Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Ulikua unaharakia wapi?Moderator nimekosea mwenye heading ilitakiwa kuwa sold out
Ndo uache kiherehere by AdminModerator nimekosea mwenye heading ilitakiwa kuwa sold out
Lampard electronics ameidhinishwa na simba na tokea jtatu anauza hata sahivi saa 7 na dakika 25 anauza bado sio mlanguziDemand ya tiketi za Simba inalipa. Yaani mtu ananunua ili auze shubamiit.
Kwahiyo hata Billion 20 uliamini kweli zimeingizwa kwenye account ya Simba?Angalia hii picha unaona bado watu wananunua tiketi sasa nashangaa sababu tuliambiwa ni sold out na mimi niliuamin uongozi wa simba kwa asilimia 100 sasa nimepita lampard electronics nimeshangaa kuona msururu wa watu wakiwa bado wananunua tiketiView attachment 3059586
Ntaachaje kuaminiKwahiyo hata Billion 20 uliamini kweli zimeingizwa kwenye account ya Simba?
Si tumekubaliana ni sold out? Anauza nini tena?Lampard electronics ameidhinishwa na simba na tokea jtatu anauza hata sahivi saa 7 na dakika 25 anauza bado sio mlanguzi
Bado watu wananunua tiketiSi tumekubaliana ni sold out? Anauza nini tena?
Picha yaJuzi hiyo unaleya hapa JF,Angalia hii picha unaona bado watu wananunua tiketi sasa nashangaa sababu tuliambiwa ni sold out na mimi niliuamin uongozi wa simba kwa asilimia 100 sasa nimepita lampard electronics nimeshangaa kuona msururu wa watu wakiwa bado wananunua tiketiView attachment 3059586
Unathibitisha vipi hii picha imepigwa leo?Angalia hii picha unaona bado watu wananunua tiketi sasa nashangaa sababu tuliambiwa ni sold out na mimi niliuamin uongozi wa simba kwa asilimia 100 sasa nimepita lampard electronics nimeshangaa kuona msururu wa watu wakiwa bado wananunua tiketiView attachment 3059586
Mfumo wa ununuzi tiketi upo wazi, Simba ishajikusanyia mapato yake. Tiketi zitaendelea kuuzwa hadi siku ya kesho.Lampard electronics ameidhinishwa na simba na tokea jtatu anauza hata sahivi saa 7 na dakika 25 anauza bado sio mlanguzi
Mkuu, Kulangua tiketi ni ishara ya uhitaji kuwa juu. Ukitaka kuamini, jaribu kulangua za Ihefu au za kina nanii.Wahuni wanalangua.
Kiherehere tu kinamsumbua.Ulikua unaharakia wapi?