kingkimwe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,839
- 2,481
nON OF THE ABOVE. kama taifa stars inayumba yumba basi soka letu bado dogo saaaana Hivi vilabu sio vigezo vya soka letu kukua maana vina wachezaji karibia wote kutoka nje. sasa kama yanga kumshinda al merikh sio sifa ya kujivunia kukuwa kwa soka la nchi bali ni kulitangaza taifa letu ya kuwa na sissi wamo.
We jamaa Upo wapi Taifa stars inayumba wakati ipo afcon mzee