Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

Ukitaka kufaidi hizo hisa ununue za at least za 20m ndio utahisi kweli unakula dividends, mfano nilikua na hisa za 3m za nmb nikawa napata gawio la 100,000-150,000 kwa mwaka nikaona ni ujinga nikaziuzia mbali.:banghead:🙁😱

Ingekuwa una hisa za bilion 3 je? Uzuri wa hizi mambo zinahitaji mtaji mkubwa. Ndo utazifurahia sana.

Nakusanya mtaji niingie kwa nguvu zote.
 
Ingekuwa una hisa za bilion 3 je? Uzuri wa hizi mambo zinahitaji mtaji mkubwa. Ndo utazifurahia sana.

Nakusanya mtaji niingie kwa nguvu zote.

100,000,000-150,000,000 annual dividends, that's why nasema ukitaka kufaidika uwe na mtaji au kama unataka diversification ya investment portfolio sawa.
 
nakubaliana nawewe najua kwa asilimia mia, nilinunua hisa za swiss mwezi wa pili mwaka huu kwa sh 5600 lakini leo ni 6600. Wiki ijayo naenda kuuza hisa zangu zote za DCB, CRDB na NMB then nahamia SWISS mzima mzima

Do not put all your eggs in a single bucket mkuu
 
Last edited by a moderator:
It is just a matter of time mate... Believe me when I say CRDB is undervalued by the market... Time will tell
nafikiri watu hawana iwani na management za wabongo tuanzie hapo maana Nicol , Precision, swala nafikiri kuna watanzania pia, DCB, alafu inawezekana pia hawatoi dividends za nzuri
 
Ingekuwa una hisa za bilion 3 je? Uzuri wa hizi mambo zinahitaji mtaji mkubwa. Ndo utazifurahia sana.

Nakusanya mtaji niingie kwa nguvu zote.

tatizo inawezekana siku umekusanya umefika mtaji mkubwa na hisa nazo bei zimepanda , badala ya kununu idadi kubwa ya hisa unapata chache, bora kuzinunua mdogo mdogo kila unapopata hela
 
Nilikua nampango wakufungua fixed account ila nimeona hisa ndo kila kitu.rate zenyewe ma-bank wanatofautiana kidogo sana kweny fixed a/c,hisa ndo nice option
 
Samahan sasa kama imetokea mtu amefariki na alikuwa na hisa na hakuacha mrithi kwa maandishi inakuwaje kuhusu kupata hizi hisa??
 
Hivi unaponunua kuna amount yoyote unayomlipa broker? au unatoa kiasi kile kile ambacho ni thamani ya hisa?
 
Samahan sasa kama imetokea mtu amefariki na alikuwa na hisa na hakuacha mrithi kwa maandishi inakuwaje kuhusu kupata hizi hisa??
Kuna zile taratibu za kimahakama , mambo ya wasimamizi wa mirathi inabidi zifuatwe sababu ni mali kama mali nyingine tu
 
Hivi unaponunua kuna amount yoyote unayomlipa broker? au unatoa kiasi kile kile ambacho ni thamani ya hisa?[/QUOT
unampatia kiasi cha asilimia 1 mpaka 2 kutokana na kiwango cha pesa au manunuzi unayofanya.kuna document moja ya dse nimeattach ina maelezo mengi sana kuhusu hisa na dse
 
Topic pana na nzuri, nitasoma kabla ya kulala akili ikiwa imetulia
 
Nenda DSE kuna mawakala ambao watakupa ushauri mzuri sana hasa kwa wale beginers kama wewe. Hao mawakala wanajua trends za hisa kwa wakati husika...
 
Nenda DSE kuna mawakala ambao watakupa ushauri mzuri sana hasa kwa wale beginers kama wewe. Hao mawakala wanajua trends za hisa kwa wakati husika...

asante kwa ushauri mkuu,ila nipo Arusha kwa sasa
 
mkuu, kampuni nzuri ni kampuni za bia, sigara, cementi na swissport ila changamoto zake ni kuwa hisa zake hazishikiki/ bei ya juu kuanzia elfu 5 au 4 na kupanda juu...
 
mkuu, kampuni nzuri ni kampuni za bia, sigara, cementi na swissport ila changamoto zake ni kuwa hisa zake hazishikiki/ bei ya juu kuanzia elfu 5 au 4 na kupanda juu...

asante mkuu,naomba ushauri kwa kuanza na Tsh 200,000 naweza kununua kampuni ipi?
 
kwa hiyo hela mkuu nunua hisa za swissport kwa tsh 7510 au twiga cement kwa tsh 3820. kampuni yoyote ile ukiichagua kati ya hizo mbili hautojilaumu.

kampuni ya bia au sigara hisa moja ni tsh ekfu 14 na kuendelea na kwa hela yako utapata hisa chache sana mkuu
 
Back
Top Bottom