Social Media: Usijikute Unabishana na Mtu Mwenye Low IQ Bila Kujua!

Upewe maua Yako. Ukiwa na IQ kubwa kwanza ukiona TU aina ya majibizano unaona yafaa kutulia maana hata ukielekeza bado hutaeleweka na mwenye 0 IQ
 
Upewe maua Yako. Ukiwa na IQ kubwa kwanza ukiona TU aina ya majibizano unaona yafaa kutulia maana hata ukielekeza bado hutaeleweka na mwenye 0 IQ
Watu wenye IQ ndogo huwa wagumu mno kuelewa mada mbalimbali. Na hii kutokuelewa ndio huwa Fanya wajibu majibu ambayo sio kabisa.
 
SURE MKUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…