The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Acha liungue Ili wawajengee machinga upya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawala dhalimu una halalisha uhalifu, dhuluma, wizi, rushwa na ufisadiBujibuji umeona MBALI.
Hawa wakubwa wanaohamasishana mbuzi kula kwa urefu wa kamba,hata Mimi siwaamini!
Tunashukuru kwa taarifa ingawa sijui kama mtu wa ishokela atajua hiyo karume ipo nchi gani na mkoa gan.Good morning wapendwa. Kuna habari za kusikitisha za kuungua kwa soko la Karume Moto ambao umeanza SAA nane usiku.
Soko hili limeajiri vijana wajasiriamali wengi na ni kama chanzo Cha mapato Cha familia zao na watu wanaowategemea na Serikali pia kupitia Aina ya bidhaa zinazouzwa ambazo kwa kawaida ulipiwa Kodi pale zinapotolewa madukani na kuja kuletwa kwa mtumiaji. Ni changamoto nyingine kwa vijana wa kitanzania hasa wamachinga lakini sio hao tu Kuna vijana wajasiriamali wa makabila Kama yote ya Tanzania.
Kuungua kwa soko hili kunaumiza nyoyo za vijana wengi. Mungu awapatie nguvu za kupambana upya. Kariakoo, Karume na .....mmh !! Sijui hujuma!!! Mnisamehe kwa hii post lakini imeniumiza Sana kuona vijana wakiumia.
Video imeambatanishwa hapa chiniView attachment 2083084
Kwamba vitu vya kujenga serikalini vimeisha mpaka waanze unguza masoko?Duh, haya mambo ya masoko kuungua moto huenda ni mbinu za wakubwa serikalini ili wapige hela za ujenzi , kuanzia kwenye mchakato wa zabuni ya kumpata mkandarasi, hadi ujenzi unapomalizika
Mimi nimeona Moto mzito na Moshi umetanda angani tangu saa Saba za usiku nikiwa bandarini,Hadi naenda home kulala asubuhi bado naona Moshi unafukaAsubuhi hii ndo limeungua?
Ulaumu uongozi wa sokoMumlaumu JPM kwa kumweka mama kuwa makamu wa rais na Rais Mtarajiwa. Kama mlimheshimu JPM.. Mheshimuni na Mama pia. Ni chaguo la kipenzi chenu JPM. Kaeni kimya kabisa sababu hapa tulipo ni MAKOSA YA JPM tokea awali.. kila kitu cha nchi hii KILICHOVURUGIKA NA KINACHOVURUGIKA NI SABABU YA JPM aka Mwendazake
Sasa naanza kuamini haya matukio ya moto hayafanyiki kwa bahati mbaya na mashaka yangu yapo kwenye systemMimi nimeona Moto mzito na Moshi umetanda angani tangu saa Saba za usiku nikiwa bandarini,Hadi naenda home kulala asubuhi bado naona Moshi unafuka
Manake walianza kwa kuwatoa barabarani Sasa hivi wameanza kuchoma hata maeneo walipojisitiri kupata hata nusu mkate kwa siku!Utawala dhalimu una halalisha uhalifu, dhuluma, wizi, rushwa na ufisadi
Utasikia zimetolewa bilioni 50 kujenga soko la kisasa.Si hamtaki kuhama mnahamishwa kwa style
Ova
Sio ujanja Bali ni roho mbaya.Ndio maana pressure na visukari haviwaachi sababu ya laana.Kila siku kupelekwa India kwa matibabu!Wajanja sana wanachoma wao wanazima wao dadeq
Hapo mwanjelwa mlijenga kwa bei gani?Duh, haya mambo ya masoko kuungua moto huenda ni mbinu za wakubwa serikalini ili wapige hela za ujenzi , kuanzia kwenye mchakato wa zabuni ya kumpata mkandarasi, hadi ujenzi unapomalizika
Mtafuteni makala anapo kaa nimoto tu...Good morning wapendwa. Kuna habari za kusikitisha za kuungua kwa soko la Karume Moto ambao umeanza SAA nane usiku.
Soko hili limeajiri vijana wajasiriamali wengi na ni kama chanzo Cha mapato Cha familia zao na watu wanaowategemea na Serikali pia kupitia Aina ya bidhaa zinazouzwa ambazo kwa kawaida ulipiwa Kodi pale zinapotolewa madukani na kuja kuletwa kwa mtumiaji. Ni changamoto nyingine kwa vijana wa kitanzania hasa wamachinga lakini sio hao tu Kuna vijana wajasiriamali wa makabila Kama yote ya Tanzania.
Kuungua kwa soko hili kunaumiza nyoyo za vijana wengi. Mungu awapatie nguvu za kupambana upya. Kariakoo, Karume na .....mmh !! Sijui hujuma!!! Mnisamehe kwa hii post lakini imeniumiza Sana kuona vijana wakiumia.
Video imeambatanishwa hapa chiniView attachment 2083084