Soma hii ujue chanzo cha bunge kuahirishwa!

Soma hii ujue chanzo cha bunge kuahirishwa!

Kwanini Lissu au Prof Safari mmoja wapo hakugombea?Mbowe anaihujumu CHADEMA na Upinzani kwa ujumla ila wengi bado hamjashtuka tu.
 
Kuna mdau fulani aliwahi post hapa JF, akasema Six hii ndiyo enzi yake ya mwisho, ataboronga, kwa bahati mbaya sikumuelewa vizuri ila sasa nimeanza kumuelewa.
Six anatakiwa ajirekebishe vinginevyo, PR yake
itashuka sana kuliko maelezo,Aweke pembeni
ushabiki wa chama chake cha kisiasa KT
inayoandikwa ni nchi sio chama fulani
maslahi ya nchi yatangulizwe mbele
utii wa sheria na kanuni ni
muhimu sana
vinginevyo
ni aibu
inafuata
kwa
Taifa
letu
 
Narudia tena na tena kwamba watanzania wa leo wameamka sio wa kuburuzwa ... kwa lolote linalofanyika katika Tanzania ya leo kabla ya maamuzi kutolewa mtoaji wa swala hilo lazima afikiri mara mbili.... Sitta kama anataka kuvunja heshima na uaminifu kwa watanzania aendelee kupuuza matakwa ya walio wengi.. atadharaulika na hatima yake kisiasa itatiwa doa ambalo halitasahaulika vizazi na vizazi......Mungu Ibariki Tanzania

Wabunge wanatakiws wakomeshe huu udhalishwaji unaofanywa na Sitta. Haingii akilini umpe dakika 60 (au 120) mtu aliyezunguka nchi nzima kukusanya maoni ya wananchi, halafu unawapa Wakenya siku3! Hii ni fedheha na matusi yasiyovumilika.

Wakenya wa nini? Tunataka katiba ya Watanzania iandaliwe na Watanzania. Na uwezo tunao. Tabia ya kikoloni ya Sitta kuona Watanzania hawawezi kufanya kitu bila mataifa mengine kuingilia ni aibu. Wabunge tuondeleeni hii aibu. Wakenya hata mipaka ya nchi hawaijui achilia mbali mila na tamaduni za Watanzania. aibu.
 
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?
Mimi naona swali lako lilitakiwa liulizwe wakati kanuni zinatungwa.
Swali sahihi sasa hivi ni kanuni zinasemaje?
Kanuni lazima zifuatwe ili haki itendeke. Tunataka katiba ya Watz na siyo kundi au vikundi.
Nawasilisha,
 
Kuna mdau fulani aliwahi post hapa JF, akasema Six hii ndiyo enzi yake ya mwisho, ataboronga, kwa bahati mbaya sikumuelewa vizuri ila sasa nimeanza kumuelewa.
Six anatakiwa ajirekebishe vinginevyo, PR yake
itashuka sana kuliko maelezo,Aweke pembeni
ushabiki wa chama chake cha kisiasa KT
inayoandikwa ni nchi sio chama fulani
maslahi ya nchi yatangulizwe mbele
utii wa sheria na kanuni ni
muhimu sana
vinginevyo
ni aibu
inafuata
kwa
Taifa
letu
mzigo mzito mpe mnyamwezi, naye kwa ujinga wake ata ubeba hata kama ana hatarisha mgongo wake, ndio maana Tabora ipo nyuma
 
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?

Kwani kanuni ziliwekwa kwaajili ya nini, unakumbuka imechukua muda gani kuzitengeneza kanuni hizi!..halafu leo huyu six anaamua kuzikanyaga ili kukidhi matakwa ya kimkakati. ASHINDWE
 
Ukitaka kujua mtu fulani ni mzuri ni lazima umpate mbovu. Sasa naona wazi Kificho alistahili kuwa Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge la Katiba. Nina uhakika Mzee wa Urambo, asipobadilika hawezi, Mama yetu Makinda ni hoi bin taabani, yule mgogo Ndugai ni mzigo usiobebeka!
 
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?

Athari zipo na zimepangwa kwa makusudi... Iko wazi kwamba CCM wanapingana na Rasimu ya Katiba inayotokana na maoni ya wananchi na kwa mujibu wa Sheria ni lazima Mwenyekiti wa Tume ya Katiba aiwasilishe Bungeni na kuyasema yale ambayo wananchi wengi wameyatolea maoni.. Sasa kufifisha maoni ya Tume ya Warioba ndiyo CCM ikaja na mkakati wa Rais lazima aje atoe hotuba baada ya Warioba kuwasilisha japo kwenye Sheria Rais hakutajwa na wala hahusiki kwenye Bunge la Katiba..

Mantiki iliyopo hapa ni kwamba kwa kumpa nafasi JK kuhutubia kama mkuu wa nchi itakuwa kama anajibu hotuba ya Warioba na kutumia nafasi yake ya Uwenyekiti wa CCM kulainisha mambo....

Ndiyo maana busara ikatumika kwamba ili kupunguza mgongano huo ni vyama Rais kama mkuu wa nchi azindue Bunge then Warioba aje atoe ufafanuzi kiundani nini sisi wananchi tulipendekeza Katiba yetu iwe!!
 
