Soko hili limevhukua muda mrefu sana kufanya uamuzi wa kulifungua na hata lilipofunguliwa mkuu wa mkoa hakufika hapo kwenye soko, alilifungua akiwa kwenye viwanja vya Zakhiem ambavyo viko mbali na soko! Alifikia huko akafungua huko na akaondokea huko huko, ni kama alilazimishwa kulifungua kwa alipokuja mwezi wa nane alikataa kulifungua na aliahidi makubwa ambayo wafanyabiashara walimsifu, leo kaigeuka ahadi yake.