We bado limbukeni, hujawahi kulala lodge sio??Umasikini kitu kibaya sana. Unawezaje kulalia kitanda ambacho kalalia mtu usiemfahamu na wala fundi aliyetengeneza na ukapaga usingizi
Kwa muujibu wa sheria zetu huyo aligonga Treni mpe pole sana aiseeWakuu, naomba niwape habari kwamba Jamaa aliyeanzisha hii thread alipata ajali ya kugongwa na treni akiwa Hapa Dar na sasa kalazwa Muhimbili Hospital akiendelea na matibabu.
Too Sad
Aiseeh! Mpe pole sanaWakuu, naomba niwape habari kwamba Jamaa aliyeanzisha hii thread alipata ajali ya kugongwa na treni akiwa Hapa Dar na sasa kalazwa Muhimbili Hospital akiendelea na matibabu.
Too Sad
Shukurani mkuu nitamfikishiaAiseeh! Mpe pole sana
Pole kwake mungu amfanyie wepesiWakuu, naomba niwape habari kwamba Jamaa aliyeanzisha hii thread alipata ajali ya kugongwa na treni akiwa Hapa Dar na sasa kalazwa Muhimbili Hospital akiendelea na matibabu.
Too Sad
Alishatoka wodini kurudi nyumbani?Shukurani mkuu nitamfikishia
Ndio yupo bukheri wa afya tele, Mungu ni mwemaAlishatoka wodini kurudi nyumbani?
mwambie tunasubiri bidhaa hukuNdio yupo bukheri wa afya tele, Mungu ni mwema