Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sanaBongo bahati mbaya...imagine hao jamaa wanatoka nyumbani kwao wanasema wanaenda kazini ilhali hio sio kazi ni ubabaishaji uliokithiri.
Wafagie barabara, wakalime, wakabebe zege au waokote makopo.Wao wakale wapi na ndio ajira zenyewe mkuu
Waokote makopoKwahiyo mnataka niwapige marufuku ili wawe vibaka?
Sasa sisi madalali tukale wapi?Soko la Karume limejaa madalali wengi sana (Mawinga) hawa mabwana wamekua Kero sana kwani wanakuvutavuta kukuita na makwazo mengi sana.
Ifahamike kile mteja aanajua bidhaa anayohitaji lakiji hawa wanakuvuta huku mara kule yaani wamekua kero sana. Wengi wao ni walevi na wavuta bangi.
Pia wamekua wakipandisha bei ya bidhaa ili wao wapate Chochote (Ganji) jambo ambalo linamuongezea muuzaji gharama.
Watu wapo tayari ukiwa mkali wakufuate hadi duka unalokwenda ukifika pale muuzaji akimuona tuu lazima apandishe bei ili kuweza kumlipa mtu huyo.
Kama kuna mamlaka au uongozi wa soko unahusika na maslahi ya wanunuaji, basi waliangalie hili suala.
Dalali huwa anatafutwa na mteja au mwenye mali, nyie ni wavamizi wa biashara za watu.Sasa sisi madalali tukale wapi?
Mi huwa nakuwa mkaliSoko la Karume limejaa madalali wengi sana (Mawinga) hawa mabwana wamekua Kero sana kwani wanakuvutavuta kukuita na makwazo mengi sana.
Ifahamike kile mteja aanajua bidhaa anayohitaji lakiji hawa wanakuvuta huku mara kule yaani wamekua kero sana. Wengi wao ni walevi na wavuta bangi.
Pia wamekua wakipandisha bei ya bidhaa ili wao wapate Chochote (Ganji) jambo ambalo linamuongezea muuzaji gharama.
Watu wapo tayari ukiwa mkali wakufuate hadi duka unalokwenda ukifika pale muuzaji akimuona tuu lazima apandishe bei ili kuweza kumlipa mtu huyo.
Kama kuna mamlaka au uongozi wa soko unahusika na maslahi ya wanunuaji, basi waliangalie hili suala.
Hii inafanya kazi kwa sie jinsia ya me ila watoto wa kike wanapata taabu sana coz huwa wanashikwa kwa lazima na kuvutwa vutwaYaani wale pita kama umeweka pamba masikioni ...wakikusemesha we busy kuangalia kile unachotafuta..wanakata tamaa wenyewe....usiwe entertain wala kuwajibu jibu..wala usiwaangalie usoni..maana hao madalali kazi yao ni kupandisha vitu bei kitu cha elfu 10 utauziwa 30
Acheni kutoa sababu za kipuuzi, wanakera sana hao vibaka wenzioKwahiyo mnataka niwapige marufuku ili wawe vibaka?
Nimwambie yeye nani bwana! Aniache najua ninapoenda na ninachotakawape kazi mkuu sio kero hiyo. mwambie tu unachokitaka mpe specification zako atakwambia kaa pale kivulini nikuletee. tuwasapoti vijana wanaojitafutia kihalali
ni ujinga, kuna nchi raia wana life gumu sana kuliko Tanzania, ila mbona hakuna huo ujinga? ho ni ujinga elewa kwamba ni ujingaMkuu sio mbaya nao wanapata riziki yao... mtaani pagumu sana. Kikubwa uwe informed na unachoenda kununua.. sometimes wanasaidia pia hasa kwa machimbo mageni
acha kutetea ujinga,Na wao wana familia, mnataka wakaibe? Mbona zipo sehemu nyingi sana za kupata huduma bila kero?
na kuna watu wanawatetea, nashangaa sana kwa nini wanaendekezwa, Sema sana wako huko Dar, kwa Arusha walikuwepo kitambo sana hasa kwenye mitumba mitumba huko.Bongo bahati mbaya...imagine hao jamaa wanatoka nyumbani kwao wanasema wanaenda kazini ilhali hio sio kazi ni ubabaishaji uliokithiri.
Hayo mabadiliko hayapo chini ya serikali hiiacha kutetea ujinga,
wanaendekezwa sana na Mamlaka, wanyonge, ni ujinga, kama hawawezi kufanya kazi halali warudishwe kijijini wakalimeAisee it is too much! Juzi nilikuwa pale sio powa kabisa Madalali ni Wengi mno na wanasumbuwa sana
so ndio unatatea ujinga? Congo na vita. yao huwesi kuta huu ujinga, ni matokea ya uswahiliHayo mabadiliko hayapo chini ya serikali hii
Ndio maana Foreigners wanaishia Kwenye Masuper Market tu. atleast Arusha unaweza kutana na Wazungu ,Sokoni mkapishana, hakuna huu ujinga sanaAcheni kutoa sababu za kipuuzi, wanakera sana hao vibaka wenzio