Soko la Karume limeungua moto

Soko la Karume limeungua moto

Wakati anawatoa kina lukuvi yakikuwa yanashangilia humu eti bora anawapukutisha sukuma gang!

Kina riz moko ndio hao sasa wenye viwanja vyao wamepewa rungu
Hahahahah hapo unakuta GSM wanapataka na ahadi ni kuweka business yao ambayo riz moko atakuwa anakula 10% kwenye faida kila mwaka😅 ni mwendo wa kuwachomea wamachinga chap tu halafu show zinapigwa night kali bila vurugu
 
Hisia za wajumbe ni kuwa kuna mwekezaji atakuwa anapataka pale[emoji28] na watu washapewa chao
"wamachinga hawalipi kodi kwa hiyo hawana faida"

Yani unakuta hoja kama hii inatolewa na mtu kamaliza chuo hana ajira na yupo ana kaa kwa dadake kapewa tu bando la kuingilia jf,!

Yule waliemuita dhalimu watamkumbuka tu
 
"wamachinga hawalipi kodi kwa hiyo hawana faida"

Yani unakuta hoja kama hii inatolewa na mtu kamaliza chuo hana ajira na yupo ana kaa kwa dadake kapewa tu bando la kuingilia jf,!

Yule waliemuita dhalimu watamkumbuka tu
Wanamkumbuka sana tu na bado! Ni swala la muda tu Ilala Boma utaskia napo pamepigwa nali akili zitawakaa sawa
 
Wahuni sana hawa jamaa...

Wamachinga wamekomaa for years kubrand lile eneo hadi limejilukana kitaifq yani.. af now matajiri wanapatolea macho wapige percent zao dahh noma sana mitaji ya wapambanaji kibao imeteketea pale
 
Funga mdomo wako kama hujui mambo. Nani alikwambia jpm alikuwa kwenye orodha ya kuwa raisi? Jpm aliwekwa kama zima moto baada ya kuona moto wa lowasa hawauwezi. Jpm aliingia kuokoa jahazi, mkapa ndo alipendekeza jina lake ila kumbuka wale watu walikuwa na jina jingine.

Walivyoona moto wa lowasa ni mkali wakakubaliana na mkapa jpm akapita.kumbuka mkapa alikuwa mstaafu so sauti hakuwa nayo kuwa. Wale watu ndo walimpendekeza huyo mwanamke, jpm mwanzoni alikataa ila mwisho ikakubaliana nao. Unajua serikali ina washauri wengi kuliko unavyodhani.

Unakumbuka kipindi tetesi yule mama alivyotaka kujihuzuru? Akazila akaenda visiwani akakaa? Jpm alimjibu hambembelezi akitaka aache.
Wale watu wakaona wanakosa mtu wao serikalini, wakambembeleza akarudi.

Sasa wewe usojua mambo unaongea nini? Nyamaza tu hujui chochote.
Kama hao washauri ndio wanashauri haya Mambo ya tozo Basi Ni Bogus tu
 
I used to respect you man but with this kind of thinking, nigga you about to lost a fan! Huwezi ku act like a crazy muthafucka without brains...
C'mon brother.. I will always respect you.. no matter what. Let us put politics aside bro. You know politics and religion always BREAK UP FRIENDSHIPS AND STUFF. Let us not let it get in the way of our JF friendship. I do not want to lose you brother. One luv my nigga, and Am Always Grateful for Your Support Here at JF 🙏🙏🙏
 
C'mon brother.. I will always respect you.. no matter what. Let us put politics aside bro. You know politics and religion always BREAK UP FRIENDSHIPS AND STUFF. Let us not let it get in the way of our JF friendship. I do not want to lose you brother. One luv my nigga, and Am Always Grateful for Your Support Here at JF 🙏🙏🙏
I appreciate your fucq, one luv hommie🙏 no more bullshit with deez politics shit!
 
Mishavu mikubwa kama yale Mapaka ya Hotelini🐒🐒🐒
X3kQ.jpg
 
Watu wangu wa NGUVU.. Mnisamehe kwa posts zangu za kisiasa katika huu uzi. Nawaheshimu Sana Sana.. Sipendi SIASA ikaharibu Uhusiano, ushirikiano, na Support Tunayopeana Siku Zote. Pamoja sana watu wangu. Nawapenda Sana kwa kweli ndugu zangu tuliofahamiana hapa JF 🙏🏽🙏🏽🙏🏽. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa kupata msamaha wenu.
Bushmamy
Extrovert
Luckyline
 
Wahuni sana hawa jamaa...

