Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 1,638
- 1,961
Eh Shemeji mpishi ama mvuvi?πππππ Shs 70,000 kwa mweziπππππ
Nimecheka hadi shemeji ameshtuka na alikuwa amekuja kulala aamkie zamu ya jioni katika kampuni ya mtoa madaa
Ila mkuu sasa hii ndio utamu wa JF πππ mambo kama hayo unayaacha tu ynapita kwa maana hayataacha kuja humu
Humu kila mtu ni tajir, ana iq kubwa, ana biashara k kooπππ
Mkuu jiongezeπ ππππ€£
acha niache manake sitakuwa salama