To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣 Aliwajichanganya akilalamika form 2 hesabu ni ngumu sana na for figure hanaUliomba mbususu ikafika ikiwa na kivuli cha gereza la Segerea miguuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 Aliwajichanganya akilalamika form 2 hesabu ni ngumu sana na for figure hanaUliomba mbususu ikafika ikiwa na kivuli cha gereza la Segerea miguuni
Ni kweli mkuu mitandao ya kijamii mara nyingi huonyesha upande mmoja tu wa mtu. Mtu anaweza kuonekana mwehu lakini kwa undani ana akili na mchango mkubwa kwa jamii. Hivyo ni kweli, tusihukumu watu haraka(lakini sio kwa watoa matusi na kejeli), kwani kila mtu ana hadithi na mchango wake humu JF.Umenena vyema mkuu, japo matusi sio mazuri ila mitandao ya kijamii unaichukulia tu kama ilivyo , kiufupi huku mtu anaweza onekana mwehu kama BICHWA KOMWE - ila deep down ni mtu makini mno na ana mchango mkubwa mno kwa jamii.
Mganga noma SANAA.Dr karibu kinywaji changamshi masharti ya mganga yamenishinda asee🤣
Hahaha, ni kweli, mitandao mara nyingi inakuwa na vitu vingi vinavyochangia "toxicity" na wengi wetu tunajikuta tunajiingiza kwenye mabishano yasiyokuwa na maana. Lakini ni muhimu kukumbuka kwamba kila mmoja ana njia yake ya kujifunza na Kuna wengine kupitia threads za watu wengine hujifunza Mimi pia ni mmoja wa watu ambao wamejifunza kupitia mawazo ya waungwana humu(JF is the best place to learn, if you want fun you can dive in other social media but in learning JF stands as the king).mimi nadhani wote tunaotumia hizi social medias ni low IQ...maana mitandao hiyo yote imejaa high toxicity contents, ambazo high IQ ni ngumu kuwa nazo around tena kwa kununua bando kabisa,...
kwahiyo low IQ wenzangu, mabishano yenu yanaendelea ku-prove IQ zenu,.....😂😂
Hapa ni mwendo wa Burnett's vodka😄Mganga noma SANAA.
Asante Mimi mpaka jioni..nikimaliza Majukumu 😅😅
Tena kidogo Sanaa for recreational purposes.
Mwingine anaweza kukupinga kwamba highly iq hawezi kwepa toxicity contents bali huzichambua nakuchuja zinazo mfaa🤔mimi nadhani wote tunaotumia hizi social medias ni low IQ...maana mitandao hiyo yote imejaa high toxicity contents, ambazo high IQ ni ngumu kuwa nazo around tena kwa kununua bando kabisa,...
kwahiyo low IQ wenzangu, mabishano yenu yanaendelea ku-prove IQ zenu,.....😂😂
Haaahaa 😊 mpaka jioni utakua HAILE HAILE..Hapa ni mwendo wa Burnett's vodka😄
Nafikiri kwa sasa hakuna uongozi tuliowahi kuwa nao wenye low I q km huu wa sassa..ni aheri ya la saba bHivi kwa Tanzania Kuna mna mtu siyo low IQ ukianzia uongozi wa juu?
Tunahitaji msaada wa afya ya akili.
Sio kwel mkuu 🤣Haaahaa 😊 mpaka jioni utakua HAILE HAILE..
nae atakuwa ni low IQ kama mimi tu , 🤣🤣😂🤣 hana jipya zaidi ya mbwembwe tu... maana high IQ nasikiaga hawatumii social medias kwakuwa hawataki tuwaambukize ujinga, ni bora wakacheza chess kurefresh mind,...😂🤣Mwingine anaweza kukupinga kwamba highly iq hawezi kwepa toxicity contents bali huzichambua nakuchuja zinazo mfaa🤔
Hivi Elon nae ni low au high kwa sababu nataka nifanye maamuzi chapu mkuu?nae atakuwa ni low IQ kama mimi tu , 🤣🤣😂🤣 hana jipya zaidi ya mbwembwe tu... maana high IQ nasikiaga hawatumii social medias kwakuwa hawataki tuwaambukize ujinga, ni bora wakacheza chess kurefresh mind,...😂🤣
mwenzetu ana bahati...yule ni chotara,..low IQ kwa mama, high IQ kwa baba,....so ni yeye tu kuji-tune😂Hivi Elon nae ni low au high kwa sababu nataka nifanye maamuzi chapu mkuu?
Naogopaga Sana kuja kua mlevi.. Mimi ni mnywaji..Sio kwel mkuu 🤣
😹Utaniharibia mipango yangu Sasa ya humu🤣🤣🤣🤣🤣kheeHahaha ngoja tuone utabiri wako 🤣
Kabisa bro binafsi nikinywa naona akili inataka kupasuka kwa madini yaliyopo😄Naogopaga Sana kuja kua mlevi.. Mimi ni mnywaji..
Na Tena ukinywa kiasi akili inakua very active yaan upeo unapanuka Sanaa ukiwa na deals unazipanga sawa sawa yaan upeo unapevuka Sana.
Ukizidisha kipimo ndio unaanza kusinzia , uzembe, uvivu, ugomvi ,e.t.c
Lazima tuutetee mvinyo ni kwa ma champion
Unawinda nini😂😹Utaniharibia mipango yangu Sasa ya humu🤣🤣🤣🤣🤣khee
🤣🤣🤭Nafikiri kwa sasa hakuna uongozi tuliowahi kuwa nao wenye low I q km huu wa sassa..ni aheri ya la saba b