KERO Soko la Karume limejaa madalali ambao wamekuwa kero kwa wanunuzi

KERO Soko la Karume limejaa madalali ambao wamekuwa kero kwa wanunuzi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
so ndio unatatea ujinga? Congo na vita. yao huwesi kuta huu ujinga, ni matokea ya uswahili
We ndio unaona ujinga, sikubaliani na udhalilishaji na usumbufu wanaosababisha ila kuwaondosha jumla sio sahihi. Kuna mdau naona amechangia kwa kuuliza hawapati tu mitaji wafungue goli/biashara yao, kwa mwendo huu wa kutaka watolewe hiyo mitaji watatolea wapi?

Ajira hakuna ila kazi zipo na kazi zenyewe ndio hizi zilizojaa kero, maisha ya utafutaji ni magumu sana sijui kama mnaliwaza hilo. Wakitolewa hapo wapelekwe wapi? Najua wengi watasema wakalime, kwa mitaji ipi?
Kuna kazi za vibarua vya ujenzi ila nako kumejaa, idadi ya vijana wasiokuwa na kazi ni wengi mno hao mnaotaka watolewe kwenye uwinga wakaibe au wawe omba omba? Binafsi nadhani ni bora kuandaa utaratibu mzuri ili kuwafanya wanufaike zaidi na kazi hiyo kuliko kuwafukuza kwenye hicho kidogo wanachokitafuta kiuhalali.
 
wanaendekezwa sana na Mamlaka, wanyonge, ni ujinga, kama hawawezi kufanya kazi halali warudishwe kijijini wakalime
wakalime kwa mitaji ipi? Unasema kirahisi sana kama viongozi wanaoshauri vijana wajiajiri wakati wao wameajiriwa.
 
We ndio unaona ujinga, sikubaliani na udhalilishaji na usumbufu wanaosababisha ila kuwaondosha jumla sio sahihi. Kuna mdau naona amechangia kwa kuuliza hawapati tu mitaji wafungue goli/biashara yao, kwa mwendo huu wa kutaka watolewe hiyo mitaji watatolea wapi?

Ajira hakuna ila kazi zipo na kazi zenyewe ndio hizi zilizojaa kero, maisha ya utafutaji ni magumu sana sijui kama mnaliwaza hilo. Wakitolewa hapo wapelekwe wapi? Najua wengi watasema wakalime, kwa mitaji ipi?
Kuna kazi za vibarua vya ujenzi ila nako kumejaa, idadi ya vijana wasiokuwa na kazi ni wengi mno hao mnaotaka watolewe kwenye uwinga wakaibe au wawe omba omba? Binafsi nadhani ni bora kuandaa utaratibu mzuri ili kuwafanya wanufaike zaidi na kazi hiyo kuliko kuwafukuza kwenye hicho kidogo wanachokitafuta kiuhalali.
Hakuna kazi yoyote anayejiita dalali wa Karume au Kariakoo anafanya, labda kama mtu huelewei maana ya dalali. Hao ni chuma ulete.
 
Hakuna kazi yoyote anayejiita dalali wa Karume au Kariakoo anafanya, labda kama mtu huelewei maana ya dalali. Hao ni chuma ulete.
Wewe unaona sio kazi ila ndio inawapa hao watu mitaji, kodi na kuendesha maisha yao. Kwani ukikataa kumuungisha atakupiga?
 
Back
Top Bottom