Soko la Karume limeungua moto

Soko la Karume limeungua moto

We Jamaa unakeraa!
Issue inayoongelewa hapa ni moto,wewe unaibuka na Magufuli kwani Yeye ndo kautuma huo moto??
Hivi ni Lini atatoka midomoni kwenu?? Hakuna Mwanadamu alie perfect,hata wewe una mabaya YAKO mengi sana!! Kama alikuumiza,mfate huko huko kaburini ukamueleze!!! Mwanaume rijali alie timamu na Akili zake hana malalamishi ya kulia lia na mambo yaliyopita.
Niangalie😏
Umeona tu post yangu. Post za wanaomlaumu Samia haujaziona.. mimi nilikuwa nawajibu hao waliokuwa wanamlaumu Samia kwa huu moto.
 
kuna uzi niliandika hapa mood aliufuta. na kuna watu wakakejeli au kuona kama na sanifu.

sehemu iliyo ni soko ukiona mnabisha kutoka au kupangiwa sehemu nyengine!.
ndugu chukua chako kabla ujala hasara.

na waeleza kama mnavoona maisha ya kila siku mfano nyuma ya pazia
Mkuu kwani karume waliambiwa waondoke?

Na wale waliotolewa posta waliambiwa waende wapi ?

Na wa mwenge je waliambiwa waende wapi?
 
Kariakoo panakarabatiwa, pakiisha watarudi wenyewe. Sishawishiki kuamini km yanachomwa
Vyanzo vya moto vingi husababishwa na hawa mama lishe, sasa unakuta mtu anaondoka anaacha jikoni maharage yanachemka
Yeye kaenda zake huko chanika au sarangaa
Akirudi asubuhi yeye anataka kuyaunga tu

Mama lishe wengi wakiondokaga sehemu hizo wanaacha vitu jikoni

"Bongo kila kitu vagarantt"

Ova
 
Mumlaumu JPM kwa kumweka mama kuwa makamu wa rais na Rais Mtarajiwa. Kama mlimheshimu JPM.. Mheshimuni na Mama pia. Ni chaguo la kipenzi chenu JPM. Kaeni kimya kabisa sababu hapa tulipo ni MAKOSA YA JPM tokea awali.. kila kitu cha nchi hii KILICHOVURUGIKA NA KINACHOVURUGIKA NI SABABU YA JPM aka Mwendazake
Funga mdomo wako kama hujui mambo. Nani alikwambia jpm alikuwa kwenye orodha ya kuwa raisi? Jpm aliwekwa kama zima moto baada ya kuona moto wa lowasa hawauwezi. Jpm aliingia kuokoa jahazi, mkapa ndo alipendekeza jina lake ila kumbuka wale watu walikuwa na jina jingine.

Walivyoona moto wa lowasa ni mkali wakakubaliana na mkapa jpm akapita.kumbuka mkapa alikuwa mstaafu so sauti hakuwa nayo kuwa. Wale watu ndo walimpendekeza huyo mwanamke, jpm mwanzoni alikataa ila mwisho ikakubaliana nao. Unajua serikali ina washauri wengi kuliko unavyodhani.

Unakumbuka kipindi tetesi yule mama alivyotaka kujihuzuru? Akazila akaenda visiwani akakaa? Jpm alimjibu hambembelezi akitaka aache.
Wale watu wakaona wanakosa mtu wao serikalini, wakambembeleza akarudi.

Sasa wewe usojua mambo unaongea nini? Nyamaza tu hujui chochote.
 
Wakati wanaunguza, wasisahau kuna majira yaja ambapo mliopo kwenye viyoyozi mtaonja shubiri ya kupondwa mawe na kuunguzwa kwa mahekalu, magari, biashara na hata maofisi mnayojivunia na kuwadharau watu wa hali ya chini.
 
CCM wanapaswa kulaumiwa kwa kuwa ndiyo wanachoma haya masoko na kuhamasisha ufisadi.

Kusema kuwa hakitakuja kutokea chama ambacho ni kikamilifu siyo sahihi kwa sababu hatuna ushahidi na hilo.

Lakini kuwaita CCM kuwa ni mashetani na waharibifu wa nchi hii ni sahihi kabisa kwa sababu tuna ushahidi wa wazi kabisa wakihamasisha ufisadi katika nchi hii.View attachment 2083360
Point ni kwamba sio kila tatizo linalofanywa na ccm basi tuseme suluhisho ni kufikiria kuitoa ccm madarakani kitu ambacho hadi sasa hatujakiweza kukifanya, mambo mengine tunaruhusu kuendelea kufanywa na hao ccm kwa sababu ya ujinga wa watanzania sasa hata kama kikija chama chengine ikiwa bado huu ujinga upo basi lazima matatizo yataendelea kutokea tu.
 
kitu ambacho sijaelewa hadi sasa pale karume watu huwa hawalali na usiku moto ni rahisi kuuona ilikuwajekuwaje mpaka moto ukawa mkubwa vile bila ya raia kuuona hata Moshi ,ulianzia maeneo yapi pale karume[emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom