Soka la Zanzibar lina safari ndefu sana

Soka la Zanzibar lina safari ndefu sana

Boran Jakutay

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
110
Reaction score
259
Hivi ushawahi kujiuliza ni kwa nini ukifika mwezi mtukufu wa Ramadhan ligi zote za soka Zanzibar zinasimama?

Ipo hivi; kila mwaka, kipindi cha mfungo wa Ramadhan, soka visiwani Unguja na Pemba halichezwi.

Wenyewe wanasema ipo hivyo kwa sababu ya kutoa fursa kwa wanaofunga kuitumia ibada vizuri.

Lakini ukweli wa hilo jambo haupo hivyo, leo nimepata kitu kipya ambacho nimejaribu kukiweka vizuri akilini, kimekaa.

Hebu jiulize, mbona hao wachezaji wanaotoka Zanzibar wanacheza soka Tanzania Bara hata muda wa mfungo na mambo yanaenda freshi tu. Kuna kitu wanaficha.

Leo katika kupiga stori na mchezaji mmoja anayecheza soka Zanzibar ameniambia ukweli wa hilo jambo.

Jamaa anadai kwamba soka la Zanzibar uchawi mwingi sana.

Mwenyewe anakiri kwamba Zanzibar kuna vipaji vingi kushinda Tanzania Bara, lakini soka lao linaharibiwa na uchawi.

Sasa hapo kwenye uchawi, kinapofika kipindi cha mfungo wa Ramadhan, kila mmoja anaogopa kujihusisha nao, ndiyo maana wakaamua bora ligi zisichezwe hadi kipindi hicho kipite.

Kama mnavyofahamu, mwezi wa Ramadhan mambo mengi ya ovyo huwekwa kando, licha ya kwamba hayatakiwi kufanyika kabisa, lakini watu wanauheshimu mwezi huo, ukipita, wanarudia madudu yao.

Kipindi cha Ramadhan walevi wanaacha pombe, wazinzi wanaacha zinaa, wachawi wanaacha uchawi, wakimaliza mwezi, kazi inaendelea.

Kwa kifupi, hicho ndicho nilichokipata leo.

Hebu jiulize, kwa staili hii soka la Zanzibar litaendelea kweli?
 
Hivi ushawahi kujiuliza ni kwa nini ukifika mwezi mtukufu wa Ramadhan ligi zote za soka Zanzibar zinasimama?

Ipo hivi; kila mwaka, kipindi cha mfungo wa Ramadhan, soka visiwani Unguja na Pemba halichezwi.

Wenyewe wanasema ipo hivyo kwa sababu ya kutoa fursa kwa wanaofunga kuitumia ibada vizuri.

Lakini ukweli wa hilo jambo haupo hivyo, leo nimepata kitu kipya ambacho nimejaribu kukiweka vizuri akilini, kimekaa.

Hebu jiulize, mbona hao wachezaji wanaotoka Zanzibar wanacheza soka Tanzania Bara hata muda wa mfungo na mambo yanaenda freshi tu. Kuna kitu wanaficha.

Leo katika kupiga stori na mchezaji mmoja anayecheza soka Zanzibar ameniambia ukweli wa hilo jambo.

Jamaa anadai kwamba soka la Zanzibar uchawi mwingi sana.

Mwenyewe anakiri kwamba Zanzibar kuna vipaji vingi kushinda Tanzania Bara, lakini soka lao linaharibiwa na uchawi.

Sasa hapo kwenye uchawi, kinapofika kipindi cha mfungo wa Ramadhan, kila mmoja anaogopa kujihusisha nao, ndiyo maana wakaamua bora ligi zisichezwe hadi kipindi hicho kipite.

Kama mnavyofahamu, mwezi wa Ramadhan mambo mengi ya ovyo huwekwa kando, licha ya kwamba hayatakiwi kufanyika kabisa, lakini watu wanauheshimu mwezi huo, ukipita, wanarudia madudu yao.

Kipindi cha Ramadhan walevi wanaacha pombe, wazinzi wanaacha zinaa, wachawi wanaacha uchawi, wakimaliza mwezi, kazi inaendelea.

