Soko la Karume limeungua moto

Soko la Karume limeungua moto

Bwana mdogo iyo billion 4 ni ile sisi kitengo tumethibitisha. Fugure ya kweli huenda ikawa 11billion usd tena kalamba yeye pekee yake. Kila mkopo na mradi katika utawala wake alikwapua 10%. Ndo maana mzalendo Assad walitaka kumuua. Na alionywa kabisa kutokagua miradi yote ATCL, Ikulu na mikopo yote.

Uchumi wa Tanzania thamani yake ni kiasi gani ? Labda tuanzie hapo!
 
Soko la karume si Ni lile la mitumba au sisi wageni twakosea
Ndio hilohilo Tena hilo soko lilianzishwa baada ya mbinde wamachinga walikataa kabisa kuhamia hapo Ila walipohamia watu wakapapenda sababu huduma ya usafiri ilikuwepo na daladala zingine zikawa zinaishia hapo.

Mtu anashika anaingia nyumbani anachagua bidhaa then anasepa. Kiukweli wameumizwa sana Mungu awajalie uvumilivu.

January hii watu wameshusha mzigo mkubwa kwa ajili ya uniform, viatu, mabegi, mashuka ya shule Yani ni hasara kubwa mno.
 
Tulipofikia sasa ,tatizo ni sisi wenyewe wananchi, kuna hatua inabidi tuchukue....

Tuwakatae hawa viongozi kwa vitendo,tukatae hii dhuluma na uonevu wa sasa kwa vitendo.
Hii ndo pointi kuku kuliko zote hapa kwa mwezi huu, uonevu umezidi sana kwa wananchi Wa kawaida, Sahiv inabidi vitendo tu
 
Kwasasa, Ukitaka Kudai utaulizwa kwa Sheria ipi na Kwa Katiba Ipi. Tunaanza na Katiba ambayo itasema kuhusu viongozi Kuwajibishwa then kutokea Pale Sisi tutasimama Kudai haya. Na huu ni Utanzania Tuuu wa kutaka Mwenye shida au uhitaji Akunyenyekee hadi pale utakapo amua kumpa.

Nikupe mfano, Mwezi uliopita Rais Wa Marekani alitoka Hadharani na kutaka Wananchi wawe wanavaa Barakoa muda wote, Wachanje kwa lazima na iwe lazima Kupima Kupima Covid-19 kila Wiki. Lakini Kabla hata Wananchi Hawajalalamika, Mahakama Ilijitokeza kwa Mamlaka Iliyo nayo KIKATIBA, ikapinga na kuzuia Tamko, la Rais Wa Marekani. Wana nafasi Hiyo Kikatiba.

Ingekuwa Tanzania Jaji Mkuu angekuwa anaandika Barua Ya Kujiuzulu sahizi. Tunataka Katiba Mpya Kwasababu Katiba ya sasa Haiwawajibishi Viongozi wetu, Rais Ndio Kila Kitu mwisho wa Siku Ugomvi wao kama Viongozi wakuu, Unatutesa Wananchi wa Hali ya Chini.
Sawa lakini unafahamu viongozi Wamarekani wanaheshimu katiba sababu wanaogopa wananchi hawataruhusu kunyang'anywa haki zao. Na ukitaka kuhakikisha hili angalia jinsi haki za watu weusi zinavyokuwa ngumu kupatikana ukilinganisha na wazungu wakati wote wapo chini ya katiba na sheria zile zile.
 
Uchumi wa Tanzania thamani yake ni kiasi gani ? Labda tuanzie hapo!
Sasa ndio hapo inasikitisha mtu mmoja au genge la watu wachache kuiba hela nyingi kiasi hicho kwenye nchi maskini na maskini kubakia kulipa hilo deni. Kwenye utawala wake tu nduli Jiwe alikopa zaidi ya trillion 50 na 21 akalamba
 
huenda miongoni mwao wamechoma.
uchunguzi ufanyike mara moja.
kuna wajanja, matapeli, wahuni ambao wanatarajia kuonewa huruma ili walipwe fidia.
 
wenzio kuchomewa moto unafurahia , Nyerere alisema watz hatujapevuka kuimudu siasa ya vyama vingi
Hakuna aliyefurahia. Tatizo watu walishainguza siasa kwa jambo lisilohitaji siasa
 
nashauri hilo soko lihamishiwe Mbezi/Luguruni karibu na stendi ya Maguguli
 
Hii trend ya kuunguza masoko bado haijaisha tu?

Naambiwa soko la Karume limeungua lote na hakuna kilichobaki.

Hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuunguza masoko ya machinga maeneo mbali mbali nchini ikiwa na lengo moja la kuwaondoa machinga.

Najiuliza, mbona karume watu walikua tayari organized, shida ni nini? Mnalazimisha watu wakapange kwenye vizimba machinga complex ambavyo tayari mlishajimilikisha ili mpate pesa ya kula.

TBL fire brigade walijaribu kutaka kuzima moto kwani uko karibu na depot yao wakakatazwa, kwamba waangalie moto usivuke kwenda kwenye depot yao na kwa wananchi ila mengine hayawahusu.

Ipo siku hawa mnaowaonea itafika siku watachoka.

View attachment 2083158
Hiyo sentensi ya mwisho ni ngumu hiyo.kwamb! Tbl walizuiwa kuzima moto?
 
Hivi sisi watanzania ni lini tutaamka kutetea haki zetu. Yaani hawa jamaa wanatupelekesha namna hii alafu bado tunawachekea tu
 
Back
Top Bottom