min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Madam haujambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madam haujambo?
Nipo mawindo,🤣Unawinda nini😂
Mi mzima Kamanda.... how's it min?Madam haujambo?
Sure ndivyo ilivyoNipo mawindo,🤣
Si mlisema we attract what we are😹😹
Mda huo unatumia nguvu nying mpaka fuvu linafuka mosh, kumbe unahangaika na kitoto kimetoka kula ugari wa dada.Mitaa ya IG, Twitter (X), JF, na kwingine ni kama jungle ukikosa Emotional Quotient (EQ) ya kutosha, unaweza kuingia kwenye mabishano makali, ukijitoa ufahamu, kumbe mwenzako ni mwanafunzi wa kidato cha tatu! au mwingine kavurugwa/low IQ.
Wengine ni vichalii vinavyoishi kwa waume za dada zao, lakini wakishika simu, wanakuwa mabosi wa mitandaoni.
Hii mitaa inakuhitaji uwe mbunifu, ujue tofauti ya mabishano ya maana na kelele za watoto wa shule na watu wenye IQ ndogo. Usijichoshe bure ujanja ni akili, si hasira!
Nipo poa sana sana toye mnaendeleaje hapo mpitimbi?Mi mzima Kamanda.... how's it min?
Nisupport tu😁Sure ndivyo ilivyo
Utanipa nafasi ya kusali madhabahuni kwako siku moja ? Ili niwe tajiri na mimi?Nisupport tu😁
ila sio ww ulisema unajiweza 😳Utanipa nafasi ya kusali madhabahuni kwako siku moja ? Ili niwe tajiri na mimi?
Umeona na uwandishi wao wakigasho gashoko umeamua uniseme
Wapi nilisema una amini maneno ya huku kumbe ? Humu matajiri wapo na hawana kelele kama sie , kwasababu utajiri na kelele ni kama paka na panya.ila sio ww ulisema unajiweza 😳
kama ya Mbuzi..Hili lipo wazi
Hiyo Ko maana yake niniko umeamua uniseme
Mbona kama unanipigia mfano😂Wapi nilisema una amini maneno ya huku kumbe ? Humu matajiri wapo na hawana kelele kama sie , kwasababu utajiri na kelele ni kama paka na panya.
Aise, pia watu wengine una interact nao humu wanakuvuruga bure, hawana hata direction ya maisha. Unajaribu kuleta mada zenye umuhimu kwako na wadau wenye IQ kubwa lakini unakutana na watatu wanne wanaojaza tu "shit posting."(JARIBU KUANGALIA REPLIES ZA WATU FULANI HAPO JUU WALIVYOKUWA WAKIJIFARIJI NA KUSUPPORT UJINGA) yaani Ni kama kujaribu kumwaga maji kwenye gunia la makengeza.Mda huo unatumia nguvu nying mpaka fuvu linafuka mosh, kumbe unahangaika na kitoto kimetoka kula ugari wa dada.
Ndo maana mtu akija na hasira me sionyesh hasira
Kuna jamaa nili enda sehemu nimetulia akaja jamaa akaomba akae kalewa mpaka anasahau anacho ongea..Kabisa bro binafsi nikinywa naona akili inataka kupasuka kwa madini yaliyopo😄
Pombe inahitaji watu makini na wenye akili timamu Dr.Kuna jamaa nili enda sehemu nimetulia akaja jamaa akaomba akae kalewa mpaka anasahau anacho ongea..
Anaongea vitu havieleweki kabisa yaani anaongea mambo yasiyo eleweka.
Sahihi 😅Pombe inahitaji watu makini na wenye akili timamu Dr.
Ukanda wa GazaUkanda upi