ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Ana kiherehere ila akushindi weweKiherehere tu kinamsumbua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana kiherehere ila akushindi weweKiherehere tu kinamsumbua.
Nyeto ya mchuzi wa pweza😄Kwa hiyo unataka nini? Huu muda wa kuandika utoto mngetumia hata kupiga nyeto basi kama kufanya kazi hamtaki
Hahhaha!.Ana kiherehere ila akushindi wewe
Walangue zile zingine wakauze madukani, si zipo bado kwenye mfumo?Nyie nini kinawauma..watu wenye fweza wamenunua zote wacha wawauzia wanaojicheleweshaga..haibadili maana ya sold out...hao wanaonunua wananunua kwa walionunua..demand ni kuubwaaa vibaya mnoo
Una kiherehere sana kwenye mambo yanguHahhaha!.
Dah! Nimekiherereka na nini?
Lazima nikunyooshe.Una kiherehere sana kwenye mambo yangu
Hapana mkuu, kama hana kazi akanunue hata tiketi 10 asubiri kesho getini pale aone bei atakayouzia. Usiwanyime elimu ya fursa.Kwa hiyo unataka nini? Huu muda wa kuandika utoto mngetumia hata kupiga nyeto basi kama kufanya kazi hamtaki
Basi Rage alikua sahihiNtaachaje kuamini
Huyoa atakuwa amenunua halafu anawapiga cha juu. Lakini kwenye mfumo, TIKETI ZIMEISHAAngalia hii picha unaona bado watu wananunua tiketi sasa nashangaa sababu tuliambiwa ni sold out na mimi niliuamin uongozi wa simba kwa asilimia 100 sasa nimepita lampard electronics nimeshangaa kuona msururu wa watu wakiwa bado wananunua tiketi
Bado tiketi zinauzwa na walanguzi hata kesho ukienda tmk uwanjani utazipata ila kwa bei ya juu sana.Angalia hii picha unaona bado watu wananunua tiketi sasa nashangaa sababu tuliambiwa ni sold out na mimi niliuamin uongozi wa simba kwa asilimia 100 sasa nimepita lampard electronics nimeshangaa kuona msururu wa watu wakiwa bado wananunua tiketiView attachment 3059586
Si ananunua halafu anauza? Kule kwa Simba mfumo unaonyesha zimeshanunuliwa na hela imeingia, kama atawalangua wengine hiyo si juu ya Simba maana kwenye system TIKETI ZIMEISHALampard electronics ameidhinishwa na simba na tokea jtatu anauza hata sahivi saa 7 na dakika 25 anauza bado sio mlanguzi
Basi Lampard alinunua zoteAngalia hii picha unaona bado watu wananunua tiketi sasa nashangaa sababu tuliambiwa ni sold out na mimi niliuamin uongozi wa simba kwa asilimia 100 sasa nimepita lampard electronics nimeshangaa kuona msururu wa watu wakiwa bado wananunua tiketiView attachment 3059586
alikuwa anawahi usije ukapost kabla yakeUlikua unaharakia wapi?
Aaahhh Mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN umeibuka jombi.Kwa hiyo unataka nini? Huu muda wa kuandika utoto mngetumia hata kupiga nyeto basi kama kufanya kazi hamtaki
👏👏👏👏👏👏✔️✔️✔️✔️✔️✔️Nyie nini kinawauma..watu wenye fweza wamenunua zote wacha wawauzia wanaojicheleweshaga..haibadili maana ya sold out...hao wanaonunua wananunua kwa walionunua..demand ni kuubwaaa vibaya mnoo
Mambo wanayo Fanya viongozi wa Simba ni kwakua wanajua akili za wafuasi wao, Rage hakuwaita Lile Jina kwa bahati mbaya Wala kuletewa Manzoki kwenye mkutano mkuu wa Simba haikua bahati mbaya ata Mwekezaji kuongea na mashabiki wa Simba uko Facebook haikua bahati Mbaya.Basi Lampard alinunua zote
Ndio inavyokuwaga kwenye hizi mechi