Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidogo nishangae. Me yangu nimetumia 3M full set nadhani ni mazuri kuliko hiloLeta 200k nikutengenezee sofa kama hilo.
Aliye pembeni yake ni nani?Hili ni sofa brand ya Lorenzo Leather ambalo kwa moja kama hilo ubaoni ni Sh. Milioni 5 na Laki 6 (5,645,000)
Kwa Mzee Bakhressa hiyo ni bei ya kawaida tu, ila kwangu mimi napata kabisa kiwanja Chanika huko.
Ukiwa na sebule kubwa ukihitaji kama manne basi andaa kuanzia Milioni 21 na kuendelea.
Tutafute hela kwa nguvu zote🤣🤣
View attachment 3060596
Ukiona masofa yanavyotengenezwa alafu unauziwa mamilion hata kutoa hela hyo utajifikiriaNaona IST hapo ,ada milioni 50.
Mke wa mengi yule alikuwa na duka la kuuza sofa alikuwa anauza masofa mpk mln 15Naona IST hapo ,ada milioni 50.
Na huo mtandio wa mjukuu wake jeHili ni sofa brand ya Lorenzo Leather ambalo kwa moja kama hilo ubaoni ni Sh. Milioni 5 na Laki 6 (5,645,000)
Kwa Mzee Bakhressa hiyo ni bei ya kawaida tu, ila kwangu mimi napata kabisa kiwanja Chanika huko.
Ukiwa na sebule kubwa ukihitaji kama manne basi andaa kuanzia Milioni 21 na kuendelea.
Tutafute hela kwa nguvu zote🤣🤣
View attachment 3060596
Matajiri tujuane Mkuu👌🏾Kumbe na mie tajiri asee. Nilinunua makochi milioni 6 kumbe niko level za Bakhresa upande wa vikalio sitting room!
I am proud of myself walahi!
Mpaka uone sofa la mtu ndipo akili ije ya kutafuta pesaHili ni sofa brand ya Lorenzo Leather ambalo kwa moja kama hilo ubaoni ni Sh. Milioni 5 na Laki 6 (5,645,000)
Kwa Mzee Bakhressa hiyo ni bei ya kawaida tu, ila kwangu mimi napata kabisa kiwanja Chanika huko.
Ukiwa na sebule kubwa ukihitaji kama manne basi andaa kuanzia Milioni 21 na kuendelea.
Tutafute hela kwa nguvu zote🤣🤣
View attachment 3060596
Unaijua gharama anayoilipa kwenye huo utajiri!!?Hili ni sofa brand ya Lorenzo Leather ambalo kwa moja kama hilo ubaoni ni Sh. Milioni 5 na Laki 6 (5,645,000)
Kwa Mzee Bakhressa hiyo ni bei ya kawaida tu, ila kwangu mimi napata kabisa kiwanja Chanika huko.
Ukiwa na sebule kubwa ukihitaji kama manne basi andaa kuanzia Milioni 21 na kuendelea.
Tutafute hela kwa nguvu zote🤣🤣
View attachment 3060596
Tupe hiyo siri tajiri.Unaijua gharama anayoilipa kwenye huo utajiri!!?
Utajiri ni siri na Siri ndio utajiri wenyewe!
Kuwa tajiri ni zaidi ya kutafuta pesa kikawaida kama wewe unavyozitafuta!!
Tusiwe tunalishana ujinga!
Tena zuri zaidi ya hiloLeta 200k nikutengenezee sofa kama hilo.
Pale Kenya wasomali ndio madon was mjini wenye kumiliki makampuni na biashara!huku kwetu ni jamaa zetu wenye asili ya Asia!Tupe hiyo siri tajiri.
Mjukuu wake, mtoto wa Yusuf BakhresaAliye pembeni yake ni nani?
Sema life is not fair,mwengine anazaliwa mjukuu wa Bakherisa na wengine tunakuwa wajukuu wa wakulima.Mjukuu wake, mtoto wa Yusuf Bakhresa
Weka picha ya kazi au kama una insta bossLeta 200k nikutengenezee sofa kama hilo.