Uchaguzi 2020 Sokoine, Mbeya: Magufuli asema Tulia amemsumbua sana kwa ajili ya maendeleo ya Mbeya, amuomba Joseph "Sugu" Mbilinyi kura

Huyu Tulia walau hata angekuwa na mvuto aisee...

Ningeweza mpa kura ya kumtamani.
 
Amekiri kuwa yeye hakuwaacha wana Mbeya lakini sasa iwe basi kwani amemleta mtoto msomi ambaye yupo vizuri hili kuleta maendeleo kwa kasi ya ajabu hili kila Masafwa na Mnyakyusa ashangae mwenyewe lakini yule mtu mwenye sugu mwili mzima apigwa srabu mwili mzima awe mlaini kabisa na Mbeya iwe katika mstari.

Huku akishangiliwa na maelfu ya watu waliojitokeza amesema sasa basi, imetosha, atarudi tena kwa ajili ya kuja kuweka msisitizo na kuwahasa wanambeya kuondoa tofauti zao zote na kumpa Tulia hii inamaana hata punda akifa mzigo unaweza kufaulishwa kufika ni lazima.
Taarifa zinasema kuwa CCM inaona ni bora ipoteze majimbo mengine yote ya Mbeya lakini jimbo la Mbeya mjini hapana. CCM chama kikubwa na tajiri kifedha kimesema kitatia nguvu ikibidi kama zote hili Sugu akaendelee na kutengeneza singo zake na si kurudi Dodoma tena.
 
Sugu ni mkoloni sio mzawa wa Mkoa wa Mbeya ni.mhamiaji mkoloni aliyekuja kutawala wenyeji wa mkoa wa Mbeya

Mkoloni Sugu lazima afungashwe virago aachie wenyeji wazawa wa mkoa wa Mbeya
 
Kwa hiyo wana Mbeya miaka 5 maendeleo aliyowaletea ni Tulia ......... Kazi kweli kweli!!
 
Muulizeni kwa nini aliogopa kuja huko mpaka zile bendera za CDM zilipoondolewa?
 
Debate fanyeni na akina Shibuda.

Dr Magufuli kazi zake zinaonekana bwashee!
Kazi zake zimekugusa vipi moja kwa moja kama mwananch wa kawaida?? Maana wakulima wanalia, wafanyakazi, na wafanyabiashara kote mazingira ya utendaji wao yamevurugwa makundi haya yote lazima wamchinje... Waliobaki na nafuu ni wale anaozunguka nao kwenye magari pamoja na wapiga debe wake kama wewe...
 
Wanaendelea kuleta Blabla za ndege na uwanja wa Chato
 
Kwani Diamond na Ali kiba si washaimba sasa mbona watu bado wapo wanamsikiliza Magufuli au watakuja kuimba tena?
 
Nimefurahishwa sana Chunya mmeniletea mtoto wa Njeru Kasaka,Baba yake alikuwa Rafiki yangu sana wakati mi ni waziri......

Nchi bila connection kutoboa ngumu
 
Nafikri Mzee wetu leo anaweza kugusia suala ka Katiba Mpya eeee !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…