Uarabuni ulipoanzia wanacheza kama kawaida
Hoja dhaifu kabisa. Hata Ulaya makanisa huwa matupu na Bongo yanajaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uarabuni ulipoanzia wanacheza kama kawaida
Zanzibar siyo nchiSiyo kweli, Zanzibar ni nchi ya kiislamu, hao wanakula Idd Mosi mpaka Idd tano na siku zote ni full shangwe.
Ishu ya Kuaresma na Pasaka hutaki kuigusia au sio😂😂😂wewe ndie wa kufatilia mana mimi nazungumza kwa uhakika
Ishu ya Kuaresma na Pasaka hutaki kuigusia au sio😂😂😂
TakatakaSasa nigusie kwa kipi? Wao ndio wameshajichagulia hio tatizo lako ni nini sasa? Christmas ndio sikuu kuu hasa ya wazungu, izo nyengine mumebaki nazo nyinyi waafrika wafia dini.