Social Media: Usijikute Unabishana na Mtu Mwenye Low IQ Bila Kujua!

Social Media: Usijikute Unabishana na Mtu Mwenye Low IQ Bila Kujua!

Nini maana ya akili ndogo?

Je ni mimi niliekujibu logically kwamba sie kila anae kudiss ana akili ndogo zaidi yako.

That so,

Je nini mimi mwenye low IQ au wewe ambaye unajibu kwa mihemuko kama uko period?
Unajitahidi sana kuonesha una akili, lakini kila sentensi unayoandika inakufanya uonekane mjinga zaidi. 😂

Kwa akili yako, ukiona mtu hatumii matusi wala hasira, basi yuko kwenye ‘period’? Hivi ndivyo unavyojifariji ukiwa huna hoja?

Kama kweli una akili kubwa kuliko unavyodai ungeweza kutoa hoja bila kutumia matusi na dharau za kiwango cha watoto wa form 3. Lakini kwa sasa, endelea kupambana na kutype labda siku moja utapata ushindi online unaoutafuta kwa bidii.
 
Mtu kuwa mtoto au kuwa anaishi kwa dada sio sababu ya kuacha kujibu hoja yake .

Tujifunze namna ya kujibu hoja na sio kurukia personality ya mtu kama kigezo cha kudharau hoja yake.
Mkuu tatizo utakuta kutokana na watu wa hovyo unakuwa exhausted the whole day kwasababu ya mpuuzi. Pia Kuna waungwana Wana reply nzuri na Kuna wadau aise mpaka matusi ana comment do you think this is right.
 
Unajitahidi sana kuonesha una akili, lakini kila sentensi unayoandika inakufanya uonekane mjinga zaidi. 😂

Kwa akili yako, ukiona mtu hatumii matusi wala hasira, basi yuko kwenye ‘period’? Hivi ndivyo unavyojifariji ukiwa huna hoja?

Kama kweli una akili kubwa kuliko unavyodai ungeweza kutoa hoja bila kutumia matusi na dharau za kiwango cha watoto wa form 3. Lakini kwa sasa, endelea kupambana na kutype labda siku moja utapata ushindi online unaoutafuta kwa bidii.
Hapo tena unazidi ku-prove makamasi yako.

UMEJUAJE SINA AKILI KISA TU NIMEPINGA POINT YAKO.

Alafu pia mwelevu ahagaiki kubishna katika jukwaa la wajinga , sasa wewe unaandika nyuzi za nini humu kama unajua low iq sio level yako.

Kikubwa zaidi wewe ni taarabu. Unapasha watu

kama unashida yoyote ya kifikra kama depression omba msaada humu, utajinyonga
 
Mitaa ya IG, Twitter (X), JF, na kwingine ni kama jungle ukikosa Emotional Quotient (EQ) ya kutosha, unaweza kuingia kwenye mabishano makali, ukijitoa ufahamu, kumbe mwenzako ni mwanafunzi wa kidato cha tatu! au mwingine kavurugwa/low IQ.

Wengine ni vichalii vinavyoishi kwa waume za dada zao, lakini wakishika simu, wanakuwa mabosi wa mitandaoni.

Hii mitaa inakuhitaji uwe mbunifu, ujue tofauti ya mabishano ya maana na kelele za watoto wa shule na watu wenye IQ ndogo. Usijichoshe bure ujanja ni akili, si hasira!
Mbona kuna watu humu wana umri sawa na samia na kikwete au wasirra lakini akili zao ni sawa na hao ccm
 
Mkuu tatizo utakuta kutokana na watu wa hovyo unakuwa exhausted the whole day kwasababu ya mpuuzi. Pia Kuna waungwana Wana reply nzuri na Kuna wadau aise mpaka matusi ana comment do you think this is right.
Hakuna mtu wa ovyo.

