Soko la Karume limeungua moto

Soko la Karume limeungua moto

Haya Matukio yaendelee, yaongezeke, yazidi kuwa Mengi, yasiache kutokea, Hadi pale Watanzania Akili Zitakapo Funguka na Kudai Katiba Mpya Kwa Nguvu.

Kitu ambacho bado hatujakijua Watanzania Ni Kuwa, Viongozi Wetu wana DHARAU SANAA wananchi wake Hilo lipo wazi Kabisa Kabisa, tena Ni Dharau Iliyopitiliza. Haya matukio sio Mapya nchi kwetu lakini hakuna hata Siku 1 ilitoka Report Ya Tukio la Moto watu wakawajibishwa kwa namna Yoyote ile kama Sio Dharau ni Nini? Yaani Viongozi wetu wanaweza kujua Ugaidi wa Kutaka Kulipua Vituo Vya Mafuta Bila Vipulizi lakini wanashindwa kujua Chanjo za Moto na nani Muhusika?

Mpaka siku, Ikulu iwake moto, Bunge liwake moto.

Wale machinga wote walio lazimishwa kuhamia pale Wamepata Hasara tena hii January [emoji27][emoji27][emoji27][emoji27] watoto wakiwa Wamefaulu kwa kishindo.
Mkuu kwa Tanzania hili la akili kuwa kaa sawa linaweza lisitokee , watu wanajali sana maslahi yao , hata sisi watu wa chini,
Leo hii watu wanamlaumu mama , wanasahau katiba mbovu ndo imeleta yote haya , jpm na ubabe wake kuna watu walifaidika , mama nae kuna watu wanakula vizuri tu ndani ya kamba zao.
 
Hii trend ya kuunguza masoko bado haijaisha tu?

Naambiwa soko la Karume limeungua lote na hakuna kilichobaki.

Hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuunguza masoko ya machinga maeneo mbali mbali nchini ikiwa na lengo moja la kuwaondoa machinga.

Najiuliza, mbona karume watu walikua tayari organized, shida ni nini? Mnalazimisha watu wakapange kwenye vizimba machinga complex ambavyo tayari mlishajimilikisha ili mpate pesa ya kula.

TBL fire brigade walijaribu kutaka kuzima moto kwani uko karibu na depot yao wakakatazwa, kwamba waangalie moto usivuke kwenda kwenye depot yao na kwa wananchi ila mengine hayawahusu.

Ipo siku hawa mnaowaonea itafika siku watachoka.

View attachment 2083158
Ina
Hii trend ya kuunguza masoko bado haijaisha tu?

Naambiwa soko la Karume limeungua lote na hakuna kilichobaki.

Hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuunguza masoko ya machinga maeneo mbali mbali nchini ikiwa na lengo moja la kuwaondoa machinga.

Najiuliza, mbona karume watu walikua tayari organized, shida ni nini? Mnalazimisha watu wakapange kwenye vizimba machinga complex ambavyo tayari mlishajimilikisha ili mpate pesa ya kula.

TBL fire brigade walijaribu kutaka kuzima moto kwani uko karibu na depot yao wakakatazwa, kwamba waangalie moto usivuke kwenda kwenye depot yao na kwa wananchi ila mengine hayawahusu.

Ipo siku hawa mnaowaonea itafika siku watachoka.

View attachment 2083158
Ina maana lote mpk kwenye mitumba kule?
 
Nimepita pale wakati nakuja kariakoo kwakweli nilichokuona nimeshikwa na uchungu sana japo sina ata biashara pale
Kuna mtu huwa nanunua viatu kwake , huwa ananitumia kwa what's up nikikipenda ananiletea maisha yanaendelea , sasa asubuhi nikamtext anipe raba alizonazo ndo akanipa hii habari , kapoteza mzigo wote , kwenye huo moto
Nimepata huzuni sana
 
Kama kawaida bwana katelefone atakuja na tume ya uchunguzi itoe majibu ndani ya siku 7, bwahahaha.......hii nchi ya wadanganyika ngumu sana.
 
npo serikalini ila siung mkono huu uchoko ! Leo kwa machinga kesho kwako ,katiba mpya yenye kufuatwa ndo silaha ya wanyonge ! Sio kila siku itakuwa jumapili
Hahaha...

Kwani nakupinga,sipingani na mawazo yako

Ila sisi mambo yetu tunaendesha vagarant

Ova
 
Vizuri umeelewa bwana mdogo. Sisi tuko jikoni kabisa. Bila sisi usingelala usiku kwa amani na mke wako. Nchi iko salama hadi watu wanajamber bila bughdha, ni kwasabab yetu. Tunafaham kila kitu nchini.

Hata Bakhresa mwenyewe 4 Billion USD hana, ije kuwa Raisi wa miaka 5 tu? Kwenye nchi masikini kama TZ uchukue 4 billion USD na kila kitu kiende sawa mishahara ilipwe, bidhaa ziagizwe, kusiwe na uhaba wowote na bado kuwe na foreign reserve kubwa tu ?

Hauelewi unachokiandika hata dollar US ni nini hauelewi, unajiandikia tarakimu.
 
Pale huwa watu wapo. Petrol harufu ingesikika, vitu vya Karume vyenyewe tu ni petrol
Sio lazima itumike petrol mkuu,
Unaweza tumika Uzi/kamba ukaloweshwa KWENYE mafuta ya taa pakazungushiwa
 
Hata Bakhresa mwenyewe 4 Billion USD hana, ije kuwa Raisi wa miaka 5 tu? Kwenye nchi masikini kama TZ uchukue 4 billion USD na kila kitu kiende sawa mishahara ilipwe, bidhaa ziagizwe, kusiwe na uhaba wowote na bado kuwe na foreign reserve kubwa tu ?

Hauelewi unachokiandika hata dollar US ni nini hauelewi, unajiandikia tarakimu.
Bwana mdogo iyo billion 4 ni ile sisi kitengo tumethibitisha. Fugure ya kweli huenda ikawa 11billion usd tena kalamba yeye pekee yake. Kila mkopo na mradi katika utawala wake alikwapua 10%. Ndo maana mzalendo Assad walitaka kumuua. Na alionywa kabisa kutokagua miradi yote ATCL, Ikulu na mikopo yote.
 
Back
Top Bottom