaidi anaona wengine ni mazombi ila kiukweli yeye ndio vampire kabisa😂
😅😅😅 huo sasa ni uchokoziKama mnataka kuona mtoa mada anakili ndogo kama zangu ngoja muone anatanijibu hii comment.
"MTOA MADA, MAYBE U ARE JUST INSANE"