Anti depressant hizi ni barbiturates akizi abuse hizi Dawa zinaweza kusababisha kifo ndani ya dakika 15.Mkuu nakushauri umuone psychiatrist, atakupa anti depressants,ukizitumia kama alivyokuelekeza hilo tatz linaisha chap.
Usiumie ndo maana nikakuuliza hizi siku Na miezi tuliozaliwa inaathiri Kwa kiasi kikubwa mafanikio yetu Na maisha yetu Kwa ujumla.Watu wenye nyota ya kaa wana matatizo ya depression pia wana uwezo mkubwa kuliko watu wengine kwani wanaona vitu visivyoonekana nadhan ni kutokana Na nature ya mwezi kwani wanakua wanaongozwa zaidi Na hisia tena wewe ukiwa Na mwenza mtagombana sana.njoo pm nikusaidie kijana
Sent using Jamii Forums mobile app
ahsante sana mkuu kwa kitabu hiki kizuri.. be blessedNime attach hicho kitabu hapa; kinaitwa "The Secret"; Kinajaribu kueleza kwamba chochote ambacho kinakutokea kwenye maisha yako, YOU are the one who attracted it to your life. CHOCHOTE KILE. Ni kitabu kizuri.
Pia, kama unafikiri kuwa hospitali ziko after money, well and good. Just find ANYONE to talk to. Unahitaji hicho kwa sasa kuliko kitu kingine chochote kile. Tafuta mtu uongee nae, ufunguke kuhusu kila kitu unavyojisikia, your disappointment, your failures, kila kitu. Itakusaidia sana. Maiti
Nime attach hicho kitabu hapa; kinaitwa "The Secret"; Kinajaribu kueleza kwamba chochote ambacho kinakutokea kwenye maisha yako, YOU are the one who attracted it to your life. CHOCHOTE KILE. Ni kitabu kizuri.
Pia, kama unafikiri kuwa hospitali ziko after money, well and good. Just find ANYONE to talk to. Unahitaji hicho kwa sasa kuliko kitu kingine chochote kile. Tafuta mtu uongee nae, ufunguke kuhusu kila kitu unavyojisikia, your disappointment, your failures, kila kitu. Itakusaidia sana. Maiti
fortunately, una tatizo ambalo linaweza tibia hospital!
1) Psychotherapy
2) Anti-Depressants(anti-anxienty): Amitryptilline au Fluoxetine
The only place utapata Masada trust me ni hospital na Kama uno Dar watafute ma psychologist na ma psychiatrist unaweza mpaka kuomba Private sessions Kama hauwezi kwenda Hospitali!
Kikubwa uwe na Good insight kukubali kuwa unaumwa na ugonjwa wako unawezwa ponywa na maelezo niloyatoa!
Nashukuru mkuu ni wachache sana wenye kuelewa hili tatizo wengi wanachukulia simple sana sababu hawajakumbana nayo na hawajui how i feel it. Ni bora kuishi na mguu mmoja huku ukijua kabisa niko na mguu mmoja and am proud of it kuliko kuwa na hayo matatizo ni zaidi ya kutokuwa na miguu yote!
Ni kweli kabisa.Nashukuru mkuu ni wachache sana wenye kuelewa hili tatizo wengi wanachukulia simple sana sababu hawajakumbana nayo na hawajui how i feel it. Ni bora kuishi na mguu mmoja huku ukijua kabisa niko na mguu mmoja and am proud of it kuliko kuwa na hayo matatizo ni zaidi ya kutokuwa na miguu yote!
Kuna mtu alinishauri hiko kitu nimejaribu na naendelea kujaribu mkuu sema kwa sasa kila nikifanya meditation nahisi akili yangu haitulii yani haifocus kwenye kitu kimoja labda kwa kuwa bado ni mwanafunzi kwenye meditation sijui? Ila kama hii njia inafanya kazi basi labda after 3 months ndo ntaona matokeo. Pia mi imani yangu sio ya kikristo. Asante kwa ushauri wenye busara.Ni kweli kabisa.
Pole sana mkuu Ushajaribu meditation.
Kama bado au ulishindwa...
Kama ni ngumu nenda kaokoke tu uwe mlokole..ukahubiri injili ya vikundi vijijini ukutane na mikiki mikiki huko uta recover polepole.
Naskia huko ndo mwisho wa tatizo kama lako.
Kuna mtu alinishauri hiko kitu nimejaribu na naendelea kujaribu mkuu sema kwa sasa kila nikifanya meditation nahisi akili yangu haitulii yani haifocus kwenye kitu kimoja labda kwa kuwa bado ni mwanafunzi kwenye meditation sijui? Ila kama hii njia inafanya kazi basi labda after 3 months ndo ntaona matokeo. Pia mi imani yangu sio ya kikristo. Asante kwa ushauri wenye busara.
Sawa bossOk
Pitia hapa upate twisheni kidogo.
TAHAJUDI (Meditation): Mbinu, faida, aina na mambo ya kuzingatia
Chimbuko/historia ya tahajudi: Neno tahajudi limetokana na neno la kiingereza linaloitwa 'meditation' likiwa na maana ya kufikiri kwa uzingativu au kwa kujali. Neno meditation, nalo limetokana na neno la kilatini linaloitwa 'meditatio' likiwa na maana ya mazoezi ya mwili na akili...www.jamiiforums.com
Hiki kitabu Ni kizuri sana yaaani nilipata kukisomaa baada changamoto flani hv kili nisaidia Sana nikiwa ughaibuni hukoNime attach hicho kitabu hapa; kinaitwa "The Secret"; Kinajaribu kueleza kwamba chochote ambacho kinakutokea kwenye maisha yako, YOU are the one who attracted it to your life. CHOCHOTE KILE. Ni kitabu kizuri.
Pia, kama unafikiri kuwa hospitali ziko after money, well and good. Just find ANYONE to talk to. Unahitaji hicho kwa sasa kuliko kitu kingine chochote kile. Tafuta mtu uongee nae, ufunguke kuhusu kila kitu unavyojisikia, your disappointment, your failures, kila kitu. Itakusaidia sana. Maiti
Ni kweli but unaweza change