Kwa kifupi, hicho ndicho nilichokipata leo.

Hebu jiulize, kwa staili hii soka la Zanzibar litaendelea kweli?
Kwamba soka la Bara(Bongo) halina safari ndefu?
 
Swala la kusimama kwa ajili mfungo ni maamuzi tu halina mahusiano yoyote na suala la uchawi wala ubovu wa ligi, Kila watu na taratibu zao wanazojipangia, Mbona Ulaya kuna nchi ikifika karibu na Christmas nchi nyingi ligi zinasimama? na huku zengine zinaendelea kwa vile wao wenyewe hawakujingia hivyo.
Kuhusu uchawi hata Bara upo ila uchawi hauleti maendeleo yoyote kwenye soka.
 
Hivi ushawahi kujiuliza ni kwa nini ukifika mwezi mtukufu wa Ramadhan ligi zote za soka Zanzibar zinasimama?

Ipo hivi; kila mwaka, kipindi cha mfungo wa Ramadhan, soka visiwani Unguja na Pemba halichezwi.

Wenyewe wanasema ipo hivyo kwa sababu ya kutoa fursa kwa wanaofunga kuitumia ibada vizuri.

Lakini ukweli wa hilo jambo haupo hivyo, leo nimepata kitu kipya ambacho nimejaribu kukiweka vizuri akilini, kimekaa.

Hebu jiulize, mbona hao wachezaji wanaotoka Zanzibar wanacheza soka Tanzania Bara hata muda wa mfungo na mambo yanaenda freshi tu. Kuna kitu wanaficha.

Leo katika kupiga stori na mchezaji mmoja anayecheza soka Zanzibar ameniambia ukweli wa hilo jambo.

Jamaa anadai kwamba soka la Zanzibar uchawi mwingi sana.

Mwenyewe anakiri kwamba Zanzibar kuna vipaji vingi kushinda Tanzania Bara, lakini soka lao linaharibiwa na uchawi.

Sasa hapo kwenye uchawi, kinapofika kipindi cha mfungo wa Ramadhan, kila mmoja anaogopa kujihusisha nao, ndiyo maana wakaamua bora ligi zisichezwe hadi kipindi hicho kipite.

Kama mnavyofahamu, mwezi wa Ramadhan mambo mengi ya ovyo huwekwa kando, licha ya kwamba hayatakiwi kufanyika kabisa, lakini watu wanauheshimu mwezi huo, ukipita, wanarudia madudu yao.

Kipindi cha Ramadhan walevi wanaacha pombe, wazinzi wanaacha zinaa, wachawi wanaacha uchawi, wakimaliza mwezi, kazi inaendelea.

Kwa kifupi, hicho ndicho nilichokipata leo.

Hebu jiulize, kwa staili hii soka la Zanzibar litaendelea kweli?
Uko sahihi kabisa, jamaa wanaishia kinafiki sana
 
Hivi ushawahi kujiuliza ni kwa nini ukifika mwezi mtukufu wa Ramadhan ligi zote za soka Zanzibar zinasimama?

Ipo hivi; kila mwaka, kipindi cha mfungo wa Ramadhan, soka visiwani Unguja na Pemba halichezwi.

Wenyewe wanasema ipo hivyo kwa sababu ya kutoa fursa kwa wanaofunga kuitumia ibada vizuri.

Lakini ukweli wa hilo jambo haupo hivyo, leo nimepata kitu kipya ambacho nimejaribu kukiweka vizuri akilini, kimekaa.

Hebu jiulize, mbona hao wachezaji wanaotoka Zanzibar wanacheza soka Tanzania Bara hata muda wa mfungo na mambo yanaenda freshi tu. Kuna kitu wanaficha.

Leo katika kupiga stori na mchezaji mmoja anayecheza soka Zanzibar ameniambia ukweli wa hilo jambo.

Jamaa anadai kwamba soka la Zanzibar uchawi mwingi sana.

Mwenyewe anakiri kwamba Zanzibar kuna vipaji vingi kushinda Tanzania Bara, lakini soka lao linaharibiwa na uchawi.

