Sokoine University of Agriculture (SUA) special Thread

Sokoine University of Agriculture (SUA) special Thread

Hapana Mkuu,alimla demu wangu na mimba juu.
Ngono ni biashara ya mabadilishano ya viungo vya mwili........demu anatega k, man anachomeka mti. Sasa hasira za nini mkuu? 😳
 
Prof Kazuzuru kanifundisha kozi ya Mathematical Statistics enzi hizo akiwa ni doctor aisee yuko gud sana....halafu ni very supportive alinisimamia research yangu ya undergraduate.Mungu amtunze sana maana ni mpole mna interract vizuri tu na anasaidia unapokuwa umekwama
 
Prof Kazuzuru kanifundisha kozi ya Mathematical Statistics aisee yuko gud sana....halafu ni very supportive alinisimamia research yangu ya undergraduate.Mungu amtunze sana maana ni mpole mna interract vizuri tu na anasaidia unapokuwa umekwama
Du! Siku zinaenda sana. Mr Kazuzuru (now Prof) alinifundisha somo la Biometry enzi hizo ndio kwanza alikuwa ameajiriwa kama Tutorial Assistant. Ni mwalimu mzuri sana wa Statistics.
 
Du! Siku zinaenda sana. Mr Kazuzuru (now Prof) alinifundisha somo la Biometry enzi hizo ndio kwanza alikuwa ameajiriwa kama Tutorial Assistant. Ni mwalimu mzuri sana wa Statistics.
basi umepita muda mkuu....maana mimi namaliza pale 2014 akanisimamia research....But nilienda mwaka 2020 alikuwa tayari Assistant prof,,,tukapiga stori saana namkubalii
 
SUA ni chuo kinachokubalika kwa kila mdau hapa nchini na duniani kote

 
Je, naweza kusoma bachelor ya Agricultural engineering au Irrigation engineering pale SUA kwa mm ambae nmehitimu diploma ya Mining Engineering. Nauliza wadau
 
Kazuzuru MTH 210, ananong'ona na waliokaa mbele tuu[emoji1]
Karibu sana mkuu; tupo pamoja. SUASO oyeee! Shule ya SUA si mchezo aisee. Kupenya kwa akina Kazururu, Kasile na Sembuche si mzaha unaambiwa.
 
Je, naweza kusoma bachelor ya Agricultural engineering au Irrigation engineering pale SUA kwa mm ambae nmehitimu diploma ya Mining Engineering. Nauliza wadau
Subiri wadau waje kukupa jawabu mkuu
 
Je, naweza kusoma bachelor ya Agricultural engineering au Irrigation engineering pale SUA kwa mm ambae nmehitimu diploma ya Mining Engineering. Nauliza wadau
Soma TCU guidelines ila kwa ninavyojua watu wa engineering diploma mnasoma course zozote za engineering kwa bachelor
 
Sio kweli, haiwezekani hata kidogo. Mtu wa Diploma ya kilimo na zingine zinakaribiana na hizo mdo anaweza.
Kwa nini haiwezekani mkuu? Mtu kasoma mining engineering that means he is good in mathematics, wala hana shida kusoma irrigation/agriculture engineering. Na hata chuo hawana shida, watu tuna personal experience na hivi vitu!
 
Sitosahau Kwa Mara ya Kwanza nikiwa Multipurpose Hall, lecture mmoja akijisemea

"Love me before your death"

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom