much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Sema comfortability tofautiUzuri yote mnakalia kwa makalio..
Iwe la laki moja au Million 10..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema comfortability tofautiUzuri yote mnakalia kwa makalio..
Iwe la laki moja au Million 10..
Nilijua yule Mony Centre pale ITV stand anaagiza kutoka nje kumbe made in here here.Ukiona masofa yanavyotengenezwa alafu unauziwa mamilion hata kutoa hela hyo utajifikiria
Ngoja hii picha nmtumie mwanangu wa mony centre mwenge najuwa anaweza akaitoa kama ilivyo na akaiuza kwa 2m
Ova
Aiseee sofa 15m? Noma kweli watu wana PAKEEE.Mke wa mengi yule alikuwa na duka la kuuza sofa alikuwa anauza masofa mpk mln 15
Kuuza sasa 😄
Ova
Thanks daddy… 👍🏾Kila mbuzi hula kwa urefu wa kambaye
Bado una ada ya zamani kwasasa imechangamka zaidiNaona IST hapo ,ada milioni 50.
Mjukuu wake anaitwa ZayedAliye pembeni yake ni nani?
Em weka picha tuonee hapa,Kumbe na mie tajiri asee. Nilinunua makochi milioni 6 kumbe niko level za Bakhresa upande wa vikalio sitting room!
I am proud of myself walahi!
Sasa nani kakulisha ujinga big? Empty setUnaijua gharama anayoilipa kwenye huo utajiri!!?
Utajiri ni siri na Siri ndio utajiri wenyewe!
Kuwa tajiri ni zaidi ya kutafuta pesa kikawaida kama wewe unavyozitafuta!!
Tusiwe tunalishana ujinga!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leta 200k nikutengenezee sofa kama hilo.
Wabongo mnaanza sasa kuwa kama Wachina.Leta 200k nikutengenezee sofa kama hilo.
Niamini mimi! Hakuna mwalimu anayechukua milioni 200 baada ya miaka 30 ya utumishi wake. Ungesema Mbunge, au CDF; ningekubali.Hiyo kawaida tu.rais wetu yeye anavaa saa ya milioni miambili ambapo mfanyakazi kama mwalimu anapata Kwa miaka 30ya utumishi wake
Mwaka 1973 Bakhresa alikuwa fundi viatu pale mtaa wa Nkurumah kabla hajafungua mgahawa wake wa Azam pale mtaa wa Lumumba karibu na CCM. Hata wewe unaweza kubadilisha maisha yako kwa kuanza na shughuli za kipato cha chini.Sema life is not fair,mwengine anazaliwa mjukuu wa Bakherisa na wengine tunakuwa wajukuu wa wakulima.
Ali mufruki RIP dah....umenikumbusha kituPale Kenya wasomali ndio madon was mjini wenye kumiliki makampuni na biashara!huku kwetu ni jamaa zetu wenye asili ya Asia!
Kupanga ni kuchagua ndivyo tulivyopanga kwamba top ten ya matajiri bongo wawe wao huku kina Rama wa kariakoo wakijipiga risasi Kwa hujuma ambazo alishindwa ku deal nazo!!
Rip Ally mufruki, Reginald mengi na madon was kimatumbi waliotangulia!!!
Nenda kasome kitabu Cha mengi Cha I can I will I must!
Ila Wabongo washenzi sana. Miaka kadhaa nyuma nilikuwa nasimamia ujenzi wa nyumba ya Kaka yanguUkiona masofa yanavyotengenezwa alafu unauziwa mamilion hata kutoa hela hyo utajifikiria
Ngoja hii picha nmtumie mwanangu wa mony centre mwenge najuwa anaweza akaitoa kama ilivyo na akaiuza kwa 2m
Ova
Kauli za kimasikini kujifariji...Uzuri yote mnakalia kwa makalio..
Iwe la laki moja au Million 10..
Na zuku Television ikafa Hadi leo hata madish yake hayaonekani kabisa!Ali mufruki RIP dah....umenikumbusha kitu
Ova