Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

NAUZA CARWASH MPYA YA KISASA
MAELEZO: UJENZI, MACHINE ZOTE, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k
JUMLA: TZS 8,000,000

LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
CALL: 0717 26 33 77
 
NAUZA CARWASH MPYA YA KISASA
MAELEZO: UJENZI, MACHINE ZOTE, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k
JUMLA: TZS 8,000,000

LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
CALL: 0717 26 33 77
Fanya 5m .... tumalize swala
 
Hivi hawa Precision Air Wameishia wapi na hisa zetu maana ni miaka 10 sasa patupu!!!
 
Samahani mkuu, nimechelewa kujibu swali lako mambo ya mwaka mpya, nimeku PM namba ya jamaa mojawapo yuko Dar wasiliana nae atakupa maelekezo na kujibu maswali yako bila malipo. Asante
Ntumie na mimi chief, ubarikiwe
 
Nina miliki hisa kwenye Kampuni ya NICOL naona sasa nahitaji kuziuza je, kuna ajuaye Bei ya hisa Moja kwasasa?
 
Nimekubali mkuu
 
Wadau nina hisa za NMB zipo 170 ninauza kwa bei ya discount, kwa anayehitaji nitumie ujumbe pm.
 
Hivi hawa Precision Air Wameishia wapi na hisa zetu maana ni miaka 10 sasa patupu!!!
Kampuni ipo ila kipindi cha hayati J.P MAGUFULI hakukuwa na fair competition jumlisha COVID-19 kwahiyo mashirika ya ndege yaliathirika sana. Japo kwa sasa kuna dalili njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…