Wamachinga wamekomaa for years kubrand lile eneo hadi limejilukana kitaifq yani.. af now matajiri wanapatolea macho wapige percent zao dahh noma sana mitaji ya wapambanaji kibao imeteketea pale
Athari ni kubwa sana kuanza kwa machinga wamiliki wa biashara hapo karume mpaka kwa waagizaji wa mitumba,hasara kwa machinga wanaotembeza mitaani mpaka kwa wale wenye maduka wanayoyaita mitumba classic au sijui mitumba nini......shida zaidi ni kwa wahitaji kwani bidhaa za madukani kutoka Asia bado hazikidhi wingi na viwango vya baadhi

Kweli jamaa wali brand eneo lile kwa miaka mingi sana mpaka likakubalika kitaifa na kimataifa na leo hii watatakiwa waondoke wakaanzishe kama litapatikana eneo lingine na la kuwatosha

Pia hata huko watakapopelekwa au ikiwa watabakishwa hapo hapo kuna haja waweke miundo mbinu itakayopunguza ueneaji wa kasi wa moto na kupunguza hasara pindi moto utakapotokea kwa kuweka vijia vipana,kutengeneza meza za chuma na mengineyo ambayo yatakayoendana na mahitaji ya kupambana na moto toka kwa wataalam
 
Athari ni kubwa sana kuanza kwa machinga wamiliki wa biashara hapo karume mpaka kwa waagizaji wa mitumba,hasara kwa machinga wanaotembeza mitaani mpaka kwa wale wenye maduka wanayoyaita mitumba classic au sijui mitumba nini......shida zaidi ni kwa wahitaji kwani bidhaa za madukani kutoka Asia bado hazikidhi wingi na viwango vya baadhi

Kweli jamaa wali brand eneo lile kwa miaka mingi sana mpaka likakubalika kitaifa na kimataifa na leo hii watatakiwa waondoke wakaanzishe kama litapatikana eneo lingine na la kuwatosha

Pia hata huko watakapopelekwa au ikiwa watabakishwa hapo hapo kuna haja waweke miundo mbinu itakayopunguza ueneaji wa kasi wa moto na kupunguza hasara pindi moto utakapotokea kwa kuweka vijia vipana,kutengeneza meza za chuma na mengineyo ambayo yatakayoendana na mahitaji ya kupambana na moto toka kwa wataalam
Nimekuelewa sana... ile ilikua sekta kubwa sana kiuchumi dar hapo..

Kulikua hakulali pale muda wote watu wanakomaa mitumba yote dsm inaanzia hapo then inaingia mtaani..

Kuna mama ntilie kibao hapo walikua wanatafta riziki zao daily nw unazani wanafanyaje gafla gafla

Mtu alikua anaingia na mtaji wa ef 20 hapo daily kupata hela ya kula na familia na anaipata

Kama sio natural disaster aliehusika hatabaki salama
 
Hii trend ya kuunguza masoko bado haijaisha tu?

Naambiwa soko la Karume limeungua lote na hakuna kilichobaki.

Hivi karibuni kumeibuka mtindo wa kuunguza masoko ya machinga maeneo mbali mbali nchini ikiwa na lengo moja la kuwaondoa machinga.

Najiuliza, mbona karume watu walikua tayari organized, shida ni nini? Mnalazimisha watu wakapange kwenye vizimba machinga complex ambavyo tayari mlishajimilikisha ili mpate pesa ya kula.

TBL fire brigade walijaribu kutaka kuzima moto kwani uko karibu na depot yao wakakatazwa, kwamba waangalie moto usivuke kwenda kwenye depot yao na kwa wananchi ila mengine hayawahusu.

Ipo siku hawa mnaowaonea itafika siku watachoka.

View attachment 2083158
mara zote masoko yanaanza kuungua usiku haijawahi tokea soko kuanza kuungua mchana
 
Back
Top Bottom