Soma hii ujue chanzo cha bunge kuahirishwa!

Soma hii ujue chanzo cha bunge kuahirishwa!

Sitta hawezi speed ya sasa viwango na kasi aliyokuwa nanyo ilikuwa ni ya akina malecela na wabunge wengine wasijua taratibu ..................Leo hii Sitta asipoaangalia ndio atakuwa spikaa mwenye historia mbaya ya kushindwa kuendesha Bunge nchini Tanzania.

Umefunguka mkuu kama nguli mmoja wa uchambuzi wa maswala ya katiba nchi....

Kula like mia
 
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?

Hikifanyika hivi, warioba angeshusha nondo kali... araf JK angekuja kujibu baada ya kufungua bunge.
 
Nimeona hii Movie live nimecheka sanaaaaaaaaaaaaaaaa, baadaye nikaliaaaaaaaa sanaa nilipokwenda kugonga bia moja nikajikuta nimekatwa sh 1,050 kama indirect tax inayowalipa hawa jamaa ambao leo hawajafanya kazi
 
Du Sitaaa sitaaa sitaaaaaaaaa...wewewewee ishia hapo mjomba
 
huyu mzee , magumashi ya namna yoyote yatamdhalilisha vibaya sana!
 
Sitta hawezi speed ya sasa viwango na kasi aliyokuwa nanyo ilikuwa ni ya akina malecela na wabunge wengine wasijua taratibu ..................Leo hii Sitta asipoaangalia ndio atakuwa spikaa mwenye historia mbaya ya kushindwa kuendesha Bunge nchini Tanzania.

Hapo kweye BLUE Kwa hiyo kumbe Sitta sio mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge la katika ni SPIKA?
 
CCM imekwenda kuleta MAZOBA kutoka nchi nyingine, eti yaje kuleta semina!!!!! Hiloooooooo!!!!!!!! Mbona Jaji Mkuu wa Kenya alipotaka kufungua macho ya Watanzania, kuhusu Katiba, pale UDSM, CCM walipiga kelele wakamwita eti ni mvaa hereni, hafai kusikilizwa, sasa wanawaleta hao mercenaries, wanataka wasikilizwe!!!!! UKAWA, msikubali! Katiba ya Wananchi, siyo Katiba ya CCM! Hili ni suala la kufa na kupona, au siyo mtatendewa mambo ya Kalenga, milele!!!!!!!!!
 
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?

mkuu athari ipo wataalam wetu wameshaona hapo kuna usanii wa kisiasa kama jk atakuja mwisho atapiga vijembe uwasilishaj wa rasim ya Warioba., tumekusudia mara hii kama vipi mpira tunautia kwapani
 
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?
atakuwa anachangia hoja, tena kishabiki badala ya kufanya ufunguzi wa bunge maalum.
 
Sitta hawezi speed ya sasa viwango na kasi aliyokuwa nanyo ilikuwa ni ya akina malecela na wabunge wengine wasijua taratibu ..................Leo hii Sitta asipoaangalia ndio atakuwa spikaa mwenye historia mbaya ya kushindwa kuendesha Bunge nchini Tanzania.
Mkuu wewe ni kiona mbali njoo Maryland Bar mwenge nikununulie kinana Baridi Mkuu umeongea point maana hilo bunge Kuna wajumbe wengine walisha wahi kuwa Ma BarMaids so kuwa Control ngum sana
 
Haya sasa kumbe six anataka kuliendesha bunge kwa matakwa yake badala ya kufata kanuni... Ina maana six anataka kulainisha mambo kwanza...

watu walianza kumsifia leo anaanza kuboronga ashakunywa maji ya bendera
 
Narudia tena na tena kwamba watanzania wa leo wameamka sio wa kuburuzwa ... kwa lolote linalofanyika katika Tanzania ya leo kabla ya maamuzi kutolewa mtoaji wa swala hilo lazima afikiri mara mbili.... Sitta kama anataka kuvunja heshima na uaminifu kwa watanzania aendelee kupuuza matakwa ya walio wengi.. atadharaulika na hatima yake kisiasa itatiwa doa ambalo halitasahaulika vizazi na vizazi......Mungu Ibariki Tanzania
 
Ndo mana mm sikuwa happy kura zote kupewa huyu mzee na vyama visiweke mgombea mwenza., chura hawezi kubadilika ngozi, ccm ni ccm tu sasa kazi mapema imeanza kuonekana.,
 
Itakuwa ni mwanzo wa kuendesha Bunge Maalum la Katiba pasipo kufuata kanuni. Mwenekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ataota ndoto za kutumia vibaya madaraka yake. CCM itamtumia 6 KUPENYEZA MAMBO YAKE
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?
 
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?
Mkuu,athari zake ni hizo zilizotajwa kwamba,mkuu wa nchi akija kufungua baada ya rasimu,atakuwa mchangiaji so ataongea kufuata rasimu itakavyokuwa. Muhimu sana kwanza alifungue bunge then ndo rasimu iwasilishwe. Nadhani hata kwa akili tu ya kawaida,unaweza kujua km huu ni uhuni mwingine unataka kufanywa na six. Hivi warioba akisoma rasimu,kikwete anakuja kuzindua bunge gani wakati litakuwa limeanza kazi..!? Naipenda sana nchi yangu Tanzania.
 
Back
Top Bottom