Huruma siyo malezi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,433
- 3,210
Sisi tunaoishi Kwa mashemeji tushazoea kusemwa mwishoni kabisa tuliambiwa tuna zero IQ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gaza???🤔 ndio wapi uko kiongoziUkanda wa Gaza
Middle EastGaza???🤔 ndio wapi uko kiongozi
Umesema mpitimbi🤣🤣🤣Nipo poa sana sana toye mnaendeleaje hapo mpitimbi?
Watu hawahawa wanaoiharibu JF kwa michango hasi ndio wanaoweza kujenga hili jukwaa, lakini inahitaji mabadiliko ya fikra na kuwa mchango chanya. JF ya zamani ilikuwa na hadhi kwa sababu ya aina ya mijadala iliyokuwepo ilijaa hoja nzito na mijadala yenye tija. Sasa, upepo umebadilika, lakini bado kuna nafasi ya kuirudisha kwenye mstari(Watu wote wa hovyo wawe banned ikiwezekana maana wanaharibu mijadala na mtu ukianzisha Uzi ni vyema kuwe na option ya mwanzisha thread kumanage thread yake).Kipindi cha nyuma hapo jf na Twitter (x) ilikua ni mitandao iliyoonekana kama ya watu wa hadhi fulani,
Hata unapoingia jukwaani kwa mara ya kwanza unakagua comment yako kama ina sifa ya kuwepo jukwaani,
Ila kwa sasa mambo yamebadilika facebook wamehamia huku, anaweza mtu kuomba msaada ila ukisoma comment unapata mashaka na wanaochangia,
Sijui nini kitairudishia sifa jf iliyokuwapo awali
Middle East
Mkicheza hapa mtaitimiliza nada kivitendo.Mmoja atumie high IQNini maana ya akili ndogo?
Je ni mimi niliekujibu logically kwamba sie kila anae kudiss ana akili ndogo zaidi yako au wewe unaendelea kusema kila anakudisa vikali ni moumbavu
That so,
Je nini mimi mwenye low IQ au wewe ambaye unajibu kwa mihemuko kama uko period?
Eee maisha yanabadilika bana huyo anashangaa mtu kutoboa ndani ya miezi tisa na anajua mpira hautumii hata sekunde kuingia golini.Hii inawezekana mkuu kuna kijana maskini juzi juzi juzi tu leo ni tajiri hana baya.
Nilianza na punje ishirini za mchele nikawa natengeneza vitafunwa vya mchele nauza mashuleni kwa sasa namiliki Super market ya kwangu kiwanda cha juisi kiwanda cha maji na vingine vingi sina muda wa kupoteza kuviorodhesha vyote.Sema hii comment imenifanya nicheke🤣🤣🤣🤣🤣, anywei, kwako Tajiri Sinabay ...
Tajiri huna baya😂😂😂😂... Hongera sana.Nilianza na punje ishirini za mchele nikawa natengeneza vitafunwa vya mchele nauza mashuleni kwa sasa namiliki Super market ya kwangu kiwanda cha juisi kiwanda cha maji na vingine vingi sina muda wa kupoteza kuviorozesha vyote.
Asante mkuuTajiri huna baya😂😂😂😂... Hongera sana.
Mie ntu wa aibu sana, hata cjui nikwaambie nn🤗😋Sema TU you want to mingle with me
Haba na haba, ukajaza kibaba.Nilianza na punje ishirini za mchele nikawa natengeneza vitafunwa vya mchele nauza mashuleni kwa sasa namiliki Super market ya kwangu kiwanda cha juisi kiwanda cha maji na vingine vingi sina muda wa kupoteza kuviorodhesha vyote.
Yaah humu jf ni mimi na genta tu ndiyo IQ kubwa zaidi.Haba na haba, ukajaza kibaba.
Wewe ni IQ kubwa. 😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaah humu jf ni mimi na genta tu ndiyo IQ kubwa zaidi.
Yaah tena nishafungua uzi juu ya hili.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mlishashindikana nyie wakuu 😄 Bichwa Komwe, davidi mmari star, na tule Nyau nini ndizi? yule, sio watu wa Kawaida ase.
hakijaharibika kitu😂
HeheheWatu wanatofautiana mkuu watu hata hapa JF wapo ambao ni high intelligent 🧠 tunasema ni given ones na Kuna low IQ ambao 24/7 ni kuongea stupidity on public