Ni ww tu una stress sasa umekuja kuimba taarabu humu ili uwapashe watu.😂😂
 
Mim ndo maana mtu akinitusi kwenye comment yangu Huwa sirudishi tusi haraka haraka nakua nimeshaisoma akili yake
Aise that High EQ mkuu.
Huwa nasema wadau wanaotumia matusi possibly Wana low IQ level mtu aliyepo vizuri hapo kichwani hawezi kutoa matusi on public atatumia busara na kama ni debate basi he will reply in a polite way
 
Aise that High EQ mkuu.
Huwa nasema wadau wanaotumia matusi possibly Wana low IQ level mtu aliyepo vizuri hapo kichwani hawezi kutoa matusi on public atatumia busara na kama ni debate basi he will reply in a polite way
Omba msaada wa msongo wa mawazo wewe

Ukiingia katika mabunge ya nchi kuu duniani unaona jinsi wanavyobishana kama watoto.

Ila mwisho wa siku wanakuja na solution.

Ila wewe na jua kali hili loote unasema una akili kuzidi watu wote😂😂😂😂😂
 
Mitaa ya IG, Twitter (X), JF, na kwingine ni kama jungle ukikosa Emotional Quotient (EQ) ya kutosha, unaweza kuingia kwenye mabishano makali, ukijitoa ufahamu, kumbe mwenzako ni mwanafunzi wa kidato cha tatu! au mwingine kavurugwa/low IQ.

Wengine ni vichalii vinavyoishi kwa waume za dada zao, lakini wakishika simu, wanakuwa mabosi wa mitandaoni.

Hii mitaa inakuhitaji uwe mbunifu, ujue tofauti ya mabishano ya maana na kelele za watoto wa shule na watu wenye IQ ndogo. Usijichoshe bure ujanja ni akili, si hasira!


Mfano: Mbowe au January Makamba, wote hao Div 0 kali, ila mitandaoni au katika jamii usipowajua wanajiona wana IQ kubwa, kumbe ni Div 0 tupu hao, lowest IQ ever na wengine Bashite etc.
 
Hakuna mtu wa ovyo.

Ni ww tu una stress sasa umekuja kuimba taarabu humu ili uwapashe watu.😂😂
Kumbe nimekugusa moyo kiasi hiki mpk unaanza kuniimbia taarabu? 😂😂
Inaonekana umepigwa na mistari mpaka sasa unajaribu kujifariji kwa vichekesho visivyo na mashiko. Lakini sawa, endelea labda kwa kuandika ujinga mwingi utajisahaulisha maisha yako halisi.
Kwa sasa, chukua maji, pumua, na tafakari kwann unapambna na mtu usiyemjua huku maisha yako yakisonga mbele bila maendeleo yoyote? 🤷🏽‍♂️
 
Kumbe nimekugusa moyo kiasi hiki mpk unaanza kuniimbia taarabu? 😂😂
Inaonekana umepigwa na mistari mpaka sasa unajaribu kujifariji kwa vichekesho visivyo na mashiko. Lakini sawa, endelea labda kwa kuandika ujinga mwingi utajisahaulisha maisha yako halisi.
Kwa sasa, chukua maji, pumua, na tafakari kwann unapambna na mtu usiyemjua huku maisha yako yakisonga mbele bila maendeleo yoyote? 🤷🏽‍♂️
Si umeona sasa

Yani wewe ni taarabu kwa maana watu wenye HIGH IQ hawezi bishana na mimi muda mrefu hivi 😂 na pia mwenye high IQ angenielewa ila wewe ni taarabu tu.

Sasa ku-prove kuwa wewe ni taarabu na hauna uwezo mkubwa wowote wa kiakili utanijibu hii comment kwa mipasho.
😂
 
Omba msaada wa msongo wa mawazo wewe

Ukiingia katika mabunge ya nchi kuu duniani unaona jinsi wanavyobishana kama watoto.

Ila mwisho wa siku wanakuja na solution.

