Na kuna mpuuzi mmoja alikuwa anatoa ushuhuda kuwa aliona moto umeanzia upande wa pembeni akadhani wanachoma tairi.
Hivi hata ukiona wanachoma tairi kwenye jiji kama la Dar,unashindwa kutoa taarifa fire?Hadi moto ukawa mkubwa ndio watu wanastuka.
Hivi hata ukiona wanachoma tairi kwenye jiji kama la Dar,unashindwa kutoa taarifa fire?Hadi moto ukawa mkubwa ndio watu wanastuka.