Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu Watanzania,
Taifa letu linaendelea kuwa lenye baraka na Neema kwa sababu linaongozwa na kiongozi Mwenye hofu ya Mungu, kiongozi Mcha Mungu,kiongozi mnyenyekevu, kiongozi mwenye kuishi Maisha yenye kumpendeza Mungu, kiongozi mwenye mikono safi na matendo safi ,kinywa safi na matendo safi.
Tanzania ni tulivu ,yenye amani ,usalama ,umoja na mshikamano kwa sababu ya kuongozwa na kiongozi mwenye kuumizwa na kuguswa na shida za watu,kiongozi mwenye Moyo wa Huruma na upendo kwa watu wote. Huyu Ni daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Soma Pia: Mufti na Sheikh Mkuu Abubakar Zubeir: Mwezi haujaonekana, mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan utaanza Jumapili March 02,2025
Katika ujumbe wake alioutoa usiku huu ametoa na kuzungumza maneno mazito sana na yenye kubeba hisia kali sana ya uzalendo na upendo kwa Taifa hili na watanzania kwa ujumla wake. Kwa hakika Mama analipenda sana Taifa hili na anawajali na kuwatanguliza mbele watanzania katika kuwaombea na kuwatakia mema.
Embu Soma hapa Mwenyewe alichokiandika Mama
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Taifa letu linaendelea kuwa lenye baraka na Neema kwa sababu linaongozwa na kiongozi Mwenye hofu ya Mungu, kiongozi Mcha Mungu,kiongozi mnyenyekevu, kiongozi mwenye kuishi Maisha yenye kumpendeza Mungu, kiongozi mwenye mikono safi na matendo safi ,kinywa safi na matendo safi.
Tanzania ni tulivu ,yenye amani ,usalama ,umoja na mshikamano kwa sababu ya kuongozwa na kiongozi mwenye kuumizwa na kuguswa na shida za watu,kiongozi mwenye Moyo wa Huruma na upendo kwa watu wote. Huyu Ni daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Soma Pia: Mufti na Sheikh Mkuu Abubakar Zubeir: Mwezi haujaonekana, mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan utaanza Jumapili March 02,2025
Katika ujumbe wake alioutoa usiku huu ametoa na kuzungumza maneno mazito sana na yenye kubeba hisia kali sana ya uzalendo na upendo kwa Taifa hili na watanzania kwa ujumla wake. Kwa hakika Mama analipenda sana Taifa hili na anawajali na kuwatanguliza mbele watanzania katika kuwaombea na kuwatakia mema.
Embu Soma hapa Mwenyewe alichokiandika Mama
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.