Ila wewe na jua kali hili loote unasema una akili kuzidi watu wote😂😂😂😂😂
Aisee, nimegundua tatizo lako unadhani kelele nyingi ni akili! 😂😂
Kwenye mabunge makubwa wanabishana kwa hoja, si kwa matusi na kejeli za watoto wa Form 3. Wao wanakuja na suluhisho, lakini wewe unakuja na dhihaka na ujinga mtupu.

Unajitahidi sana kunishawishi kuwa mimi nina stress lakini ukweli mchungu ni huu: mtu mwenye maisha yake hayajielewi ndiye hutumia muda mwingi kupambana na strangers mtandaoni kwa ujinga badala ya kutafuta maendeleo.
Sasa endelea na session yako ya kelele, labda siku moja utalipwa kwa kuwa warrior wa kucomment ujng. 😂
 
Si umeona sasa

Yani wewe ni taarabu kwa maana watu wenye HIGH IQ hawezi bishana na mimi muda mrefu hivi 😂 na pia mwenye high IQ angenielewa ila wewe ni taarabu tu.

Sasa ku-prove kuwa wewe ni taarabu na hauna uwezo mkubwa wowote wa kiakili utanijibu hii comment kwa mipasho.
😂
😂😂 Wewe ni kama mtu aliyeshindwa mchezo halafu anadai refa kamuonea.

Umeingia kwa mbwembwe, ukajaribu kushindana kwa hoja, ukaona mambo yamekugeukia, sasa unajaribu kuniingiza kwenye taarabu zako ili ujifariji. 😆
Kwa akili zako kubwa unajifanya unajua High IQ ni nini, lakini mpaka sasa unahangaika kutafuta attention yangu badala ya kufanya mambo yako. Kama kweli una akili, huwezi kuwa na muda wa kubishana na taarabu ungekuwa unafanya jambo la maana na maisha yako! 😂

Lakini sawa, endelea na hizi kelele zako, labda utapewa tuzo ya bor ya mwaka. 🎤🚶
 
IQ ni kipimo tu, kina mapungufu yake, na kinnaweza kufanya makosa.

Kama mtu hakubaliani na wewe, haimaanishi hana akili,

Msikilize jinsi anavyotetea hoja yake.

Pia umri au uchumi wa mtu sio vigezo vya kumbagua kwenye kila mada.
Ndio mkuu nakubaliana na wewe lakini tunaongelea mtu ana comment matusi humu kwenye hoja za maana every well written content kwake hata kama Ina maana inatafutiwa kasoro ikosolewe sasa mkuu this is reasoning or stupidity thinking
 
IQ ni kipimo tu, kina mapungufu yake, na kinnaweza kufanya makosa.

Kama mtu hakubaliani na wewe, haimaanishi hana akili,

Msikilize jinsi anavyotetea hoja yake.

Pia umri au uchumi wa mtu sio vigezo vya kumbagua kwenye kila mada.
 
Kwa hiyo, kwa akili yako ndogo, mtu anayekataa kupoteza muda kubishana na watu wasio na mchango wowote kwenye maisha yake ni 'sweet baby'? 😂

Basi wewe unakazana kujiona mjuaji huku maisha yako yako pale pale, ukiwa na muda wa kuandika ujinga mtandaoni badala ya kujitafutia maendeleo. Sasa niambie, huu ujinga unaoandika hapa unakulipa nini? Au ndio zile kelele za form 3 wakijiona wana akili kuliko wote?
Bro, mbona maandiko yako yanaonesha na wewe ni low IQ?!..
 
Hakika mkuu

Mfano mimi na wewe huwa tunapoint huwa tunapingana ila haujawahi sijawahi kukuita hauna akili kama zangu.

Unawezaje kumpoint mtu mara eti ni punguani mara anaiishi kwa shemeji yake kisa tu anapingana na wewe.

Sasa nani ni mpumbavu 😂, wewe unaemuona yuko hivyo au huyo unaemdhania??

Huyu mtoa mada hajielewi
 
Back
Top Bottom