Soma halafu utoe mchango wako

Soma halafu utoe mchango wako

Ndugu zangu mimi sendeka namfahamu vizuri zaidi,ni kweli ana zero form six na sidhani kama ana uwezo wa kumlipia tundu lissu tuition otherwise akafanye mtihani tena wa form six aondoe hiyo aibu yake halafu angalau auze ng'ombe 2000 kati ya 7000 alionao awasaidie watoto wake wa nje wanaoteseka hovyo kutokana na kuwatelekeza hasa watoto wake kama vile nailejileji anayesoma tumaini university,kijana wake aliyemaliza sheria chuo kikuu makumira kwa kudra za mwenyenzi mungu,naino aanayesoma lushoto diploma ya sheria.

ishu ni hii,kama ameshindwa kuwatunza watoto wake atawezaje kumlipia tundu lissu tuition ya kitu ambacho yeye mwenyewe hajui? Sendeka sio mmasai biologically,ni msomali,na baba yake anaitwa mohamed,yeye alikuwa akiitwa Ismail lakini alibadilisha jina na kuitwa christopher mara baada ya kujiunga na shule ya sekondari moringe,ndio maana hana maadili ya kimasai,ana ropoka hovyo hovyo,hebu mwangalie telele,olenangoro,lekule laizer wote ni wastaarabu isipokuwa sendeka. Mwambieni aache kiherehere

poor sendeka

we vp?umelewa au?
 
This is a true story jamani, I am not lying, kwanza why should I?Nimetoa hii story coz huyo dada kweli aliniomba ushauri and wakati mume anataka kumchoma kisu I and other majirani were there!
 
Afunge ,afanye maombi ya nguvu na sala za toba ,aanze maisha mapya akiwa kamtanguliza Mungu katika njia zake.

Huyo mungu anatangulizwa mtu akishaumbuka kwa uchafu wake alokuwa anaufanya?? Huyo dada ni malaya kweli hastahl hata kupewa msamaha.
 
This is a true story jamani, I am not lying, kwanza why should I?Nimetoa hii story coz huyo dada kweli aliniomba ushauri and wakati mume anataka kumchoma kisu I and other majirani were there!

Amelikologa sasa alinywe mwenyewe
Mwambie atulie atafute wanaume wengine hao amesha wachanganya asahau kuwapata tena
 
mwambie amuombe msamahama mumewe .....WASHAWASHA KAMSEMO KAKO KA KU LOG OFF NIMEKACHOKA
 
Back
Top Bottom