Sasa hapo kwenye uchawi, kinapofika kipindi cha mfungo wa Ramadhan, kila mmoja anaogopa kujihusisha nao, ndiyo maana wakaamua bora ligi zisichezwe hadi kipindi hicho kipite.

Kama mnavyofahamu, mwezi wa Ramadhan mambo mengi ya ovyo huwekwa kando, licha ya kwamba hayatakiwi kufanyika kabisa, lakini watu wanauheshimu mwezi huo, ukipita, wanarudia madudu yao.

Kipindi cha Ramadhan walevi wanaacha pombe, wazinzi wanaacha zinaa, wachawi wanaacha uchawi, wakimaliza mwezi, kazi inaendelea.

Kwa kifupi, hicho ndicho nilichokipata leo.

Hebu jiulize, kwa staili hii soka la Zanzibar litaendelea kweli?
Siyo kweli, Zanzibar shughuli nyingi Sana huwa zinasimama mwezi wa Ramadhani hata shule huwa zinafungwa..
 
Swala la kusimama kwa ajili mfungo ni maamuzi tu halina mahusiano yoyote na suala la uchawi wala ubovu wa ligi, Kila watu na taratibu zao wanazojipangia, Mbona Ulaya kuna nchi ikifika karibu na Christmas nchi nyingi ligi zinasimama? na huku zengine zinaendelea kwa vile wao wenyewe hawakujingia hivyo.
Kuhusu uchawi hata Bara upo ila uchawi hauleti maendeleo yoyote kwenye soka.
Zitaje hizo nchi ambazo kikifika kipindi cha Christmas ligi zinasimama, halafu nikupe sababu za kusimama kwake.
 
Zitaje hizo nchi ambazo kikifika kipindi cha Christmas ligi zinasimama, halafu nikupe sababu za kusimama kwake.

almost karibu nchi zote kubwa ukitoa U.K na Uturuki Soka husimama huko Ulaya. Na hata hao U.k inapofika late January na wao hua na kawaida ya wiki moja ya mapumziko. Mwisho tunarudi pale pale tu, kila mtu na mazingira yake anayojipangia, Ila tatizo linakuja wagalatia huwa mnateseka sana na kila kinachofanywa na waislamu.
 
almost karibu nchi zote kubwa ukitoa U.K na Uturuki Soka husimama huko Ulaya. Na hata hao U.k inapofika late January na wao hua na kawaida ya wiki moja ya mapumziko. Mwisho tunarudi pale pale tu, kila mtu na mazingira yake anayojipangia, Ila tatizo linakuja wagalatia huwa mnateseka sana na kila kinachofanywa na waislamu.
Umeambiwa utaje hizo nchi unasema almost nchi zote, kama kuna nchi inaitwa almost sawa.
 
Italy
Germany
France
Spain

acha kujiona mjanja ndugu
Sio kweli, itakuwa hujui unachokiandika. Fuatilia vizuri.

Kilichopo ni kwamba hizo nchi ulizozitaja ligi zao zinasimama kwa kipindi hicho baada ya kumalizika mzunguko wa kwanza na sio kwa ajili ya kipindi cha Christmas.

Jiulize kwa nini kipindi cha Kuaresma na Sikukuu ya Pasaka hazisimami.
 
Sio kweli, itakuwa hujui unachokiandika. Fuatilia vizuri.

Kilichopo ni kwamba hizo nchi ulizozitaja ligi zao zinasimama kwa kipindi hicho baada ya kumalizika mzunguko wa kwanza na sio kwa ajili ya kipindi cha Christmas.

Jiulize kwa nini kipindi cha Kuaresma na Sikukuu ya Pasaka hazisimami.

aliyekwambia nani kuwa kipindi cha break mzunguko wa kwanza unakua umeshamaliza?
 
Uarabuni ulipoanzia wanacheza kama kawaida
 
aliyekwambia nani kuwa kipindi cha break mzunguko wa kwanza unakua umeshamaliza?
Fuatilia, halafu uwe unaongea kitu kwa uhakika.

Halafu nijibu kwa nini kipindi cha mfungo wa Kuaresma na Sikukuu ya Pasaka hizo ligi hazisimami.
 
Back
Top Bottom