Ushauri kwa Mh Sitta ni afuate kanuni lakini pia apunguze kusema mambo yasiyo ya msingi. Amekuwa anatamka maneno yasiyo na maana tangu achaguliwe na kulenga Wajumbe wenziwe kana kwamba wao ni mbumbumbu wa kanuni wakati wamezitunga wote kwa pamoja. Wengine wanadiliki hata kutamba kushinda katika hatua za kutunga Kanuni, Kama walivyonukuliwa na magazeti!

Ilikuwa ni hekima ndogo tu kuwasikiliza waliomshauri kuhusu kuvunja kanuni na kujirekebisha, lakini kwa kudhani ana kinga ya kundi kubwa akaamua kuendelea na uvunjifu huo! Baada ya kelele za kupinga uwasilishaji anasikika akimuelekeza Mzee Warioba ... Aendelee tu kwa sababu Hansard inanukuu...! Hii hakika ni kushindwa kutambua kuwa Bunge hili si la kawaida; ni bunge ambalo kufanikiwa kwake ni pale litakapoleta maridhiano katika zao litakalotokana na kazi yake - yaani Katiba.
 
Ccm wa ache ungese wao bana, sisi kila mara tunahudhuria makongamano, semina na mihadhara mara zote mgeni Rasimu huwa anafungua kwanza shughuli yenyewe halafu watoa mada ndiyo wanamwaga nondo zao za ukweli.Leo tunataka kufanywa vilaza na hawa Maccm eti mgeni Rasimi afungue baada ya mada au hora kufunguliwa! Ungese kweeeeli
 
Ukitaka kujua mtu fulani ni mzuri ni lazima umpate mbovu. Sasa naona wazi Kificho alistahili kuwa Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge la Katiba. Nina uhakika Mzee wa Urambo, asipobadilika hawezi, Mama yetu Makinda ni hoi bin taabani, yule mgogo Ndugai ni mzigo usiobebeka!

Siku zote watanzania bara ni masangwini, unafiki kwa kwenda mbele, wazanzibari wanajua wanachokifanya.hata sasa hivi wazenji wanataka serikali tatu Lakini wanasubiri muda muafaka ukifika watasema bila kuremba.wanyamwezi ndiyo zao ndiyo maana tabora ni ziiiiiii
 
Maelezo yana mantiki, lkn nauliza kuna athali gani za moja kwa moja kama Mh Rais akizindua bunge baada ya Jaji warioba kuwasilisha hii Rasimu?

Haya SOMA hapa tena maana inaonekana ulisimuliwa, ...." ‘uwasilishaji wa
Rasimu ya Katiba.’ Kwa
jinsi ya mpangilio wa shughuli
uliowekwa na Kanuni ya
7(1), uwasilishaji wa Rasimu ya
Katiba kabla ya hotuba
ya ufunguzi ya Mgeni Rasmi ni
ukiukwaji wa Kanuni za Bunge Maalum na, kwa vyovyote
vile, kunatoa picha kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano atakuja Bungeni kama mchangiaji wa hoja
badala ya kuja kama Mkuu wa Nchi kwa lengo labkufungua Bunge
Maalum;"
 
Kuna mdau fulani aliwahi post hapa JF, akasema Six hii ndiyo enzi yake ya mwisho, ataboronga, kwa bahati mbaya sikumuelewa vizuri ila sasa nimeanza kumuelewa.
Six anatakiwa ajirekebishe vinginevyo, PR yake
itashuka sana kuliko maelezo,Aweke pembeni
ushabiki wa chama chake cha kisiasa KT
inayoandikwa ni nchi sio chama fulani
maslahi ya nchi yatangulizwe mbele
utii wa sheria na kanuni ni
muhimu sana
vinginevyo
ni aibu
inafuata
kwa
Taifa
letu

Hivi kwa Style hii Sita atamshinda Lowasa?
 
Ndo mana mm sikuwa happy kura zote kupewa huyu mzee na vyama visiweke mgombea mwenza., chura hawezi kubadilika ngozi, ccm ni ccm tu sasa kazi mapema imeanza kuonekana.,

Huyu mze kama aridhiki na nafasi alizowahi na hii ya sasa akaamua kuwa kweli, busara akawasikiliza ssmu ili waje wamsikilize juu ya kutaka wampitishe kupanga maGogoni anapoteza vyote.
 
Wabunge wanatakiws wakomeshe huu udhalishwaji unaofanywa na Sitta. Haingii akilini umpe dakika 60 (au 120) mtu aliyezunguka nchi nzima kukusanya maoni ya wananchi, halafu unawapa Wakenya siku3! Hii ni fedheha na matusi yasiyovumilika.

Wakenya wa nini? Tunataka katiba ya Watanzania iandaliwe na Watanzania. Na uwezo tunao. Tabia ya kikoloni ya Sitta kuona Watanzania hawawezi kufanya kitu bila mataifa mengine kuingilia ni aibu. Wabunge tuondeleeni hii aibu. Wakenya hata mipaka ya nchi hawaijui achilia mbali mila na tamaduni za Watanzania. aibu.

Wakenya ss wanalia na katiba yao mpya kwani imeongeza shida zaidi kuliko walivyo tarajia.
Eti SJS anawapatia cku za kutosha kutoa semina ya kuhusu historia ya nchi ya Tz kweli hii inaingia akilini? Hakika huu ni upuuzi wa khali ya juu.
Big u UWAKA
 
Back
Top Bottom