Mambo wanayo Fanya viongozi wa Simba ni kwakua wanajua akili za wafuasi wao, Rage hakuwaita Lile Jina kwa bahati mbaya Wala kuletewa Manzoki kwenye mkutano mkuu wa Simba haikua bahati mbaya ata Mwekezaji kuongea na mashabiki wa Simba uko Facebook haikua bahati Mbaya.
Wamesha jua aina ya watu wanao waongoza.