Mallerina
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 1,236
- 2,060
😹Sema kweli?!!! Mimi ni mbaya aubebi sikupendi🤣😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹Sema kweli?!!! Mimi ni mbaya aubebi sikupendi🤣😂
mkuu msameheni usi kute alipo kuna jua Kali, hivyo ubongo una shindwa kufanya kazi vizuri🤣😂Wewe kuwaita wachangiaji wa JF low IQ kwako unaona hujawatusi au kuwatweza uwezo wao wa kiakili???
Tusi kwako ni nini hasa???
Mallerina yupo kwenye madhabau anachota mipesa kama mwehu vile😂😂😂😂😂😂😂
Mallerina nimecheka sanaaa hadi nimemwaga maji ya shemu ya kuoga, sijui atanifukuza😂
min -me Intelligent businessman karibu tule ndio nimepakua ugali baada ya kumpelekea shemeji maji ya kuoga.
Sasa sijui mtoa mada mwenye akili kubwa amegundua elikopta ya kutupeleka juani au amejikunja kama mimi na ugali wa shem
you're too good for me 🤣😂😹Sema kweli?!!! Mimi ni mbaya au
Atakuwa mgeni wa maisha ya mtandaoni.Kwanza ata wengine maisha yetz humu jf sio ya uhalisia we play as fools
Hata hapa JF wapo wengi sana tu.Mitaa ya IG, Twitter (X), JF, na kwingine ni kama jungle ukikosa Emotional Quotient (EQ) ya kutosha, unaweza kuingia kwenye mabishano makali, ukijitoa ufahamu, kumbe mwenzako ni mwanafunzi wa kidato cha tatu! au mwingine kavurugwa/low IQ.
Wengine ni vichalii vinavyoishi kwa waume za dada zao, lakini wakishika simu, wanakuwa mabosi wa mitandaoni.
Hii mitaa inakuhitaji uwe mbunifu, ujue tofauti ya mabishano ya maana na kelele za watoto wa shule na watu wenye IQ ndogo. Usijichoshe bure ujanja ni akili, si hasira!
Kuwa na heshima teacher mimi nina IQ kubwa bana japo huko juu kweli ni Zero IQHivi kwa Tanzania Kuna mna mtu siyo low IQ ukianzia uongozi wa juu?
Tunahitaji msaada wa afya ya akili.
Mbona unasema hunipendi?!!!😹😹you're too good for me 🤣😂
Kiranga, watu waoweza kujibu hoja kwa hoja ni wachache sana. Wengi wana commit logical fallacies hasa hasa ad hominemHata hapa JF wapo wengi sana tu.
Mimi nikishaona mzozo usio na afya na mtu asiye na akili nampeleka ignore list tu.
Wewe kuwaita wachangiaji wa JF low IQ kwako unaona hujawatusi au kuwatweza uwezo wao wa kiakili???
Tusi kwako ni nini hasa???
Low IQ may be reflected on social media through the following:Hata hapa JF wapo wengi sana tu.
Mimi nikishaona mzozo usio na afya na mtu asiye na akili nampeleka ignore list tu.
Ngisha/nashicha mnamaMeku ambonyi
Aisee nina kigugumizi, maana jina lake refu🤣😂Kuna mtu humu humu amedai humu humu kwamba amemaliza Form Four na anataka Ushauri wa kwenda Advance ama College.
Miezi tisa badae ashajua kila kitu.
Ana biashara mwenge, ameajiri watu kumfanyia kazi, anajenga bwawa la samaki, Programming, IQ, EQ na tafiti zingine lukuki ashafanya.
Eli Cohen unamjua huyo? 😂
Hii inawezekana mkuu kuna kijana maskini juzi juzi juzi tu leo ni tajiri hana baya.Kuna mtu humu humu amedai humu humu kwamba amemaliza Form Four na anataka Ushauri wa kwenda Advance ama College.
Miezi tisa badae ashajua kila kitu.
Ana biashara mwenge, ameajiri watu kumfanyia kazi, anajenga bwawa la samaki, Programming, IQ, EQ na tafiti zingine lukuki
Eli Cohen unamjua huyo? 😂
Karibu umbeke mlehuNgisha/nashicha mnama
Wengi mno na hushirikiana kumdhihaki mtoa mada au watu wengine humu japo Kuna kona Kuna waungwana wenye busara mno humu.Hata hapa JF wapo wengi sana tu.
Mimi nikishaona mzozo usio na afya na mtu asiye na akili nampeleka ignore list tu.
😂😂😂😂😂Kuna mtu humu humu amedai humu humu kwamba amemaliza Form Four na anataka Ushauri wa kwenda Advance ama College.
Miezi tisa badae ashajua kila kitu.
Ana biashara mwenge, ameajiri watu kumfanyia kazi, anajenga bwawa la samaki, Programming, IQ, EQ na tafiti zingine lukuki ashafanya.
Eli Cohen unamjua huyo? 😂
soon🤣😂Mbona unasema hunipendi?!!!😹😹
Unataka kunirudisha soko?!!!!!
🤣🤣🤣🤣