Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kuwaita wachangiaji wa JF low IQ kwako unaona hujawatusi au kuwatweza uwezo wao wa kiakili???Mkuu matumizi ya matusi, kejeli na hoja zisizo na mashiko reflect low intelligence the way you interact with important discussion shows how intelligent you are!!
mimi nashangaa watu wanatokwa na mapovu wakati option za kuignore watu usiowataka kuwaona ipo.Kila mtu aandike chenye anataka
Walio wengi wanafanya utafitiMitaa ya IG, Twitter (X), JF, na kwingine ni kama jungle ukikosa Emotional Quotient (EQ) ya kutosha, unaweza kuingia kwenye mabishano makali, ukijitoa ufahamu, kumbe mwenzako ni mwanafunzi wa kidato cha tatu! au mwingine kavurugwa/low IQ.
Wengine ni vichalii vinavyoishi kwa waume za dada zao, lakini wakishika simu, wanakuwa mabosi wa mitandaoni.
Hii mitaa inakuhitaji uwe mbunifu, ujue tofauti ya mabishano ya maana na kelele za watoto wa shule na watu wenye IQ ndogo. Usijichoshe bure ujanja ni akili, si hasira!
ana shida kubwa, Eli Cohen kasema huyu ana weza kuimba taarabHajui watu wenye high IQ hata wanavyobehave😂😂😂
📌Tunaishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuendelea kuwafanya vijana wachanganyikiwe👏👏🤗
Hii mitandao inatuonyesha vingi sana.This dude is a DIKITETAAA!!!Jamaa ana taka kIle anacho kisema kiwe Sheria, as if we live and act on certain rules.
Usi kute na jasho Lina mtoka, huku mapigo ya moyo yako speed Kama treni😂🤣mimi nashangaa watu wanatokwa na mapovu wakati option za kuignore watu usiwataka kuwaona ipo.
Pia mtu yoyote anayohaki ya kufungua nyuzi kadri ya uwezo na pumzi yake.Sasa yanini mtu anapandisha sukari kwa vitu unavyoweza kuvicontrol.
😂😂😂😂😂😂😂Tumechoka kuwa serious
Na nili dikteta la hovyo kichwani.Hii mitandao inatuonyesha vingi sana.This dude is a DIKITETAAA!!!
Usi kute hata huo ugali wa Shem bado haja ula, mpaka aoshe vyombo 🤣 😂😂😂😂😂😂😂😂
min -me Intelligent businessman karibu tule ndio nimepakua ugali baada ya kumpelekea shemeji maji ya kuoga.
Sasa sijui mtoa mada mwenye akili kubwa amegundua elikopta ya kutupeleka juani au amejikunja kama mimi na ugali wa shem
Kwanza ata wengine maisha yetz humu jf sio ya uhalisia we play as foolsmimi nashangaa watu wanatokwa na mapovu wakati option za kuignore watu usiwataka kuwaona ipo.
Pia mtu yoyote anayohaki ya kufungua nyuzi kadri ya uwezo na pumzi yake.Sasa yanini mtu anapandisha sukari kwa vitu unavyoweza kuvicontrol.
😂😂😂😂😂😂😂Usi kute hata huo ugali wa Shem bado haja ula, mpaka aoshe vyombo 🤣 😂
DJ chukua 🎤 🎙️ MAKOFI matatu Kwako 😊.Mitaa ya IG, Twitter (X), JF, na kwingine ni kama jungle ukikosa Emotional Quotient (EQ) ya kutosha, unaweza kuingia kwenye mabishano makali, ukijitoa ufahamu, kumbe mwenzako ni mwanafunzi wa kidato cha tatu! au mwingine kavurugwa/low IQ.
Wengine ni vichalii vinavyoishi kwa waume za dada zao, lakini wakishika simu, wanakuwa mabosi wa mitandaoni.
Hii mitaa inakuhitaji uwe mbunifu, ujue tofauti ya mabishano ya maana na kelele za watoto wa shule na watu wenye IQ ndogo. Usijichoshe bure ujanja ni akili, si hasira!
Hakika lakini haimaniishi we are insane or not intelligentKwanza ata wengine maisha yetz humu jf sio ya uhalisia we play as fools
komasavaa jamaa yangu sana tunachuana mno kwenye nyuzi zake😂😂Swadakta.
Hii ina prove kuwa sio kwamba watu wa JF na maandiko yao ndio ishara ya upeo wa akili yao.
Mara nyingi humu kuna masihara lakini pia ndio yanafanya tu-enjoy.
Unaweza kuandikka kitu mtu akaandika masihara ,kama hautaki una mblock
Lakin unaposema aliekupinga mfano kuwa hakuna uchawi eti yeye nimjinha zaidi yako yani hio ina prove how insane u are kama mtos mada
bebi sikupendi🤣😂Kwanza ata wengine maisha yetz humu jf sio ya uhalisia we play as fools
Kama wa mbuziHili lipo wazi
Kabisa ✅Hakika lakini haimaniishi we are insane or not intelligent
Tumsamehe bure atakuwa amejifunza kuwa JF ni kubwa kuliko yeye.Watu wote tumeikuta tunapita na tutaiacha.Usi kute na jasho Lina mtoka, huku mapigo ya moyo yako speed Kama treni😂🤣
Dr karibu kinywaji changamshi masharti ya mganga yamenishinda asee🤣DJ chukua 🎤 🎙️ MAKOFI matatu Kwako 😊.
Upo sahihi.