Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
Aise kabisa mkuu ukitaka kujua watu wa hovyo fuatilia replies zao zote ni hovyo.Hili lipo wazi
ndiyo furaha yao maybeAise kabisa mkuu ukitaka kujua watu wa hovyo fuatilia replies zao zote ni hovyo.
Yawezekana kabisandiyo furaha yao maybe
😂Watu wa hovyo ambao wanaweza kukuharibia siku haitakiwi kujibizana nao mkuu ni kuwa mwerevu na kutuliaSubiri Low IQ waje kukupa muongozo
Kwa hiyo, kwa akili yako ndogo, mtu anayekataa kupoteza muda kubishana na watu wasio na mchango wowote kwenye maisha yake ni 'sweet baby'? 😂At what logical extent do u propose yourself to be of high intelligence than anyone who oppose, diss or disagrees with u.
Then,
This proves that u are a highly emotional sweet baby who is afraid of being criticised.
Kama JF hauiwezi, angalia porno siku nzima.
Watu wanatofautiana mkuu watu hata hapa JF wapo ambao ni high intelligent 🧠 tunasema ni given ones na Kuna low IQ ambao 24/7 ni kuongea stupidity on publicHivi kwa Tanzania Kuna mna mtu siyo low IQ ukianzia uongozi wa juu?
Tunahitaji msaada wa afya ya akili.
ko umeamua unisemeKuna dogo yupo 14 humuhumu...msiwape watoto simu jamani
Nini maana ya akili ndogo?Kwa hiyo, kwa akili yako ndogo, mtu anayekataa kupoteza muda kubishana na watu wasio na mchango wowote kwenye maisha yake ni 'sweet baby'? 😂
Basi wewe unakazana kujiona mjuaji huku maisha yako yako pale pale, ukiwa na muda wa kuandika ujinga mtandaoni badala ya kujitafutia maendeleo. Sasa niambie, huu ujinga unaoandika hapa unakulipa nini? Au ndio zile kelele za form 3 wakijiona wana akili kuliko wote?
😂😂😂Wapo humu wanafunzi waliomaliza form four unakuta mada imetolewa yeye ana quote upuuzi unajaribu kuelekezana na mtu kumbe ni mtoto kapewa simuKuna dogo yupo 14 humuhumu...msiwape watoto simu jamani
🤣🤣🤣🤣🤭ko umeamua uniseme
Na ninavyojua kupanic kumbe kananichora mishipa yangu ya shingo inavyonisimama😂😂😂Wapo humu wanafunzi waliomaliza form four unakuta mada imetolewa yeye ana quote upuuzi unajaribu kuelekezana na mtu kumbe ni mtoto kapewa simu
Watu wenye akili stable unakuta wamebalance akili na moyo waoWatu wanatofautiana mkuu watu hata hapa JF wapo ambao ni high intelligent 🧠 tunasema ni given ones na Kuna low IQ ambao 24/7 ni kuongea stupidity on public
Huyu jamaa ni matokeo ya vijana wale walio na hofu za maisha.Mtu kuwa mtoto au kuwa anaishi kwa dada sio sababu ya kuacha kujibu hoja yake .
Tujifunze namna ya kujibu hoja na sio kurukia personality ya mtu kama kigezo cha kudharau hoja yake.